Habari wakuu,
Nahitaji kupanda mlima Kilimanjaro mwezi wa 11 mwaka huu, kama kuna mtu anaweza kuniunganisha na tour company/mountain climbing company ambayo ina gharama nafuu nitashukuru sana...
1.Mitaa inayonifaa ni Mbezi Louis na Msigani.
2.Nyumba isiwe mbali na kituo cha daladala.
3.Umeme wa kujitegemea.
4.Maji yawepo.
5.Kodi nina Tsh200,000/= kwa mwezi, niko tayari kulipa miezi sita.
SHAM AUTO MOBILE HEADLIGHT COMPANY Ltd 2021/2022
Tumezalisha awamu nyingine ya lenzi mbadala kwa taa za gari aina ya TOYOTA IST kwa bei nafuu sana
kwa seti gharama ni 240,000
OFISI ZETU ZIPO...
Habari wakuu ninauza school bags nzuri za watoto katika kipindi hiki cha kukuandaa na shule bei zetu ni nafuu na mabegi ni mazuri na imara. Kuna size kubwa na ndogo na bei ni moja haijalishi size...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta wachimba visima vya maji na pia watengenezaji wa mabwawa ya kisasa ya samaki kwa kampuni zilizopo Mtwara ama zinazoweza kufanya kazi huko
Habari za 2019 wanaJF,
Natumai mko vizuri na tunaendelea vema mwaka huu.
Nahitaji kununua Laptop kwa matumizi ya kawaida, ingawa mara chache nakuwa na matumizi heavy kidogo. Natumia software...
Uwezo: 5280 kwa wakati mmoja.
Muda wa matumizi: mwaka mmoja.
Condition: mint
Bei: 3.7m
Location: Dar es Salaam.
Sababu za kuuza: Mimiliki amehamishwa kikazi
Mawasiliano: 0755815174
Habari,
Mimi ni kijana nina idea ya kutengeneza app kwa soko la Tanzania na baadae inaweza kutanuka kwenye nchi za jirani. Ni idea ambayo tatizo lake bado watu hawajalitatua hivyo kuna uwezekano...
Kwa yeyote anaehitaji Kontena la kununua la futi 20 na futi 40 yapo yanapatikana.
Kontena la futi 20 tunauza dola 1700 na la futi 40 tunauza dola 2600.
Kama ni wewe ni dalali hakikisha unakuja...
HOMEBASE SMART TV INCH 43 FULL HD
INATUMIA:
HDMI PORTS 2
USB PORTS 2
VGA
AUDIO INPUT
INAINGIA:
You Tube
Netflix
Location: ubungo external.
Nipigie: 0744033555
Habari zenu wakuu,
Nahitaji kusafairisha kiroba cha kilo 50 (nguo) kuepeleka OMAN. Nipo Dar, ila kama hiyo kampuni itakua na branch Zanzibar itakua vizuri zaidi.
Mwenye kufahamu naomba anijuze...
Wapendwa wana JF,
Mimi ni mdada mjasiliamali mdogo, natafuta vijana wa kuniuzia dagaa zangu za kukaanga natoa Mwanza naleta Dar, nimezipack na kuzibland vizuri, ntawalipa kwa commission nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.