NATAFUTA FREMU YA BIASHARA YA CHAKULA KINONDONI AU ILALA.
Natafuta fremu kwa bajeti isiozidi elfu sitini kwa mwezi.
Maeneo kama:
Magomeni
Makumbusho
Kinondoni studio
Mkwajuni
Kanisan Magomen...
Nahitaji 'pressure washer plunger pump' mpya original made in Italy by INTERPUMP GROUP.
Pump kama hii:
Kwa jijini Mwanza, zinapatikana maduka gani?
Nahitaji Genuine kabisa interpump og. Sitaki...
Ni kampuni ambayo inajihusisha na uuzaji wa viwanja ambavyo vimepimwa na HATI ZINAPATIKANA KUTOKA WIZARA YA ARDHI..
je unaweza kujiuliza kwann ninunue kiwanja kwenye kampuni hiii?...ni kwasababu...
Tunaponunua Viwanja tuweni makini saana.
Angalia clip hapa chini
VKP na uongozi wao wafikishwa mahakami.
Na humu Jamii forum walijitangaza sana na kule FB.
Na wamechokifanya baada ya kushtukia...
Hello good people
Natafuta single room nzuri, ikiwa na choo itapendeza zaidi..isipokua na choo pia sio issue...
Room iwe maeneo ya banana .
Tuwasiliane.!
Ndugu wa jamii,
Napenda kuwatambulisha kwenu mabingwa wa umeme wa majumbani na viwandani.
Ukiwa na mahitaji ya kufungiwa umeme nyumbani au kiwandani kwako, ramani za umeme (kwa ajili ya bima...
Samahani wakuu, ningependa kuuliza kwa wazoefu na watumiaji wa SKRILL.
Ningependa kujua uki withdraw hela kutoka kwenye account yako ya skrill kuja kwenye account ya bank, huwa inachukua muda...
Hello good people.
Natafuta single room nzuri, ikiwa na choo itapendeza zaidi..isipokua na choo pia sio issue...
Room iwe maeneo ya Banana.
Tuwasiliane!
Trekta Massey Ferguson 165 iko kwenye hali nzuri.
Massey Ferguson MF 165
Year of Manufacture 1982
Engine ni PERKINS 3.5L
4- Cylinders
Diesel Engine
HP 58
Condition: Used abroad
Bei: 23'000'000 +...
Kwa utafiti wangu mdogo nimeona watanzania tunapigwa na wauza mabati ya ALAF kwa kuaminishwa kua yako special sana kuliko mabati mengine.
Haya mabati tunapigwa, hayana ubora wa kipekee kuliko...
Kuna eneo liko Geita lina dhahabu... Pia wapo wachimbaji wadogo wadogo pembezoni mwake...lina dhahabu za kutosha ndo maana mwenye eneo akaamua kutafuta mwekezaji ili likachimbwe kitaalamu..eneo...
Tunauza udongo au kifusi kwa Bei poa kwani tunachimba eneo la underground parking,
Tutakusafirishia mpaka site kwako
Tupo Arusha mjini
Note: hatuuzi udongo au kifusi mhitaji anachangia usafiri tu...
Machine ya kuvyatua tofali za kuchoma inauzwa,Bei TZS 8000000 complete.Ina uwezo wa kuvyatua tofali 12,000 hadi 15,000 ndani ya masaa 8.Ipo Morogoro Mjini.
Inavyofanya kazi check hapo :Tupigie...
DIGITAL STATIONARY
1. KUCHAPA (typing), KWA LUGHA ZA
(Kiswahili,Kiingereza,Kijerumani,Kifaransa,Kichina,Hindi,Kihispania na Kiarabu)
(i). Barua
(ii) Curriculum vitae (CV)
(iii) Vitabu...
Shalom, habarini za kutwa, nina interest ya kununua shamba maeneo ya kuanzia Kibaha kwenda hadi karibu na Mlandizi hapo katikati, kuanzia heka moja hadi tatu.
Isiwe karibu sana na lami, mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.