Hi vipenzi,
Naomba niwaagizie pochi hizi kwa Bei ya tsh 15 tu from china(transport inclusive), usafiri Ni siku 30 tu mpaka kupokea, minimum order Ni 5pcs.
Ni 3pcs ya wallet,pochi kubwa na...
Habari za jioni ndg.
Tunatengeneza kadi za PVC Kwa ajili ya mialiko mbali mbali ya event ikiwemo harusi, sendoff, kitchenparty, ndunduparty, na michango ya harusi. Bei zetu ni 150k badala ya 200k...
Habari wana Jamii naitaji gari Toyota Ist au Toyota Allex au Runx kwa offer ya ml.9
#kuanzia DS
0717064646
0766503680
Nipo Boko Dar-es-Salaam
Ofa Milion 9
Napenda kutambulisha kwenu kampuni ya Isecure technology inayojihusisha na mitambo ya kisasa ya kielektroniki ya usalama majumbani, ofisini , viwandani, godowns, mashuleni na sehemu yeyote...
Kila mtu anapenda kuwa na nyumba nzuri , ya kisasa na inayopendeza , lakini kuna jambo moja ambalo wamiliki wa nyumba au mafundi wanaohusika kwenye ujenzi huwa hawatilii maanani.
Leo nataka...
Habari.
Kwa karibu mwaka mmoja sasa tumekuwa tukitoa huduma ya security systems kama GPS tracker , security cameras , electric fence , access control systems.
Leo nimeona niongelee kuhusu huduma...
Karibuni mjipatie CCTV camera system kwa ajili ya usalama wa nyumba yako, Tunafunga system za kisasa kabisa zinazohakikisha kuwa itarekodi matukio yote muhimu na kuyatunza kwa muda mrefu zaidi...
bado bidhaa zetu zinapatikana, na kwasasa chaguo ni lako ukitaka kununua yaliopo ofisini kwetu sawa au ukitaka tukutengenezee hata hapo nyumbani kwako pia sawa, sisi tupo kwaajili ya kukuhudumia...
Wakuu salama hii tipper inauzwa Arusha Town.
Namba A
Engine 16
Bei: 39m (maelewano yapo)
Location: Arusha
Phone: 0788340483
Tairi zote mpya
NB: Boss mtu wa maelewa sana.
Gari haina kipengele...
Habari ya asubuhi wadau.
Wapi naweza kupata boti ndogo kwa ajili ya uvuvi mdogo kwa maeneo ya Dar ama Pwani? Unapojibu tafadhali ambatanisha picha na bei elekezi.
Naambatanisha picha za aina ya...
Jamani blauzi za mtumba hizo za kike grade one tunauza sh 5000 moja au ukichukua 10 na kuendele unachukua kwa bei ya jumla (4500/4000),nguo zote ni quality pitia account yetu ya instagram kuona...
💥UNGEPENDA KUJIFUNZA KUSHONA?! HII NI NAFSI YAKO..💥
⚫JE, umemaliza darasa la saba, form 4 au form 6 umekaa nyumbani bila mwelekeo au umeajiriwa lakini unatamani kujifunza kushona iliupate side...
Angalia unachokitaka then nicheki nikuhudumie kwa Bei ya maelewano.
1. Naprint T SHIRT @15000/= (kudarizi na kawaida)
2. Naprint VITAMBULISHO VYA PVC @3000/=
3. Naprint Business cards 20000/= kwa...
kiwanja kipo maeneo ya ubungo kibangu karibu na kwa novo
size ya kiwanja ni nusu heka
bei ya kiwanja ni milion 35
kiwanja kina hati moja ivyo unakatiwa nusu heka hlf hati inafuatiliwa ya kwako tu...
Hatimae LWANDA MAGELE ameshatoa kitabu chake Cha kwanza alicho simulia story ya maisha yake hapa jf jipatie nakala yako kwa 5000 tu. Angalia uzi wake huu hapa Mikasa ya ajabu nilioushuhudia kwa...
Wadau habari.
Ninataka ya kununua combine harvester lakini sijajua life span ya hizi mashine. Mwenye uzoefu aniambie kama ni kwa muda gani hii mashine inaweza kufanya kazi bila kubwa ama naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.