Mwaka wa kutengenezwa 2001
Aina ya Injini 4D33
Uwezo wa Injini 4,210cc
Uwezo wa gari Tani 2
Manual transmission
Nyeupe
Accessories
AC
Power Window
Power Steering
Mahali ilipo MWANZA
Bei Tshs...
1. Viko umbali wa 4km kutoka lami au 4km kutoka Dar es Salaam Zoo au 14km kutoka Kibada centre ama 23km kutoka ferry
2. Vimepimwa tayari kwa hati
3. Unaweza lipia hadi hati halafu tukakutafutia...
Shamba la miti ya mbao ekari 80 linauzwa kijiji cha kibengu wilaya ya mufindi km 60 kutoka mafinga mjini, miti ina umri wa miaka sita.
Mahali panafikika kwa usafiri wa aina zote. Bei elekezi ni...
Habari wadau. Nina hitaji hii battery na chaja kwaajiri ya simu yangu ya mezani.
Can someone please help before sijakata tamaa na kuingia mwenyewe mwituni kuvitafuta.....
Natumai nyote mna jioni njema kabisa kama ilivyo kwa upande wangu.
Napenda kutumia fursa hii kuwataarifu nyote kuwa iwapo ikatokea unakuja mjini Bariadi kwa shughuli yoyote ile, iwe kikazi...
TANVORES tunawaunganisha wakulima, wafugaji na wavuvi pamoja na wachakataji wa bidhaa hizo moja kwa moja kwa wateja.
Ni rahisi, tuma picha ya bidhaa zako, mawasiliano na mahali ulipo nasi...
Niaje kuku farm inakukaribisha wewe mfugaji mdogo na wa kati mwenye ndoto za kukuwa kwa speed nzur na kupata faida kwenye ufugaji wako katika mafunzo ya utengenezaji wa mashine za...
Jipatie smartwatch kali inayosuport android na ios kwa bei ya jumla na rejareja
t 500
Inatumia wireless charge
ina kioo kikubwa full hd
Unapokea simu kwenye saa yako
inakutumia notification zako...
Habari wadau,
Nahitaji Howo tipa 6×4 Yaani yenye tairi 10. Iwe nzima, safi na tayari kwa matumizi. Iwepo Dar ili kurahisisha ukaguzi. Offer yetu haizidi 60M. Kama unayo tafadhali nitumie picha...
Wapendwa nawasalimu nyote
Naomba kwa anayefahamu bei mpya za mashine ya luku ya umeme kulingana na aina zake na viwango vyake ..maana nataka kununua hiyo mita kwa matumiz ya salon yangu peke...
Habari wanabodi
Natafuta fundi wanaoweza kuni-designia mini coffee shop yangu kwa namna ambayo ni ya kisasa.
Mafundi wazoefu karibuni kwa michango yenu.
Habari waheshimiwa
Nauza apple imac core 2 duo mtumba kutoka nje(ziko nyingi)
sifa zake
Hdd 500gb
ram 2gb (inaongezwa)
nch 24 wide
processor 2.8ghz
core 2 duo
graphics ATI radeon HD 2600 PRO 256...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.