Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza decoder na dish la DStv kwa sh 60000 tu. Eneo Kibamba mbezi mwisho Dar es Salaam 0659130177.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hi vipenzi, Naomba niwaagizie pochi hizi kwa Bei ya tsh 15 tu from china(transport inclusive), usafiri Ni siku 30 tu mpaka kupokea, minimum order Ni 5pcs. Ni 3pcs ya wallet,pochi kubwa na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za jioni ndg. Tunatengeneza kadi za PVC Kwa ajili ya mialiko mbali mbali ya event ikiwemo harusi, sendoff, kitchenparty, ndunduparty, na michango ya harusi. Bei zetu ni 150k badala ya 200k...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wana Jamii naitaji gari Toyota Ist au Toyota Allex au Runx kwa offer ya ml.9 #kuanzia DS 0717064646 0766503680 Nipo Boko Dar-es-Salaam Ofa Milion 9
2 Reactions
4 Replies
791 Views
Napenda kutambulisha kwenu kampuni ya Isecure technology inayojihusisha na mitambo ya kisasa ya kielektroniki ya usalama majumbani, ofisini , viwandani, godowns, mashuleni na sehemu yeyote...
2 Reactions
38 Replies
5K Views
Kila mtu anapenda kuwa na nyumba nzuri , ya kisasa na inayopendeza , lakini kuna jambo moja ambalo wamiliki wa nyumba au mafundi wanaohusika kwenye ujenzi huwa hawatilii maanani. Leo nataka...
7 Reactions
77 Replies
12K Views
Habari. Kwa karibu mwaka mmoja sasa tumekuwa tukitoa huduma ya security systems kama GPS tracker , security cameras , electric fence , access control systems. Leo nimeona niongelee kuhusu huduma...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Karibuni mjipatie CCTV camera system kwa ajili ya usalama wa nyumba yako, Tunafunga system za kisasa kabisa zinazohakikisha kuwa itarekodi matukio yote muhimu na kuyatunza kwa muda mrefu zaidi...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Zimeondoka tayari
1 Reactions
22 Replies
2K Views
bado bidhaa zetu zinapatikana, na kwasasa chaguo ni lako ukitaka kununua yaliopo ofisini kwetu sawa au ukitaka tukutengenezee hata hapo nyumbani kwako pia sawa, sisi tupo kwaajili ya kukuhudumia...
4 Reactions
190 Replies
104K Views
Wakuu salama hii tipper inauzwa Arusha Town. Namba A Engine 16 Bei: 39m (maelewano yapo) Location: Arusha Phone: 0788340483 Tairi zote mpya NB: Boss mtu wa maelewa sana. Gari haina kipengele...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ya asubuhi wadau. Wapi naweza kupata boti ndogo kwa ajili ya uvuvi mdogo kwa maeneo ya Dar ama Pwani? Unapojibu tafadhali ambatanisha picha na bei elekezi. Naambatanisha picha za aina ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa yeyote mwenye laini ya Lipa Kwa m-pesa isiyokuwa na makato yoyote zero to zero charges ninashida nayo, so kama unayo tuwasiliane PM.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani blauzi za mtumba hizo za kike grade one tunauza sh 5000 moja au ukichukua 10 na kuendele unachukua kwa bei ya jumla (4500/4000),nguo zote ni quality pitia account yetu ya instagram kuona...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
💥UNGEPENDA KUJIFUNZA KUSHONA?! HII NI NAFSI YAKO..💥 ⚫JE, umemaliza darasa la saba, form 4 au form 6 umekaa nyumbani bila mwelekeo au umeajiriwa lakini unatamani kujifunza kushona iliupate side...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Angalia unachokitaka then nicheki nikuhudumie kwa Bei ya maelewano. 1. Naprint T SHIRT @15000/= (kudarizi na kawaida) 2. Naprint VITAMBULISHO VYA PVC @3000/= 3. Naprint Business cards 20000/= kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kiwanja kipo maeneo ya ubungo kibangu karibu na kwa novo size ya kiwanja ni nusu heka bei ya kiwanja ni milion 35 kiwanja kina hati moja ivyo unakatiwa nusu heka hlf hati inafuatiliwa ya kwako tu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Recently regisered no.DUJ Black mettalic color 2008 model 5-seater passenger 2.4cc engine capacity 2AZ-FE VVTI Engine 4-cylinder 16-valve Automatic Gear Transmission •Low mileage 72,855km All four...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hatimae LWANDA MAGELE ameshatoa kitabu chake Cha kwanza alicho simulia story ya maisha yake hapa jf jipatie nakala yako kwa 5000 tu. Angalia uzi wake huu hapa Mikasa ya ajabu nilioushuhudia kwa...
8 Reactions
85 Replies
16K Views
Wadau habari. Ninataka ya kununua combine harvester lakini sijajua life span ya hizi mashine. Mwenye uzoefu aniambie kama ni kwa muda gani hii mashine inaweza kufanya kazi bila kubwa ama naweza...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom