Zinatumia Line zote,Zipo znazotumia charger ya Smartphones..Zipo znazotumia charger ya Lap top..
Unaweza kutuma sms na kupokea sms..
Tunakuletea popote ulipo kwa gharama zako..
Au njoo UBUNGO...
Habari
Excavator yaani kijiko kinauzwa kipo mkoani Iringa. Bei Tsh 50M. Kipo ktk hali nzuri ni cha kijapani imara
Kwa maelezo zaidi ya engine nk na attach card yake. Lakini ukitaka maelezo...
habari.
natafuta watu wenye magari yao binafsi na wapo teyari kuyakodisha kwaajiri ya shughuli za sherehe (harusi, send off n.k) karibu tufanye biashara nina wateja wengi wa kukodi magari...
Habari
Nataka kufanya biashara ila nahitaji mtu wa kunifanyia market research kwenye maeneo mbali mbali hapa dar es salaam
Na kunishauri kulingana na alichokipata kwenye hayo maeneo.
Aina ya...
husika na kicha cha habari, sehem gan kwa daslam naweza kupata chumba au vyumba viwili (chumba na sebule) kwa gharama ya kawaida kwa chumba (70tzsh na kushuka) , usafiri usio na usumbufu saana na...
KWA MAHITAJI YA RAMANI ZA NYUMBA NA MAJENGO MBALI MBALI.
Faida utazozipata kwetu ni hizi.
1: Tutakuandalia gharama zote za ujenzi wa jengo lako.
2: Tutakusaidia kufuatilia kibari cha ujenzi...
Habari wakuu. Natafuta pilipili za aina ya charapita (Aji Charapita yellow chilli peppers). Wakati mwingine huwa zinaota mashambani (wild charapita). Mwenye nazo tafadhali tuwasiliane 0676434611...
Kwa wale wadau wa uchimbaji
Used jackhammers zinauzwa kwa bei nafuu ya 500k kwa kila moja.
Kwa kila jackhammer unapata offer ya chisels tatu
Piga 0757513714 kupata.
Habari,
Ningependa kutambulisha website mahususi kwaajili ya kutizama filamu za marekani kwa hadhi ya HD (High Definition). Filamu zote ni latest yaani kuanzia mwaka 2020.
Karibu na ufurahie...
Salaam
Mwenye kuweza kunisaidia kupata chumba cha kupanga maeneo ya kurasini na pawe karibu na chuo cha TIA...
Sihitaji madalali kwasababu pesa ya kuwapa ya mwezi mmoja kusema ukweli...
kichwa cha habari cha jieleza wandugu. Nahitaji Nyumba yenye vyumba walau 2, sitting room ,dining room ,kitchen na parking.
call me through 0718246410:
Moja kwa moja kwenye mada:
Leo asubuhi na mapema nimepita katika duka moja la vifaa vya ujenzi Dodoma mjini kuulizia bei ya mfuko wa cement na kukuta ni Tsh 16,500/=.
Nikasema ngoja niende...
Mdc wakishirikiana na DX realtors wanaweza kukutaftia nyumba ya kununua kupanga na kukuuuzia nyumba yako kwa muda husika bila utapeli wa aina yeyote For more info pm me or check us...
ninafanya kazi posta karibu na NBC.... nahitaji nyumba ya kuishi angalau yenye chumba kimoja (master) na sebule.
napendelea maeneo ya sinza, kigamboni, kurasini au sehemu yeyote ambayo ni rahisi...
habari zenu, naomba msaada wa chumba cha kupanga,self contained, chumba na sebule,kiwe na tiles au sakafu nzuri. bajeti yangu ni 100,000 nina kodi ya miezi 3..
mwenye taarifa ya dalali mzuri pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.