Mizinga ya nyuki inauzwa kwa bei nzuri. Mzinga tsh 90000.
Kwa mawasiliano 0758 308193 ipo Dar lakini unaweza ukapangwa utaratibu ikasafirishwa poote ulipo nchini.
Kombati za kijeshi leather pure zinapatikana kwa Bei ya rejareja na jumla.
Rejareja 65000
Jumla 4000 kuanzia pair 10.
Kwa Dodoma mjini tunakuletea bure na Nje ya Dodoma mjini na mikoani tunatuma...
MCT Tanzania Motors LTD inauza magari used yaliyo katika hali nzuri kwa bei rahisi.
kwa mawasiliano piga 0673202847, 0656642371
Toyota Brevis, bei 9.5m
IST (2003) black, bei 9m
Toyota Alteza 4...
Nyumba Inauzwa Mikocheni
Bei: Tshs 800 Milioni
Ukubwa wa Kiwanja: 570 Sqm
Kiwanja Kimepimwa na Hati Safi ipo
Nyumba ina Vyumba 5, Vyumba 3 ni Selfcontained.
Tuwasiliane: 0716442950
Habari ndugu zangu.
Tunatoa huduma ya kupika majumbani chakula cha familia kuanzia breakfast, lunch hadi dinner.
Unaweza ukatukodi ukatuachia jiko lako na kutupa menu yako unayopendelea kwa siku...
Habari wadau!
Naomba msaada wa kujua bei mbalimbali za vinywaji toka kwa wauzaji au wenye uzoefu wa ununuzi wa vinywaji kwa bei ya jumla, vinywaji hivi viwe kwenye makundi yote yatumikayo kwenye...
Habari juzi nikaamua kugandisha maziw ya ngombe wangu ambayo yanachukuliwag kwa oda (wanaochukua iddi hawakufungua biashara zao mjini ) . So now mtindi ni mzuri Sana upo Kama 30 liter hv bei...
Kama flat tv yako ina changamoto imeharibika au haifanyi kazi (mbovu)
Karibu tukumalizie tatizo lako mara moja
Tatizo lolote la tv tunasolve..
Ofisi ipo ilala karume.
NB: KWA WALIOVUNJIKIWA VIOO...
Wakuu nihitaji kukopa milioni moja fasta. Kuna mambo yamenibana, dhamana naweka hati ya kiwanja. Nipo Dar kama mtu ana idea sehemu naweza pata pia aniambie.
Wakuu kheri ya Idd,
Ndugu zangu wapendwa wote mlio JamiiForums ndani na nje ya nchi nawasalimia katika jina la 47Mbatizaji maana Mungu wetu sote
Niliona 'kibanda' flani kipo Wilaya ya Hai...
Big house for rent. Four Bed room (one is master),Seating room,Dinning room,Kitchen and Car parking.The house is in the fence with enough outside space plus outside toilet. Very near to tarmac...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.