Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Panasonic Gh5s with viltrox speedbooster 0.71x magnification(hii ni speed booster ambayo ina convert ef to mfd plus magnification) tofauti na zile convetor Ipo na cage yake plus handle Bei...
0 Reactions
1 Replies
507 Views
Xbox one X ina intenal 2tb natoa na cd tatu Forza 7 Gear of war 4 Injustice 2 Bei 1.1m Hii ni xbox one X ile ya 4k Kama.upo interest nicheki 0752527054 0629274880 0716917896
0 Reactions
4 Replies
652 Views
64GB RAM 4GB Price 420,000
0 Reactions
2 Replies
524 Views
Supper Gro nikirutubisho kinacho ufanya mmea kuwa na afya inayostahili katika ubora wake, pia inasaidia kwa wakulima wadogo wadogo, na wakubwa kupunguza gharama za uendeshaji wa kilimo, pia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
-Nyumba ipo Kinyerezi mwisho 1.5 km kutoka barabara ya lami -Ina vyumba vitano,viwili master,sebule,dinning,public toilet,jiko na stoo -Ukubwa wa kiwanja ni sqm 700 ( 35 kwa 20) -Pamepimwa...
0 Reactions
0 Replies
873 Views
Makisio ya gharama kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi, hufanyika mwanzoni kabisa katika hatua ya uibuaji wa mradi (Project Planning Stage). Andiko la Mradi huweza kuonyesha tu jumla ya kiasi...
5 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari za leo. Nina chuma za Turubai. Futi 20 kwa 20. Bei yake halisi ni 1.2M Bei ninayouza ni sh laki nane. Napatikana Pugu kona. -SOLD-
1 Reactions
15 Replies
3K Views
. Imetumika na touch yake ndio inazingua. Mwenye simu anasikiliza ofa yoyote. Pia ipo samsung s6 edge..imepasuka kioo.ni ya kuweka display mpya.hiyonaiuza 50k. Location MWANZA
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari za mwaka mpya wakuu Nyumba inauzwa pugu kajiungeni km 1 kutoka barabarani. Ina nyumba vi3 vikubwa. bei ni milion 45 maongezi yapo Ni square mita 1500 yaan mita 30 kwa 50 No 0753567696 NB...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwa wale wote wanaohitaji kupanga Hostel karibu au jirani na maeneo ya UDSM, ARU, Chuo cha TAKWIMU mnakaribishwa. Hostel ipo Changanyikeni. Ina fensi, maji pia na umeme. Uwanja una peving na...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
vimeuzwa
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwenye uhitaji wa mzani wa kupimia wa mawe anicheki PM bei ya kuanzia ni 110k ni umetumika miezi michache tu so bado mpya kabisa ,napatikana Morogoro mjini
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu! Naomba kujua mwenye kujua soko la lozera anijuze
0 Reactions
1 Replies
984 Views
Wadau wawekezaji tuna eneo geza ulole kigamboni linauzwa kwa heka kwa atayehitaji awe mwekezaji au mwananchi tu wa kawaida kuna heka zaidi ya 600/karibuni sana.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Habari ya jioni, ninashida na freezer, mwenye anayo anauza anipm tuongee bei!!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Lenovo X 130 Hdd 320gb, ram 4gb, battery 3 hours, price: tzs 350,000 ya wiki hii kabla ya wikiend. Tuko Kariakoo jirani na China plaza piga 0713039875 kuwahi ofa hii
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Nina gari Aina ya Nissan vannete NZ 200. Nataka niitoboe juu Ili niweke dirisha ambalo linaweza kutumika kuangalia nje. Nawaza kutumia ambalo limetoka kwenye gari ambalo halitimiki. Mfano...
1 Reactions
6 Replies
668 Views
Mpendwa Mwana Jamii, nimekuwa nikitanganza kazi zangu mbalimbali hususani majengo ambayo yamenakshiwa na material za kisasa mbalimbali. Nashukuru Mimi na team yangu tumepata ushirikiano wa...
13 Reactions
2K Replies
301K Views
Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Back
Top Bottom