Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Ipo vzuri haina tatizo lolote lile Ipo mabibo dsm Battery health [emoji817] call/txt/whatsapp 0768048752
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu [emoji3577] Ni matumaini yangu wote ni wazima kabisa. Nauza Jiko la njia nne ambazo tatu ni za gas moja ndo umeme kwa 280000 tuu fixed price. Pia nauza Water dispenser aina ya Bruhm kwa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ndugu wana JF. Msaada kwa anayejua wapi panakopeshwa pesa kuanzia 15,000,000 kwa dhamana ya vitu vya thamani Kama nyumba, gari ,mitambo n.k Nawakilisha.
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Vipo vitabu vya Pure Mathematics, Geography, History pamoja na English kwa ajili ya wanafunzi wa form 5&6. Vitabu vimetumika, ila vipo katika hali nzuri. Bei: Pure Mathematics 1 = 25,000 Pure...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Tunafunga Gps car tracking system kwa siri ili kuzingatia ulinzi na kujua mwenendo wa gari , bajaji, pikipiki yako kwa bei nafuu. Tupo Dar Es Salaam na pia kwa mikoani tuna mawakala wetu. Kuona...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Kiwanja kizuri na kikubwa kinauzwa Tabata. Bei mil 11 Ukubwa ni 30*30 Huduma zote zipo maji na umeme. Mita chache kutoka barabara kuu ya mawenzi. *ardhi ina mchanga mwingi utapata was kujengea...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nipo mbeya na ntakufuata mbeya sehemu yoyote kununua
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Spika zinauzwa aina mbili tofauti moja ni aina ya tiger zipo,mbili ndefu na mbili fupi zote zina mixer yake na ni mpya kbs hazijatumika spika mbili kubwa bei yake ni 400,000 ,zinatumia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
App ya Piman tv max inapatikana Playstore kwa kusearch neno Piman tv, Lakini App hii Haijazinduliwa hivyo tumei publish playstore kwenye kipengele cha Development. Karibu kwa Ushauri wako wewe...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Nyumba ipo Bomangombe Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro Ngalawa Road, nyumba bado ni mpya na ina room nne za kulala. Ambazo mbili ni master, ina sebule kubwa, jiko, stoo pamoja na dining. Bei...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
pata meza ya kulia chakula ya kioo kwa sh 90000 pia kuna friji dogo mlango mmoja kwa 180000 pia kuna sofa la ngozi bado lipo kwenye hali nzur kabisa kwa 180000. vitu vinapatikana dar gongo la...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini za kutwa nzima ndugu zangu Watanzania, nilikuwa nahitaji kufahamu bei za bajaj mpya na used za tvs.
1 Reactions
12 Replies
39K Views
Kichwa cha habari cha jieleza naombeni msaada wa kupata hizi bidha,Napatikana dsm NB;Naitaji sendo kama sendo sio yeboyebo [emoji120]
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Hello Jf. Kiwanja kiko katika mazingira mazuri mazuri kama kinavyoonekana Kishapimwa, hati ndio inasubiriwa Umeme upo, hatua chache huongezi nguzo Maji yapo lakin chumvi. Dawasa inakuja soon...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Tunauza wino wa photocopy mashine aina ya CONON IR zote pamoja na HP PRINTERS.... Kwa Bei ya Shs 19,000/= kwa Jumla. Kwa mawawsiliano 0754257556 Kusafilisha mikoani BURE!
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wakuu! Naomba kujulishwa mahali naweza kupata mashine za kukwangua nazi kama hii inayoonekana kwenye picha kwa hapa Dar es salaam na bei zake. Natanguliza shukrani kwenu!
0 Reactions
2 Replies
3K Views
NATAFUTA FUNDI MAKIN SANA ATAWEZA KUNITENGENEZEA HIZI SHELVES KWA AJIL YA DUKAN NA KUFANYA INTERIOR DESIGN Kwa Dar
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu woote, Nahitaji kukodishiwa turubai mfano wa hili hapa chini, kwa muda wa wiki moja kw ajili ya klinik ya afya ngozi BURE.Itafanyika Mbezi mwisho , Dar es salaam. Kama unajua...
0 Reactions
0 Replies
393 Views
Eneo lipo Kibada block 18, Ukubwa wa eneo ni SQM 3500. Eneo lemepimwa na lina hati kutoka wizara ya Ardhi. Linafaa kwa matumizi mbali mbali, kama vile, Go down, Kiwanda kidogo, Ujenzi wa shule...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom