Karibu nikutengenezee MATANGAZO ya sauti na motion graphics kwaajili ya Tv(tvc), Radio station, pia social media...(instagram, fb)etc, kwa wale wenye Biashara mbalimbali(HOTELS, MADUKA, PUB...
Sasa wale walio kuwa wana boreka na Spread za templer, hatimaie Tickmil ambaye ni ECN broker mwenye Zero spread anatuletea huduma ya kuweke pesa na kutoa kama Templer yaan kwa simu.
Ukitaka...
Kuna mtoto wa mtu amejaa, anataka nimvishe pete, nimeona isiwe tabu ngoja nikate kiu yake.
Naomba kujua maduka yanayouza pete original za madini kama almasi, dhahabu, shaba ama tanzanite kwa hapa...
HOUSE FOR SALE LOCATION TEGETA MASAIT
NYUMBA KALI YA KIBABE INA VYUMBA V3
MASTER BEDROOM ZOTE
SEBULE KUBWA
JIKO LENYE MAKABAT
NYUMBA NIMPYA
UWANJA UNA QM 1200
PANA HAT SAFI
BEI MILLION 350...
Wadau, kwa yeyote mwenye shida tajwa hapo juu, tafadhali wasiliana nasi
Ikiwa wewe ni mwanafunzi wa chuo unahitaji 'document' yako iwe 'polished' vizuri,
Mfanyakazi na unahitaji 'document' yako...
Habari
Kitanda cha kizamani 4*6 mninga na godoro lake naviuza kwa pamoja elfu 70. Kipo Kigamboni mbele ya Kibada. Godoro halijachoka lipo safi.
Nimeambatanisha na picha. Mawasiliano 0622 426120.
Kiwanja kipo Chanika mwisho njia ya Mvuti (Kwa Bwaje)
Ukubwa wa kiwanja ni 20 * 40 (sqm 800)
Umeme na maji vipo karibu.
Bei ni Millioni 4 mazungumzo yapo.
Kiwanja hakina dalali ni cha kwangu...
Ndugu zangu ,marafiki zangu
Napenda kuendelea kuwaambia kuwa ninatibu baadhi ya magonjwa na kutoa ushauli magonjwa mengine
Magonjwa ninayo tibu
-vidonda vya tumbo na chembe ya moyo
-matatizo ya...
Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level.
Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni...
Nauza Bajaji tvs shilingi milioni mbili na laki nne(2,4000,000) na pikipiki boxer laki tisa tu (900,000) kwa maelezo zaidi kama umepungukiwa au kuziona namba ni 0655634017 vyote vipo mbagala Dar
Simu Samsung A10s inauzwa.
1 Dual camera- 13MP +2MP dual rear camera na 8MP front camera
2 finger scan- well functioning
3 warranty- 2years but used 3 months mpaka sasa
4 Octa core processor...
Habari, Nikiwa kama mdau wa mambo ya usalama leo kuna jambo dogo nahitaji kushirikiana na kukumbushana katika nyakati hizi nanyi wamiliki wa vyombo vya usafiri na wadau wengine katika sekta ya...
Inawezekana wewe ni mfanyabiashara, mjasiriamali, meneja usafirishaji, au ni mmiliki wa gari/magari. Leo nataka nikuonyeshe ni jinsi gani gari iwe ni yako ya binafsi au ya kiofisi linavyoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.