Wakuu habari.
Nahitaji mawasiliano na madalali wa ndizi ama viazi mbatata walioko soko la Mabibo DSM.
Nataka kujua abc za soko hapo town, anaeweza kunisaidia tuwasiliane pm tafadhali.
Machine mpya ya kusafishia ndani ya gari
Inatumia umeme wa gari 12V
Inanyonya michanga,vumbi,takataka ndogo ndogo
Inanyonya vumbi kwenye viti
Bei 40,000 tu.
Free delivery ukiwa dar
Call/WhatsApp...
Habari Wana hf nafanya delivering ya bidhaa mpaka ulipo tunakufikia ikiwemo hotelini, migahawani na majumba binafsi ya watu huduma zetu ambazo tunazo ni
Vitunguu maji
Vitunguu swaumu
Dagaa wa...
Habari za jioni wana jamvi kwa anaehitaji bata aina ya Muscovy (bata wa kawaida), kuku wa kienyeji na sungura
Napatikana Chanika kwa Singa.
Call 0746696878
Habari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana nilie maliza elimu yangu kwa level ya bachelor mwaka 2017, toka kipindi hicho nimejaribu kufanya vitu tofautofauti ikiwemo vyakujiajiri binafsi na vyengine...
As a Founder and Principal Consultant of Furia Consulting Ltd, I cordially introduce you to Furia Consulting Ltd. We offer project management and consulting services in Tanzania and...
Msasa wa umeme aina ya BOSCH PSS 200 AC. Ni brand new haujawahi kutumika wa pembe nne. Bei laki moja 100,000/=
Nicheki kwa no 0686055444 niko dar mbezi mwisho
Wakuu sitaki niwachoshe mimi ni msanii ninajitafutia kipato kutumia sanaa ya mikono yangu.
Binafsi napenda kutumia fursa hii kutangaza kipaji changu pia ningependa na wewe mpenzi uweze kusupport...
Habari wana jf,
Kwa siku ya kesho alhamisi ya trh18/02/2021 natafuta gari aina costa au hiace nipo Dar-es-Salaam Kiwalani, gari inatakiwa saa 11 jioni inatakiwa hapa hapa Dar haitoki nje ya...
Aina nzuri ya hizi mashine naweza kuzipata wapi hapa Dar? Naomba na bei zake:
1. Mashine ya kujaza upepo (Air compressor)
2. Mashine ya kuchomelea (Welding machine)
A & Y milk suppliers ni wauzaji wa maziwa fresh pamoja na mtindi kwa bei nafuu sana.
M. FRESH Litre 1 = 1,800
M. MTINDI Litre 1 = 2,000
Weka Order yako sasa. [emoji1636][emoji1636]
Tunapatikana...
Kaptula kali, nzito 100% original zinapatikana kwa bei nafuu kabisa...
Zipo Mwenge karibu na Santika Hall, Dar es Salaam
Mikoani tunatuma kwa gharama ya mteja
Bei: 18,000/- tu
WhatsApp...
Habari wakuu,
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii, tumeamua kukuletea Computer kwa bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.