Habari za asubuhi,
Naombeni kujua sehemu gani nipeleke nguo zangu zifuliwe na kupigwa pass vizuri kabisa maeneo ya Mbezi Mwisho, ilipohamia stend ya magari ya mkoani.
Msaada wenu wakuu?
Habar wana JF mm nina ndugu anatafuta kazi tajwa hapo juu,nifundi mzuri na anashona vzur nguo za kiume na za kike!kwaio naomb mweny kuhitaji mfanyakaz wa hio kaz anitafuta, natanguliza shkran
Habari wana elimu, kama title inavyojieleza hapo juu. Nauza softcopy ya vitabu vya maswali na majibu kwa combination ya PCM.
Kuna vitabu vya topics kama
1. Organic Chemistry Questions & Answers...
ROYAL SECURITY SECURITY SOLUTION Inakuletea alarm security system .
Lala bila wasiwasi sasa kifaa hiki hutakiwi kukikosa nyumbani kwako ni kifaa kidogo unachokifunga mlangoni, dirishani au kwenye...
Lenovo Ideapad 330
8th Generatio
HDD 1000GB/1TB
RAM 4GB
Core i3
Battery 5hours+
Price Tsh. 550,000 only
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Nyumba zinauzwa apartment zipo 2 kila nyumba moja inavyumba v3 vyakulala nyumba ipo tegeta wazo kwamakamba bei milion 70 maongezi yapo kalibu 0712943877
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji605][emoji605][emoji91][emoji91][emoji91]
Baiskeli za watoto
Tsh 140,000/=
Mtoto kuanzia miaka 2 mpaka 6.
Ni imara na ngumu.[emoji1434]
[emoji1370]
Kwa...
Velvet Walllaper with stones kali sana
Roll moja ya VELVET WALLPAPER ELF 70
Roll moja ina urefu meter 10
Upana cm 53
Gundi pakt moj elf 10
Ufund elf 15 kwa kila roll moja
Tupigie/whatsApp...
Katika kuhakikisha kazi yako inakuwa safi na nadhifu kabisa. #watusmartpackaging tunajuza leo mambo muhimu kabla ya kuchapisha mifuko toka kwetu au sehemu nyingine.
1. Artwork /picha Kabla ya...
Habari,
Kama mada inavojieleza niko Mbioni kufungua chuo cha Udereva kwa ajili ya Mteja wangu mmoja na ninahitaji Mwalimu Mzuri wa udereva ambaye anatakiwa akidhi vigezo vifuatavyo:
Awe na notes...
Habari za leo wakuu?
Jamani mimi natarajia kuanza kilimo kwa ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, nguruwe pamoja na mbuzi wa kisasa (mbuzi wa maziwa).
Naomba msaada wa ushauri na maelekezo kwa wazoefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.