Mashine kwa ajili ya mazoezi ya Tumbo na mwili mzima imetumika miezi mitatu tu naiuza kwa laki na nusu (150,000) tu bei ya dukani ni laki mbili na nusu (250,000).
Nipo kitunda Dar es salaam...
call/WhatsApp 0656 666 662
-Fryer mpya ya kisasa ya chips ya umeme
-Ina matank mawili
-ina ingia lita 6 za mafuta kila tank
-made by stainless steel,haipati kutu
-inaivisha chips mara moja zaid ya...
wakuu nahitaji laini ya kununua ya lipa kwa mpesa (nahitaji ambayo haina makato)
Kama unayo nichek PM tufanye biashara
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anaeuza hii Oven au anae jua mahala zinauzwa naomba
tuwasiliane 0744243978,
Iwe One deck au 2deck,
Please tusaidiane hata kuulzia kwa wazoefu mnaowajua
Nimehangaika Sana kuitafuta.
Nyumba hii ni mojawapo ya nyumba zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mwaka 1968.
Ni nyumba ya mjengo wa kizamani. Ina nyumba vitano vya kulala na korido katikati. Uani kuna choo 2...
Habari,
Kitanda kinauzwa 5*6, bila godoro, hakina tatizo lolote na sababu ya kukiuza ni muhusika anahama mkoa kikazi,
Location ni Mbezi beach, Bei yake ni 250K,
No. ya simu whatsap ni...
◉ Mashine hii inahesabu pesa zote za noti iwe fedha ya kigeni mfano:- dollar , euro, kwacha, Tshs n.k.
◉ Unaweza kuitumia ofisini kwako, dukani kwako katika matumizi mbalimbali ya kuhesabia pesa...
TUTAFUTE: 0764 22 68 67 call, SMS or whatsap.
FREE DELIVERY MIKOANI TUNATUMA PIA TUNAUZA KWA JUMLA (WHOLESALE)
Specifications:
Energy Saving,Smart TV ,Youtube, Google. Facebook, Skype.
Slim...
Wakuu habari zenu,
Nauza miche bora ya mchaichai kwa bei ya shilingi 1,000, kwa yeyote anayetaka naomba tuwasiliane kwa namba ifuatayo 0785100139. Nipo Dar es Salaam.
Karibuni sana.
Nyumba 2 zinauzwa kwa pamoja ndani ya eneo moja shilingi milion 70. Maongezi yapo.
Zipo Kimara Mavurunza. Gari inafika mpaka mlangoni. Umeme upo. Nyumba ya kwanza inavyumba 12, vitatu ni master...
Habari wanajamii forum popote mlipo. Waswahili wanamsemo wao usemao asiyejua maana haambiwi maana nauza mayai mawili ya bundi yote kwa tsh milioni tano (tsh 5000,000) kwa anayehitaji tuwasiliane...
Piece moja sh.35, 000.
Upana mita 2, Urefu mita 3.
Deliveries zipo kwa Dar na mikoani natuma pia.
Ukihitaji nipigie au nicheki whatsapp nikutumie samples uchague 0685269533.
Mizigo mipya imeingia sasa;
Jipatie
[emoji3502]nguo za kike na kiume
[emoji3502]mashuka
[emoji3502]viatu; sport na official
[emoji91][emoji91][emoji91]
Kwa wateja wa mikoani usafiri ni wa...
Habari wanajamvi...?
kampuni ya OCEANKISS LTD, inachukua fursa ya kuwakaribisha wateja wote muweze kujipatia magodoro bora kabisa kwa gharama nzuri yenye unafuu na hii ni kwa watu wote mlio ndani...
Nyumba Ipo Kiluvya Madukani,
Nyumba Ipo umbali wa Kilometer Moja Kutoka Morogoro Road. Ukubwa Wa Eneo ni mita 15 Upana na Urefu mita 22.60. Nyumba Ina Vyumba Vitatu Vyote ni Masterbedrooms...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.