Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau wa Jiji la raha na karaha naomba kujua bei za viwanja per square meter maeneo ya MAKONGO JUU, GOBA, MADALE ukanda uwo kwa ujumla nk.
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Wanabodi habari... Kichwa Cha habari chahusika Nina milion 2 tu natafuta kiwanja Dodoma eneo la Msalato au Veyula. Kiwe na ukubwa was nusu heka na kuendelea. Umbali kutoka barabara ya Dom arusha...
2 Reactions
45 Replies
6K Views
Nyumba hii ina vyumba vitatu 3 vya kulala chumba kimoja master dining room public toilet jiko stoo na sitting room Kwa tshg million 28,000,000/= Ukubwa wa eneo sqm 400 Ina hati ya ofisi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mawasiliano/Contacts 0659 91 33 44. Specifications; Specifications; -Power; Electric or Fuel. -Power;0.75KW. -Efficiency;300KG/H. -Speed of pressing;250 r/min. -Size;A customized Tent/Umbrella. 1...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
habari zenu wadau wa JF. kama kichwa cha habari, natafuta office ya kupanga eneo kuanzia kivulini mpaka roundabout ya Mwenge. Office yaweza kuwa ground flow au hata gorofani. Nb: office iwe...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Salam kwenu wakuu. Picha ambatanishi ni boma la nyumba yangu,lipo Tanga Mjini-Neema area. Lina vyumba vitatu. Masterroom 1 Vyumba vya kawaida -2 Sitting room Dinning room Kitchen na store...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Sifa za kiwanja Chanika mwisho-Zogo Ali Ukubwa 19m*19m Kina msingi imara, vyumba vitatu, kimoja master, sitting, dinning, public toilet, jiko Kina njia za gari pande mbili Umeme upo karibu Simu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Tsh. 180 MILLION NEG, KIFURU HALI YA HEWA, NJIA YA KUELEKEA MBEZI LOUS SUITABLE FOR, school, hospital, yard 🎁2 Acre SIZE🗞️Surveyed Area with beacon☎️0767264754/0739441351
0 Reactions
2 Replies
903 Views
Ndugu mdau kwa umeme wa majumbani na viwandani. Unaweza kupata huduma kama vile marekebisho, ujenzi mpya wa mifumo ya umeme, ushauri au suluhisho la tatizo katika mifumo ya umeme, ukaguzi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji nipate sehemu nzuri ya kuweka steshenari kama kuna mtu atakuwa anafahamu location nzuri affordable anisaidie ili niweze kuhamisha ofisi yangu
0 Reactions
6 Replies
736 Views
Nahitaji kupata mwanga kuhusiana na biashara ya vifaa used vya mtumba vya electronic ni biashara ambayo pia navitiwa nayo Sana nahitaji niweze kuifanya hata nikianza na kidogo nione mana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Karibu! Nakaribisha mfanyabiashara yoyoye ambaye ni SUPPLIER wa bidhaa mbalimbali, uniambie una supply nini na bei zako zipoje. Naweza kua mteja wako, mana nami pia ni mfanyabiashara. Nitakua...
0 Reactions
97 Replies
11K Views
NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA JAN 2021 Shule ya Sekondari ya wavulana Helasita iliyopo Jijini Dar es Salaam inapenda kuwatangazia ndugu wazazi/walezi kuwa bado kuna nafasi za kujiunga na...
0 Reactions
0 Replies
570 Views
kabati la nguo-250,000 feni-35,000 shoe stand -50,000 meza ya tv-35,000 mtungi wa gas (una gas)-40,000 kitanda -130,000 godoro-120,000 Mabibo 0711251922
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Wadau nahitaj bati za rangi bei nafuu kidogo migongo midogo au mipana maana huku mtaan n mkas sana nahitaji PC 110!njoo na bei ya kiwandani kabisa na nielekeze wapi tufanye business
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tunauza paving blocks za aina tofauti tofauti kwa square meter moja elf 30 usafiri juu yetu ila kama eneo lako lipo chini ya square meter 50 usafiri unajigharamikia na wall panels za ukutani...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Hello Jf. Karibu nikuuzie gari kwa bei rafiki. Hii gari ni mali ya kanisa iko vizuri na bado nzima. Corola 111 Mileage: 140,000 Petrol engine, engine ni nzima Njoo na Fundi wako akusaidie...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Nauza simu Specifications Name: camon cx air Released 2017 Thickness 6.6 mm Storlage 16 GB Camera 16 MP 2GB Ram 3200 mAh Nmeitumia mwaka mmoja Bei 60000 tu. 0757402662 Location kimara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
iPhone 6+ 64GB Rose gold Imetumika 4 months Unapata full box hadi risiti Price ~ 320k
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Natokea Kenya nataka kuanza biashara ya vitunguu natafuta mtu atakaye nisaidia kupata supplier wa vitunguu kutoka Tanzania kwa bei nafuu. Asante
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom