Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wakuu, Nahitaji kupanda mlima Kilimanjaro mwezi wa 11 mwaka huu, kama kuna mtu anaweza kuniunganisha na tour company/mountain climbing company ambayo ina gharama nafuu nitashukuru sana...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau, natafuta friji au friza la mtumba kwa hapa DSM
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bei ni 150,000 Hakijatumika sana , nipo kimara baruti 0715550291
1 Reactions
14 Replies
2K Views
1.Mitaa inayonifaa ni Mbezi Louis na Msigani. 2.Nyumba isiwe mbali na kituo cha daladala. 3.Umeme wa kujitegemea. 4.Maji yawepo. 5.Kodi nina Tsh200,000/= kwa mwezi, niko tayari kulipa miezi sita.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Godoro lipo vizuri , inchi 8, 5x6 bei 145000 Lipo Mtoni Kwa Aziz Ally. Mawasiliano 0687934511
0 Reactions
14 Replies
1K Views
SHAM AUTO MOBILE HEADLIGHT COMPANY Ltd 2021/2022 Tumezalisha awamu nyingine ya lenzi mbadala kwa taa za gari aina ya TOYOTA IST kwa bei nafuu sana kwa seti gharama ni 240,000 OFISI ZETU ZIPO...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wakuu ninauza school bags nzuri za watoto katika kipindi hiki cha kukuandaa na shule bei zetu ni nafuu na mabegi ni mazuri na imara. Kuna size kubwa na ndogo na bei ni moja haijalishi size...
2 Reactions
40 Replies
6K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta wachimba visima vya maji na pia watengenezaji wa mabwawa ya kisasa ya samaki kwa kampuni zilizopo Mtwara ama zinazoweza kufanya kazi huko
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za 2019 wanaJF, Natumai mko vizuri na tunaendelea vema mwaka huu. Nahitaji kununua Laptop kwa matumizi ya kawaida, ingawa mara chache nakuwa na matumizi heavy kidogo. Natumia software...
2 Reactions
34 Replies
6K Views
6 plain 16GB-270k Samsung Galaxy A30 64GB|4GB-300k Daresalam 0769509430
0 Reactions
8 Replies
957 Views
Uwezo: 5280 kwa wakati mmoja. Muda wa matumizi: mwaka mmoja. Condition: mint Bei: 3.7m Location: Dar es Salaam. Sababu za kuuza: Mimiliki amehamishwa kikazi Mawasiliano: 0755815174
0 Reactions
4 Replies
991 Views
Habari, Mimi ni kijana nina idea ya kutengeneza app kwa soko la Tanzania na baadae inaweza kutanuka kwenye nchi za jirani. Ni idea ambayo tatizo lake bado watu hawajalitatua hivyo kuna uwezekano...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa yeyote anaehitaji Kontena la kununua la futi 20 na futi 40 yapo yanapatikana. Kontena la futi 20 tunauza dola 1700 na la futi 40 tunauza dola 2600. Kama ni wewe ni dalali hakikisha unakuja...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
TVS cc 125 Full docs of ownership Haina tatizo lolote la kiufundi, engine haijawahi funguliwa. Bei: 1.5 milion Tshs Mbagala Dar Call 0744033555
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau wanaojua kuhusu madini ya opali. Wanaofahamu pia masoko naomba tupeane habari tufanye kaz
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini, Yanahitajika maboksi ya kusafirishia samaki barafu kama haya hapa kwenye picha. Mwenye nayo tuwasiliane!!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
HOMEBASE SMART TV INCH 43 FULL HD INATUMIA: HDMI PORTS 2 USB PORTS 2 VGA AUDIO INPUT INAINGIA: You Tube Netflix Location: ubungo external. Nipigie: 0744033555
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji kusafairisha kiroba cha kilo 50 (nguo) kuepeleka OMAN. Nipo Dar, ila kama hiyo kampuni itakua na branch Zanzibar itakua vizuri zaidi. Mwenye kufahamu naomba anijuze...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pc specifications Name: hp elitebook 6475b Display diagonal: 14 inch Processor: i5-3210M 2.5 GHz Internal memory: 4 GB DDR3-SDRAM Graphics: Intel HD Graphics 4000 Storage: 500 GB HDD Battery: 8...
0 Reactions
2 Replies
807 Views
Wapendwa wana JF, Mimi ni mdada mjasiliamali mdogo, natafuta vijana wa kuniuzia dagaa zangu za kukaanga natoa Mwanza naleta Dar, nimezipack na kuzibland vizuri, ntawalipa kwa commission nzuri...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom