Nauza kiwanja changu bei ni Milioni 3 kina ukubwa wa mita 20×20 Kiluvya Makurunge , umeme tayari umefika kwenye kiwanja, barabara inapitika wakati wote
0784 369336
Kiwanja kikubwa kinauzwa Mwanza chenye ukubwa wa zaidi ya square meter 4300.
Pia kina nyumba na miti mingi ya matunda na miti pori.
Kipo buzuruga Mwanza sehemu nzuri kwa kuwekeza real estate...
Mbao/ Nguzo za plastiki zinauzwa.
Tupigie: 0757 100012.
Tupo Tegeta - Ndevu
Zinafaa sana kwa utengenezaji wa samani, ujenzi wa uzio, camps za watalii n.k. Haziliwi na wadudu, haziozi, zinadumu...
Nini kinafanya bati za kiwanda kimoja kuwa na bei tofauti?
Wakati material ni yale yale,kiwanda hicho hicho na machine hizo hizo!
1.Gauge(unene wa bati)
Hiki ni kigezo kikubwa sana katika...
Apartment Inapangishwa
Nyumba: 2 ( 1 Self )
Eneo: Kigamboni-Kisiwani
Bei: Tshs 350,000 KwaMwezi
Muda wa malipo: 6 Miezi
Ina vyumba 2 (kimoja ni masta), Sebule, Jiko na choo cha wote. Maji yapo...
Habari wadau wote humu.
Team nzima ya T shirt Garage Mabibo Hostel inawakaribisha wote humu, kwa mahitaji ya
Custom T shirt,
Wedding Handkerchiefs, Key Holders, etc
Posters,
Off set printing...
JE WAJUA?
Takwimu zime onyesha Miogo ni miongon mwa zao pendwa na lenye faida pia kibiashara Tanzanian na hilo bac inaonyesha Katika Hector moja ya miogo unawez ukatoa mashina 5000 ambayo faida...
Ndugu wadau karibuni, tunauza vifaaa vya magari, pamoja na mataa maalumu kwa daladala, CANTER, FUSSO, ROSSA, na other accessories za magari tofauti kwa bei nafuuu kabisa,
Jipatie bolt & nuts...
Natafuta Engine ya Subaru.
Aina ya subaru ni;
"Subaru cross sport SG5 turbo"
Mwenye Yuko na store ya vipuri vya magari tuwasiliane...nimtembelee ofisini kwake.
Nipo dar es salaam
+255784355775
Brand New! Cisco Catalyst Switch 48Ports.
2 x 10 Gigabit Ethernet with SFP+ and 2 x 1 Gigabit Ethernet with SFP. Get your Quote Now with affordable Price in Town!.
Karibuni sana mjipatie magodoro ya kila aina safi yenye ubora uliohakikiwa na kupitishwa na TBS napatikana kinondoni biafra
Yapo magodoro yenye size mbalimbali kulingana na mahitaji yako na bei...
Tunauza vifaa vifaa vya umeme aina zote.Tupo Karia koo mtaa wa Swahili/Narung'ombe Dar es salaam.
Jipatie fen,bulb touch,switch,switch socket,pasi,waya,top plug,multi plug, extension,circuit...
Habari zenu wadau?
Nauza eneo la ukubwa wa square meter 7081.9
Lipo km 16 kutoka Mtwara Mjini.
Lipo umbali wa meter 860 kutoka bara bara kuu ya MTWARA-NEWALA.
Ni katika kijiji cha MDUWI.
Kuna...
Habari wakuu,
Ninapenda kuuliza, nasikia kuna mnada wa Mbuzi na Ng’ombe Jumamosi katika Mji wa Kibaha eneo linaitwa Loliondo
Napenda kujua upo sehemu gani hapo Kibaha.
Asante
C.c @mshanajr mrangi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.