Dji phamtom 4 drone in new condition haijatumika kwa kazi yeyote zaidi ya kutestiwa toka inunuliwe.ilinunuliwa mwaka jana mwezi wa 10.
Bei 2.7m(maongezi yapo kidogo sana).
Nicheck 0752527054 or...
Hii ramani ina masterbedroom, two bedrooms, sitting room,kitchen, dining,store room, public toilet na ina urefu 12.25m x upana 13.05m. kwa mahitaji ya ramani, makadirio, ushauri na usimamamizi wa...
Laptop aina ya HP inauzwa ipo kwenye hali nzuri haina tatizo lolote lile. Specs
HDD: 1TB
PROC: Corei3
RAM:4GB
Bei: 800,000/=
Maongezi yapo.
Ipo Dar Msasani. Kwa anaehitaji anicheki whatsaap kwa...
"Kutoka Ndoto mpaka Hatima"
Ni kitabu chenye maudhui ya kipekee kinachozungumzia maisha katika nyanja mbalimbali ikiwemo familia, uchumi, malezi, mitazamo ya maisha na shuhuda mbali za watu...
"Kutoka Ndoto mpaka Hatima"
Ni kitabu chenye maudhui ya kipekee kinachozungumzia maisha katika nyanja mbalimbali ikiwemo familia, uchumi, malezi, mitazamo ya maisha na shuhuda mbali za watu...
Nyumba inapatikana ukonga, Mombasa
Njia ya lami kuelekea mazizini.
(Kutoka stand mpaka kwenye nyumba ni mwedo wa dakika 5)
Maelezo.
Nyumba ina vyumba viwili (ikiwemo master moja)
Sitting room...
Viwanja hivi vinapatikana Vikindu, vimezungukwa na huduma muhimu kama maji, Umeme, Shule, Hospital n.k umbali kutoka Vikindu Stendi ni km 2
Ukubwa Futi 50 X 40 Milion 1.
Ukubwa Futi 50 X 80...
Umechoshwa na Tv box za kichina ambazo zipo slow, ngumu kutumia na hazina features nyingi? Karibu kwenye ulimwengu mpya wa Android kwenye Tv yako kwa kutumia Fire stick.
Fire stick ni tv Box...
Rejea hiyo Subject hapo juu. Sina nguvu yakununua vipya, hivyo nataka used chenye afya. Natambua na kuheshimu Madalali ila kwenye hili ninahitaji wamiliki.
Juzi dalali kaniambia Carry mil3.7...
Panasonic gh5s bei ya ofa jamani kwa anayeifahamu anajua dhamani yake kama uifahamu tafadhali ingia youtube search "panasonic gh5s review" uone ubora wa hii camera.
Bei 4m (maongezi yapo kidogo...
Korosho Zinapatikana kwa jumla Na reja reja kwa Bei Nafuu Sana{kwa Jumla na Rejareja}
Korosho zipo Aina mbili
1 Brown za chumvi , kilo Tsh 20,000/=
2 Nyeupe kavu, kilo Tsh 18,000/=
unafikishiwa...
Karibuni programu ya PreForm 5, wiki 12 kuanzia tarehe 1 Machi. Gharama ni shilingi laki 5 lakini zitarejeshwa (kwa kukatwa kwenye karo ya shule) ikiwa kijana atajiunga F5 mwezi Mei, kwa hiyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.