Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwena sokoni. VIGEZO. 1.Gari iwe na dereva wake. 2.Dereva atalipwa na mwenye gari. 3.Tani 3 mpaka 5. 4.Gari...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naweza pata simu gani hapo Kwa bajeti hiyo?
2 Reactions
9 Replies
962 Views
Tunatengeneza alluminium. madirisha, milango, partition na makabati, tupo DAR ES SALAAM - TEGETA. NO 0652299341
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi naishi nyumbani ila ni kijana ambaye nahitaji pia ndoto zangu zikamilike kila mmoja yupo duniani kwa ajili na ameumbwa kwa mfano wake siyo kwamba Sina Kodi ya kulipa hapana namatumaini kuna...
5 Reactions
66 Replies
4K Views
Habari, natafuta ving'amuzi vya internet ambavyo vinasaidia kufanya network ya simu kuwa ya kasi zaidi. Eneo nililopo hakuna network kabisa, yaani network ni E kwa kila mtandao wa kijamii...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Ni kampuni dogo linalojihusisha Sana na shughuli nzima ya maswala ya uchapishaji pia tunafanya delivering mpaka mkoani je wewe unahitaji vitabu au nakala mbalimbali jibu ni machapisho Agent...
0 Reactions
0 Replies
521 Views
Nina mteja wangu anataka eneo la kujenga kiwanda cha bamboo Iringa, mwenye eneo Iringa hasa ambalo lipo karibu na bamboo itakua vizuri sana, au dalali yoyote aliyopo Iringa tuwasiliane. 0693959469
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini zenu wanajamvi nahitaji gari ya kukodi kwa safari ya siku tano kutokea Kahama kwenda Katavi kisha Sumbawanga Mbeya na Iringa nakuja kutokezea Singida na kurudi. Gari ninayohitaji yenye...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Yenye ukubwa wa Stepler pin machine ambayo unaitumia kushona palipochanika/kufumuka kwa urahisi. Inashona kama cherehani ya kawaida. [emoji832]Haitumii betri wala umeme [emoji832]Rahis kubeba...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza haina tatizo la kiufundi. Ununio dar O748001009 Engine 2az. Full ac 9mil..
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Nauza nyumba Dodoma nkuhungu north, Ina master moja ,vyumba viwili vya wageni,jiko, choose cha public, stoo, choo cha nje na jiko la nje. Ipo karibu na barabara itayojengwa ya kupitisha magari ya...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Karibu Empire singida fresh oil Mafuta halisi kutoka singida Lita 1 -6000 Lita 3- 18000 Lita 5- 25000 Mawasiliano 0743725255 0655031983 arnoldmacha@outlook.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasalaam! Wakuu, naomba kujuzwa sehemu ninayoweza kupata mbegu za viazi lishe kwa mikoa ya kanda ya mashariki (Dar es salaam, Pwani au Morogoro). Natanguliza shukrani Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari! Mkulima Mwerevu Agrovet inawatangazia wakulima wote wa mboga mboga kuwa sasa wanazo mbegu nzuri za kisasa (Hybrid Seed) kwa ajili ya wakulima. Msimu wa kuandaa mashamba ndo huu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
akubwa habari Nauza mashine mtumba kutoka nje hazina shida yoyote ile njoo kariakoo dell lattitude d630 Ram 2gb hdd 250 nch 14 wide processor 2.0 ghz charge masaa 2 window 10 wifi bluetooth dvd...
0 Reactions
0 Replies
680 Views
wakubwa habari, nauza mashine mtumba kutoka nje hazina shida yoyote ile njoo kariakoo dell lattitude d630 ram 2gb hdd 250 nch 14 wide processor 2.0 ghz charge masaa 2 window 10 wifi bluetooth...
0 Reactions
0 Replies
504 Views
Habari wakuu!! Natafuta chumba single maeneo ya Nkuhungu au Chang'ombe Extension. Bajeti yangu ni 50,000/=
0 Reactions
6 Replies
770 Views
Kwa yeyote anyeweza kusuply 1600 za amlinium ingot tuwasiliane Kwa number +256788282409. Sio lazima ziwepo hapa Tanzania. Hata ukiwa ukifaham kiwanda kilichopo nje. Karibu
0 Reactions
0 Replies
450 Views
Habari za leo wakubwa, Ndugu yenu bado naendelea na kazi ile ile ya kudesign ramani mbalimbali. Leo nimekuja na hii design yangu ya kipekee ya nyumba ya vyumba vinne. Unaweza kujionea mwenyewe.
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Back
Top Bottom