Jipatie mashine ya ice-cream au koni Kwa bei poa kabisa.pia utapatiwa mafunzo jinsi ya kutengeneza koni bure utapewa na mixer yake bure. Bei ni 2m , Mazungumzo yapo kidogo.
Tuwasiliane Kwa namba...
Kwa mwenye uhitaji wa kujifunza accounting package kwa kuanzia tataanza na Tally kisha Quickbooks.
Muhimu uwe na vitu vifuatavyo
1. Computer - Desktop/Laptop/Pad/Smartphone
2. Speaker - Kifaa...
Gari ipo,imepata ajali kidogo engine 1g,
vioo viwili upande wa kushoto vimevunjika..tair zote mpyaa..batry mpya.
Haina dalali..nichek kama utakua interested..0683 141402. Bei 2.5mil,maongezi...
Vituko haviishi vituo vya kazi siku hizi! Katika moja ya shule ya sekondary wilaya ya Uyui mkoani Tabora kumetokea sintofahamu baada ya mkuu wa shule kumtaka kimapenzi mke wa mwalimu wake wa...
Ninawasalimieni.
Ninatafuta nyumba ya kupanga Dodoma Mjini, sifa ni hizi zifuatazo:
1. Bajeti 250,000/= mpaka 300,000/=
2. Muda wa kulipa ni miezi mitatu au chini yake.
3. Mahali-:Area A, Area...
uwezo : mayai 1056
uendeshaji: inageuza mayai yenyewe(Automatic)
umeme: inatumia umeme kidogo Sana kwa kuwa inatumia coil heater ambazo huzimwa automatically muda fulani
sensors: temperature na...
Plot is situated at KIMARA- TEMBONI , 3KM from Temboni bus stand . plot ni tambalale ukubwa wa kiwanja ni SQUARE METER 900 ( 30 METER * 30 METER) ...
PRICE MIL. 12,000,000/= (negotiable ) . ENEO...
Wakuu salama,
Nauza tank za maji za rangi mbali mbali ila zimetumika kidogo mfano wake ni kama kwenye picha bei ni rahisi mno naziuza elf 90 zina chuma na zipo kwenye hali nzuri nilikua nazitumia...
Bado inapiga ruti kama kawaida
Ya kubadilisha seat cover tu na kuendelea na shughuli za usafirishaji.
Seat capacity: 16 passengers
Engine, gearbox: viko sawa
Loc: mbezi mwisho Dsm
0744033555
Nauza vifaa vya saloon
Steamer 1
Dreyer 2
Viti vya kawaida 4
Dish la kuoshea 1
Rollers zipo za kutosha kila saiz
Stand ya rollers 1
Vioo chambele na cha nyuma 2
Maongez yapo bei vitu...
Hello everyone, We have used 20ft and 40ft in Dar es Salaam with good quality and reasonable prices. If you are interested kindly email me at said.ars@hotmail.com or via whatsapp: +8618562614108.
Hello Jf.
Hii gari inatoka kwa 5m
Iko safi
Full document
AC tu ya kujaza
Njoo kinyerezi Dar tumalize biashara.
Punguza maswali kwenye comment nishaweka namba hapo chini.
0744033555
Mimi Ni mmiliki wa kampuni, nina vijana zaidi ya kumi ambao kazi zao ni za field , ivyo nilitaka kununua piki piki lakini katika michanganuo nikaona ni bola nitafute pikipiki za mkataba kwa sababu...
Shamba linauzwa Mkoani Morogoro, wilaya ya Mvomero, kata ya Turiani, kijiji cha Dihinda.
Shamba lina mitiki ndani yake, minazi, michungwa na miembe.
Shamba lina ukubwa wa hekari 60, lina bonde...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.