Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
D20 SMART WATCH BRACELET Ni saa ya simu janja ambayo unaweza kuunganisha bluetooth pamoja na simu yako ili upate notification za simu yako simu ikiwa ndani ya umbali wa mita 13 NOTIFICATION TYPE...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ndugu, jamaa na marafiki... Naitwa Enock, napatikana Mbezi ya Kimara, Dar Es Salaam, Tanzania, mimi ni fundi wa kutengeneza na kukarabati sofa kwa bei nafuu. Napokea oda kwa mtu yeyote...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TZS. 200'000/- Vijibwa vizuri sana, vina miezi mitatu. Bei ni nzuri sana, karibu ujipatie wa kwako. Call 0717454455
1 Reactions
17 Replies
3K Views
SCALE MPYA YA KUPIMIA UZITO WA MADINI * Inapima kuanzia uzito wa 0.1g mpaka 500g * Mizani ni mpya kutoka nje na zipo kwenye boksi lake. * Inatumia betri za kawaida ambazo ni rahisi kupatikana...
1 Reactions
58 Replies
10K Views
Habari Jamii Forum. Nisizunguke sana. Natafuta shamba la kununua au la kukodi lenye udongo wa tifutifu au kichanga lenye ukubwa wa zaidi ya (at least) hekari moja (1 acre). Shamba liwe maeneo ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Enewei...Ni fundi urembo wa urembo wa Dirisha Urembo wa nguzo Urembo wa fensi Urembo wa kona au pembe za nyumba! Nipo Temeke DSM na popote Tanzania nakufikia Call & What'sApp : 0789005562
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama simu yako ni gb 16 nakuongezea kuwa 64gb au 128. Hakuna kitakachopotea kwenye simu yak. Hakuna madhara yoyote kwenye simu yako. Pia narekebisha matatizo yoote ya iphone. Just call me...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni fundi urembo wa urembo wa Dirisha Urembo wa nguzo Urembo wa fensi Urembo wa kona au pembe za nyumba! Pamoja na urembo wa fensi Nipo Temeke DSM na popote Tz nakufikia Simu : 0789005562 Wasap...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu, Ninatafuta kiwanja maeneo ya Madale, Bunju, Goba , Kimara sema budget yangu ni 5m Tanzania shilling. Mwenye nacho ani PM. Ukubwa kuanzia 800sqm kwenda juu.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wanabodi! Kwa wenyeji wa Mji wa Chamwino ninahitaji Nyumba ya kupanga angalau vyumba vitatu. Kodi nitakuwa ninalipa kwa mwezi.. mmoja mmoja. Tusaidiane!
0 Reactions
0 Replies
405 Views
Beach Plot No 1 kina Sqm 1,808 kinauzwa Tshs 100,000,000/ ila Hati bado inabidi kilipiwe kiasi na Hati ikitoka zinamaliziwa. Beach Plot No 2 kina 1,323 sqm kinauzwa Tshs 95'000'000/ kina Hati...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari jf. Nakusogezea bidhaa mbalimbali kwa bei nafuu sana. Jipatie Tv aina ya Goodman kwa bei tajwa hapo juu. Tv sio smart. Call 0744033555
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini watanzania wenzangu mimi ni kijana wa kitanzania na nimebahatika kupata degree ya sheria, lakini kama ilivyo kawaida ukimaliza masomo huna budi kusubiri Mungu akuletee kazi ili maisha...
0 Reactions
2 Replies
991 Views
Kiwanja kinauzwa Jiji la Dodoma , kipo eneo la swasa mnarani , Kiwanja kina ukubwa Wa eneo SQM 1200. Kipo pembeni ya njia ya barabara ya kutoka kwa waziri mkuu kuelekea martin Luther . kina...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nauza gari tajwa hapo juu Reg: T---DFT Toyota Ractis Colour: Pearl white Year of Manufacture : 2005 Engine Capacity: 1490cc Condition: Perfect running condition with no accident history Fuel...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Cc 990. Engine iko vizuri. AC inafanya kazi. Inafanya uber mpaka sasa. Imetunzwa vizuri tu haina tatizo Njoo na 5.6mil uchukue chombo Mbezi Dar es salaam: 0744033555
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Salaam wana JF.naombeni mrejesho wa picha wana jf niliowapa bure Miche na niliowauzia Miche ya Papai maana ni miezi kadhaa sasa .pia natoa bure huduma ya Ushauri juu ya kilimo hiki cha Papai ,pia...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari za wakati huu wakuu, naomba tenda za kutengeneza matangazo madogo madogo kwa ajili ya kukuza biashara yako kupitia mitandao ya kijamii, pia napiga picha za kupromote biashara yoyote ile...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari za jioni wanabodi. Natafuta eneo la kukodi kwa ajili ya biashara ya gereji jijini Dar Es Salaam. Maeneo pendekezwa Buguruni Tabata Kinyerezi Natanguliza Shukran zangu za dhati kwenu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau, nauza nyama ya kitimoto kwa bei ya jumla elfu 7 kwa kilo, unaletewa popote ulipo kwa wakaz wa Dar tu. Mawasiliano 0685567438.
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom