Habari za leo wakuu!
Nijikite moja kwa moja kwenye Mada. Natarajia kuozesha binti yangu katikati ya mwezi wa Sita mwaka huu, nategemea kumfanyia Sherehe ya kumuaga-SendOff.
Nahitaji Ukumbi wa...
Wadau
Nina soko la nyama ya mbuzi nchi za nje kiasi cha tani 2 - 5 kwa wiki .Nina hitaji mtu anayejua juu ya upatikanaji wake ,gharama,kama kuna kiwanda cha uchakataji nk ......kama kuna mjuzi...
Zoezi la kufunga Submita hizi za PREPAY Hizi ni Mita Binafsi Ambazo ni maalumu kabisa kwa wale Watu wanaotumia mita moja ya LUKU zaidi ya mtuu mmoja limekamilika
Faida za hii Mita nikwamba owapo...
Ni mpya nimeitumia mwezi mmoja,
Ina watts 30
Fully water proof
Battery yake inadumu saa 12
Ni HIFI PORTABLE SPEAKER
Ina extended treble and bass
Bei yake ni 450'000/= namba yangu ni hii 0712106223...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu na kutokana na swala la ajira lilivyogumu kuna pikipiki hapa inahitaji kijana mmoja mwenye kujielewa nimpe pikipiki kwa mkataba..
Aliye tayari tafadhari...
Eneo: Skaska( Kituo Kimoja kabla ya Kufika Tegeta)
Uelekeo: Umbali wa dakika 7 kwa kutembea Kutoka kituoni
Bei: Tshs 200,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
Ina Chumba Kimoja, Sebule, Choo ndani na...
Wazee leo nimetembelea sehemu moja inaitwa nyokaa lounge hapa singida mjini ,
Kuna totoz hizooo, yaani ni full of pensi. Ukiwatazama kwa umakini utazani wamevalishwa Pampers za watoto wachanga...
Habari zenu wana Jf, Jamani mwenzenu nataka nifanye biashara ya kuuza mbuzi kutoka mikoa ya kati kuja dar, wenye uzoefu naomba mnisaidie kufahamu soko la Mbuzi yaani bei yake kwa wastani pamoja na...
Karibu upate Kisimbuzi (decoder) Cha Startimes Cha dish kwa 79,000 tu.
Unapata mwezi mmoja bure. Kifurushi kikiisha bado utaendelea kutazama channel zote za nyumbani bure. Ukilipia
Utafurahia...
Pata magazeti safi kwa matumizi mbalimbali
Tunauza kilogram 15 kwa shillingi 20,000/=
Mkoani tunakutumia usafiri tutachangia kama utachukua kuanzia kilograms 1000
Wasiliana nasi kupitia namba...
[emoji830]Tv ina 20 inch screen, inasupport HDMI, Flash na AV cables (Bei 150K)
[emoji830]Subwoofer ina support Bluetooth, FM radio, Flash, SD card na Aux (Bei 150K)
[emoji830]Meza ni ya kioo...
Mbinu hii ya 'Honey trap' pia hutumika katika kuwatafuta maadui wanaokimbia mkono wa taasisi ya intelijensia. Mfano Mordecai Vanunu (pihani - katikati) ni mmoja kati ya watu waliodakwa kwa mbinu...
Nauza To link router kwa bei karibu na bure
TP Link router 3G/4G wireless N Router
brand New Ipo kwenye box lake
Bei tsh 60000
Location karume Dar es salaam
contact 0757870230
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.