Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Asalaam alaikum wanajamii forum Nauza nyumba ambayo namiliki mwenyewe sio dalali 0762987034 Ina vyumba vitatu viwili masters Ina sebule, dinning, jiko , fensi Ni nyumba ya pili toka barabara kuu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ukubwa wa Kiwanja: 1200 Mita za Mraba. Kimepimwa: Ndiyo. Kina Hati: Ndiyo. Bei: Tshs Milioni 100 ( Maelewano yapo ) Eneo kilipo kiwanja: Salasala Karibu na kwa aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Waitara...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari, Mimi ni mdada nipo maeneo ya Tegeta natoa huduma ya kufanya usafi majumbani, kama unahitaji kufua, kuosha vyombo, kudeki n.k. Nafanya usafi na kuondoka. Malipo sio chini ya 10,000. PM...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Chumba na choo chake, Sebule na jiko. Ina tiles, gypsum, maji ndani na fensi ipo. Kodi laki 2 kwa Mwezi, malipo ya miezi 6 yanatakiwa. Karibu 0742141467
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Imetumika kidogo Ipo katika hali nzuri Location: Kunduchi, Dar es Salaam Bei : 220,000/= only
0 Reactions
0 Replies
511 Views
Kuna jamaa (nimsahau) alisema ametengeneza software inayoweza kutumika na kanisa Katoliki kwenye taarifa za waumini kuhusu 1. Jina 2. Jumuiya 3. kanda 4 ULIPAJI zaka na michango mbalimbali 4...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Banda la vyumba vitatu linauzwa.Bei 8.5 million. Banda hili lipo Tabata Kinyerezi.Ina bati la Msauzi. Kwa maelezo zaidi njoo inbox.
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Naomba kuuliza Kwa wenyeji wa Dodoma Kama Kuna kampuni ya kusafirisha mizigo (pikipiki) kutoka dodoma hadi Mbeya. Au kwa wazoefu wa dodoma huwa mnasafirishaje mzigo toka Dodoma hadi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
UNGA MPYA MJINI ARUSHA Tunawakaribisha wauzaji , wasambazaji na wadau wote. Wasiliana na sisi ile kupata fursha hii. Unga wetu ni mzuri, tamu sana na yenye viwango vya TBS. Bei za Jumla: 25kg ...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mchana, Samahani kwa usumbufu. Nilikuwa naomba kama mtu yeyote anayejua kama kuna nyumba ya kupanga ipo naomba anijulishe Location: Buza Bei: 150k Nyumba iwe na vyumba viwili, sebule...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mtu yoyote anaehitaji kununua vitu 1. Kitanda 5/6 2.godoro 5/6 3.vyombo vya ndani 4.gesi 5.shelf ya kuwekea nguo Nipo iringa semtema. Bei ni 300,000 vyote
3 Reactions
27 Replies
3K Views
..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini wadau, Ninahitaji kununua kontena la futi 20 hivi karibuni.ila sijui namna bora ya manunuzi ili niwe salama.maana nasikia kontena huwa linakuwa na Document na sijawahi kuiona hiyo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Ukubwa mita 20 kwa 20 (400sqm). Umeme Upo na barabara nzuri ipo. Eneo limepimwa, hakuna mgogoro. Bei Tsh 4Milioni. Karibu 0742141467
0 Reactions
4 Replies
709 Views
TUNASAFIRISHA MIZIGO KWENDA NJE NA NDANI YA NCHI Karibu Kwa Huduma ya Kusafirisha Cargo Kwenda Nchi za Nje na Ndani ya Nchi Tunasafirisha Kwenda Mikoa Yote ya Tz Bara na Nchi za Nje Kama -Kenya...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Kuelekea Pasaka na Eid wakazi wa Dar free delivery- Tupo Temeke kwa Azizi Ally au Ilala bungoni au Temeke hospitali Super Tsh 2,000 Mzuri Tsh 1,800 ila harufu ni ile ile ya mbeya Wastani Tshs...
3 Reactions
89 Replies
6K Views
Hi I am looking for a swahili tutor to teach my kids swahili. The person must be educated with good english and have use of a laptop for zoom lessons. They must be able to plan each lesson in...
0 Reactions
3 Replies
801 Views
Land For Sale Location: Goba Direction: 3km from Salasala Mwisho wa lami Plot size:400 Sqm- Price: Tsh, 10,000,000 Plot Size: 800 Sqm- Price: Tshs 20,000,000 Plot Size: 1200 Sqm- Price: Tshs...
0 Reactions
0 Replies
668 Views
kama we ni fundi wa kutengeneza viatu vya kimasai nicheck kwa number hii +258866131115
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Chumba masta, sebule na jiko. Bei Tshs 180,0000 Kwa Mwezi, Kodi ya miezi 6 inatakiwa. Maji ya dawasa, luku yake, ndani ya fensi. Karibu 0742141467
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom