Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Tuko kwa ajili yako ewe mfanyabiashara unayetaka ubinifu katika kuwavuta wateja! Kama una hitaji kuprintiwa mabango na kuwekewa eneo utakalo, ukitaka printing za bronchures, Company profiles...
0 Reactions
1 Replies
459 Views
Jipatie ofa ofa ya perfume msimu huu wa Valentine Day kwa bei nafuu kabisa kwa ajili ya kunogesha siku ya wapendanao ukiwa na perfume bora kabisa! Tunapatikana -Mbezi Beach Dar unaweza kuweka...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
New lamination mashine inauzwa inahitajika hela fasta tuokoe Maisha ya mgonjwa Price 80 Location Mbeya PM FOR MORE INFO
0 Reactions
0 Replies
654 Views
Kumekuwa na changamoto kubwa mbili kwa watu wanaogiza vitu kwenye mitandao hii nguli ya Kichina Bei ya mali kuwa rahis lakini usafiri kuwa bei kubwa. Wengine njia za kufanya malipo kushindwa hasa...
10 Reactions
59 Replies
9K Views
WANA JF, no eneo zuri kwa makazi liko juu hakuna hofu ya mafuriko karibu na kituo cha magari yaendayo mjini kiujumla ni mahali salama kwa makazi being 100,000 kwa mwezi mawasiliano 0699 522471...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta vifaa vya watoto vya kuchezea mazingira ya nnje kama shule ni. Mfano bembea, mterezo, baiskeli za chuma zilizounganishwa na chuma mithili ya bembea n.k. Utumapo bei ambatanisha na picha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
KAMPUNI ya simu za mkononi ya itel imezindua kampeni ya promosheni ya ‘Nogesha Valentine na itel’ jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari hivi punde jijini Dar es Salaam meneja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama Kichwa cha habari kinavyo Jieleza natafuta Mtu au Supplier anaeuza Matofali ya kuhimili Moto Mkali (FIRE BRICKS) ARUSHA na DAR. HUDUMA INAHITAJIKA HARAKA MNO
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niaje wakuu nahitaji kukusanya stock ya kutosha ya mahindi ya njano pamoja na maharage. Hivyo naomba kujua namna naweza kupata, nipo Arusha hapa.. Asanteni.
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari za leo wanaJF, Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Tabata ama Mabibo/ au Segerea. Chumba kimoja tu. Kikubwa ni mazingira yawe rafiki kwa mtu kuishi. Umeme uwe wa kujitegemea hata kwa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu msaada.. Kwanza Habarini za uchovu wa majukumu.. Ninauliza Kwa anaefahamu bei za jumla ya yebo yebo pale kariakoo bei gani.. (za age Zote) Na maduka yake yanapatikana maeneo gani... Msaada...
1 Reactions
35 Replies
27K Views
Hi za wakati wapendwa,Poleni kwa majukumu na miangaiko ya hapa na pale. Nipo mwanza ninajihusisha na biashara ya ; 1.Perfume za kupima kwa ujazo tofauti tofauti kwa bei ya jumla na reja reja, Za...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu namimi kuna kiramani hapa kipo jikoni, kinaendelea kutengenezwa taratibu.
1 Reactions
4 Replies
627 Views
Kama unatoa huduma ya Airbnb Dodoma naomba uni PM nahitaji mtu nimcontact directly
0 Reactions
1 Replies
960 Views
Jipatie magodoro Original ya Spring kutoka kiwanda cha QFL magodoro Dodoma, kwa wateja wetu wa Dar es salaam tunakuletea hadi kwako buree kabisa na malipo yote yanafanyika nyumbani kwako...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa, Naomba msaada kwa anayejua site za kweli na uhakika unazoweza kuagiza vitu used (electronics) za usa,uk na dubai. Asanteni kwa muda wenu, naomba saana msaada huu
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni imara na zinapendezesha nyumba Wateja wa Dar unaletewa buree (free delivery) Kufungiwa pia ni buree( free fixing) Zipo rangi mbalimbali Mikoani tunatuma kwa bei nafuu Malipo mpaka upate mzigo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kufanya biashara bila kusajiriwa ni kosa kubwa kisheria, Fininnovation Limited itakusaidia kukuhakishia inakusaidia ili uweze kupata kampuni au jina la biashara muda mfupi. Mchakato mzima...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom