Nyumba Inauzwa KIGAMBONI VIJIBWENI,
Yenye Vyumba (3) vya Kulala Kimoja wapo ni Master
Public Toilet
Sehemu ya Kulia Chakula
Jiko
Nyumba bado Ijamaliziwa ipo kwenye Lenta
Kiwanja cha Nyumba Kina...
Habari wadau wa nafaka nanunua mahindi yawe yamekauka vizuri sana yasiwe na uchafu
bei ni 350/kg malipo ni baada ya kushusha mzigo.
Tupo Arusha tunanunua kuanzia tani 10, mahitaji yetu ni tani...
Kabati zuri kabisa la kuuzia chipsi lina portion tatu na vioo safi naliuza kwa being ya laki moja tu. Limetumika wiki mbili tu. Nipo mbezi beach sala sala. Atakae hitaji anicheki 0679478758 au...
Gari ipo katika hali nzur xn na imetumika miez michache xn tz,ni model ya 2008,vvti eng,55k milleage,1490cc,na ni fully duty paid,bei yake 23m maongez kidg,piga 0768359292/0678224427
Habari wandugu,
Tunakodisha tablets for data collection au kwa kazi yeyoye inayohusiana na matumizi ya Tablets.
Zina Kamera zenye ubora na za kisasa zenye uwezo mkubwa.
Tunazo nyingi na za...
HP LCD monitor
Size: 47 cm (18.5 in) widescreen; diagonally measured
With VGA and Power cables
Price: 60,000/= Tshs
Location: Sinza Mori near Lufungila Bus Stop
Contact: 0752776793
Jiunge na MAFUNZO ya UPIGAJI PICHA kitaalamu (DIGITAL PHOTOGRAPHY).Tunapatikana KAWE-DAR ES SALAAM. Mafunzo yanaendeshwa kwa lugha ya KIINGEREZA na KISWAHILI. Pia Gharama za mafunzo ni Nafuu na...
Hello JF!
Kwa wale wamiriki wa taasisi, Kampuni, ama biashara yeyoyote nina ofa yenu leo[emoji3][emoji3].
Ofa yenyewe inahusu proffessional poster design yenye maudhui ya Eid, kwa ajili ya...
Habari waheshimiwa
Wataalam au wajuzi wa printer nina shida na Epson Printer kwa ajili ya kuprint DVD cover za HD picha so kwa anaejua naweza anza na printer ya aina gani hasa za Epson ambayo...
Karibu nikuuzie hii mashine.
Imekaa muda mrefu kidogo bila kutumika ila inawaka vizuri sana.
Iko full document
Changamoto zake:
Betri sio zima sana
Master brake ya mbele
Breki ya mbele
Hivi...
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta wauzaji wa mbao wenye mashine za kupasulia mbao. Ukiwa kama mtu binafsi ama kiwanda waweza kunipm pia kama ni wholesaler wa mbao pia...
HDD 500
Ram 4
Pro 1.6
Aina HP Pro Book 6360b
Bei 190,000
Cont 0628674204 | DSam
Shida
*Haikai na chaji
*Spiker inamikwaruzo kwa baadhi ya video inalia vizuri
Ukubwa wa kiwanja:
Kaskazini mita 8
Kusini mita 27
Magharibi mita 21
Mashariki mita 35
Kiwanja kipo kwembe ,kituo cha mabasi luguruni ( kwa mkuu wa wilaya ubungo) ,njia ya kuelekea ofisi ya...
Lipo kwenye hali nzuri mwenye nalo anahama mkoa kesho hivyo atakaehitaji ni aje achukue leoleo kimara. Tsh 120000 bado lina hali nzuri sana dukani ni laki3
Tuwasiliane pm
Heshima kwenu wajasiriamali tunawaletea mashine za kukaanga,kuchemsha na kunyonyoa kuku boresha biashara yako kwa hizi mashine bora kutoka strong tech
Kaanga samaki kisasa zaidi.
tunapatikana...
Nauza laptop yangu niliyokuwa nafanyia tafiti juu ya kilimo na ujasiriamali baada ya zoezi kukamilikaili nipate fedha ya kugharamia vifaa vya tafiti inayofuata:
Ndani ya laptop hii kuna program...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.