Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu, nimebadilisha life style, sasa napenda kuangalia documentaries hivyo nataka kununua vifaa vya kisasa vya kielektroniki vyenye viwango vya kimataifa. Sasa nimeshauriwa kua kuna home theater...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Zakutumia umeme sh.2500,000,Zile ambazo hazitumii Umeme zinaanzia sh.270,000 hadi sh.450,000,Nipo Dar es salaam,Kariakoo Mashine ziko tayari unafika unalipia kisha unaondoka na mashine...
0 Reactions
6 Replies
13K Views
Wakuu kwema Nahitaji toyota IST isiwe na tatizo lolote namba iwe C nakupanda juu, Bajeti yangu ni 5M Njoo chapa tufanye biashara. Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu, Bajeti yangu ni TSH. 30,000,000 ingawa naweza kujivuta ikafika 40,000,000 nikipata kiwanja kizuri. Natafuta kiwanja kilichopimwa hasa maeneo ya Goba lakini maeneo ambayo tayari...
8 Reactions
58 Replies
8K Views
habari za Leo wakubwa, Leo nimeamua kuleta karamani kakali kidogo unaweza kujionea mwenyewe. Haka karamani kana vyumba vinne. Ila chumba kimoja ni kidogodogo kinaweza kutumika kama study room au...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Wakuu naomba mwenye contacts za madalali wa nazi katika soko la ILALA na Temeke stereo. Asanteni sana Hello wakuu, nina shamba la minazi huku Kilwa nimevuna takribani nazi 8000, kama kuna...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
TAFADHALI SOMA MAELEZO NA KUPATA MAWASILIANO YETU ; +2556-84 101 707
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Graphic designer
1 Reactions
6 Replies
744 Views
Habari Wakuu Natafuta gari Toyota IST yenye sifa hapo juu, offer yangu ni kuanzia 7m mpka 8.5m, Gari iwe katika hali nzuri, rangi silver, Gray, dark na light blue, Kama mtu anayeuza atakua ndio...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Niaje.. Wale wanaotaka Xiaomi smartphone ninazo redm 7 Global pic 19. Bei ni 380000 sealed box . New Specifications read here Xiaomi Redmi 7 - Full phone specifications Ukiihitaji ni Pm . Na...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Helo Tanzania kwa wale wakazi wa Banana Ukonga na maeneo ya jirani wanaoitaji container take away zinapatikana kwangu naweza nikakuletea mpaka ulipo nipigie 0763932278 bei mojani mia 50 pakti moja...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naitwa David nina umri wa miaka 18 nina elimu ya kidato cha nne natafuta kazi yoyote halali ambayo itakua na maslahi nipo Dar kwa mawasiliano zaidi nipate instagram hdboe_255. Ahsante kwa muda wako.
0 Reactions
5 Replies
469 Views
Habari zenu wadau, Sasa, naomba msaada wenu nina mgeni nampokea kesho,anahitaji kufikia hotel nzuri kwa kila kigezo lakini ya gharama nafuu hapa dar es salaam..budget yetu inarange kati ya 35 na...
0 Reactions
18 Replies
15K Views
Habarini wapendwa. Nauza mapazia yangu ambayo kimsingi siyahitaji tena. Kuna piece 8 jumla. Pisi 4 zipo complete ina combination ya rangi tofauti nauza elfu 35, pisi 3 zipo rangi nyekundu tupu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Sofa set ya kukaa watu saba 3:2:1:1 unapata na mito yake yote. 450,000/= tu (Dar es Salaam). Call/WhatsApp: 0676095799
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Offer ya kuanzia mwaka Set nzima ya kupambia cake kwa bei ya 125,000 tu Inakuja na vitu vingi sana vya kisasa Ina nozzle piece 48, turnable table, visu vya kupambia, mifuko, slicer na vitu vengine...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Model: Toyota IST Cc: 1490 Year: 2005 Full ac Location: Kinondoni (Dar) Price: 6,000,000 Contact: 0717599884 Gari ni nimeitumia mwenyewe, kwa atakayevutiwa karibu tuzungumze
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Habari nyumba hii inauzwa ipo barabarani kabisa Goba million 58 tu karibu ujionee tupigie 0763542515 Ina vyumba vitatu na sebule umeme na maji vipo pia ina by quarter kwa nje kama una vijana...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Imetumika miezi 4 tu milango miwili ina friza juu ubaridi mkali na friji kwa chini ina nafasi kubwa na pia 0712046405 lipo Dar es salaam kigamboni pia kuna masofa yanauzwa NAHAMA KIKAZI.
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Niende kwenye point moja kwa moja kama heading inavyoeleza. Tutafute tukusafishie shamba, kiwanja ikiwa ni kuchimba visiki vilivyopo kwenye shamba au eneo lako. Pia tunapuliza dawa za kuua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom