Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu nilikuwa Serengeti nimevunjwa vunjwa mgongo na mashimo nikiwa kwenye gari . Naomba anaejua sehemu nzuri ya massage Arusha mjini. Asanteni in advance. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Banda la chakula , chipsi na vyakula vingine linauzwa , lipo (SAUT) malimbe kwa masha karibu na hostel ya south village , lina vitu vyote vya kupikia na mabenchi ya kisasa , liko sehemu nzuri...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Huu ubao hutumika kuninginiza vifaa kama vifaa vya simu n.k, unaitwaje? Na naweza upataje? Unaonekana kwa nyuma.
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Ina vyumba viwii vya kulala , choo cha ndani na nje. Ina jiko ,dinning na baraza ya mbele na jikoni. Nyumba inajitegemea mifumo ya maji na umeme. Ipo ndani ya fence,bei ni 250000/= fixed. Ipo...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Wakuu habari ya wakati huu, naomba kujua naweza pata wapi camera ya gari kama hii hapa bongo na bei yake pia Natanguliza shukrani.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari wakuu, Vijana wetu hususani walio shule ni miongoni mwa wanaosumbuliwa na matatizo ya afya ya akili, ikiwemo KHOFU ILIYOPITILIZA. Kwenye maisha khofu ni jambo la kawaida, lakini...
0 Reactions
0 Replies
766 Views
SOLD SOLD SOLD
0 Reactions
6 Replies
798 Views
Sim Tecno Spark inauzwa 150k..IPO kwenye hali nzuri Nichek 0683 141402. Dar
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Nahitaji kiwanja Dodoma sifa za kiwanja na offer ni kama ifuatavyo: 1. Kiwanja kisiwe umbali wa Meter 600 kutoka barabara ya lami. 2. Kiwanja kisiwe sehem yenye mafuriko ya msimu wa mnvua. 3...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Recently registered number DT Pick up single cabin African specs from Toyota Tanzania special for Africa 2010 model year 1hz diesel power with black top 16-valve New four tires by GT-RADIAL...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kupunguza mwili, moja ya lengo la wafanya mazoezi wengi kuna mazoezi mengi ya kupunguza mwili, kupunguza mwili ni muhimu ukizidi sana na kuzidisha mwili muhimu ukikonda sana (Body Loss& Body...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau. Nina gari yangu aina ya IST naiuza. Ipo kwenye hari nzuri sana. Niliagiza ins kama week moja tu lakini nataka nibadilidhe gari nyingine. Bei ni milion 12.5 tu
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya watu huyakataa magari kwa kuangalia Cc za engine(Engine capacity). Lakini huenda kuna watu wameacha magari mazuri kwa sababu ya kigezo hiki. Hebu tuangalie baadhi ya mambo mengine...
14 Reactions
56 Replies
16K Views
》Nitakupa Ushauri jinsi yakuanza/kufanya kazi ya uzaliahaji wa dhahabu katika faida. 》Nita kusimamia shughul zote za uzalishaji (vat leaching) na elution plant mpaka pale product (gold dore)...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Mnada halmashauri ya mji korogwe
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NAJIDAKIA STORE WANAKULETEA Jipatie mashine ya kutengeneza ice cream na chockstick au lamba lamba Mashine ya ice cream ni imara unaweza kutengeneza takribani Lita 200 Kwa siku na umeme kidogo...
0 Reactions
45 Replies
8K Views
Hello wandugu,baada ya kumalizana na shule (UDSM) narejea mkoani kikazi, hii itawafaa wanafunzi zaidi... Chumba kipo Mwenge Mpakani, (karibu na Jeshini) kina kitanda na godoro lake (5×6), meza ya...
4 Reactions
66 Replies
9K Views
ni kamera nzuri mno kwa photos shooting videos shooting inakuja na memory na chaji ni full hd nimeitumia kwa miezi miwili tu naiuza kwa 380000 laki 3 na 80 0623953039 0659756647 whatsapp nipo dar...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Bei za promotion tsh 150000 tu unapata bidhaa bora kabisa kama zinavyoonekana kwenye picha router tsh 150000 Biometric tsh 150000 contact: 0757870230
0 Reactions
1 Replies
513 Views
BRAND: Iphone only MATERIAL: silicone Bei:15,000/= DELIVERY: AVAILABLE WHATSAPP: 0621585708 CALL: 0621585708
0 Reactions
1 Replies
34K Views
Back
Top Bottom