Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kwa wale wenyeji wanaofaham namba ya simu ya dalali maeneo ya kurasini tafazali nsaidie.naitaji chumba cha kupanga maeneo ya kurasini
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kutana na mafundi wa uhakika wataalam wa kutengeneza kompyuta matatizo ya aina zote Kariakoo mtaa wa msimbazi na aggrey call: 0675378011 Karibu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Heat press machine Bado mpya kabisa Kazi zake, kuprint t-shirt,handkerchef vikombe, kofia, jersey (jezi),sahan nk. Bei 1m 0714030003/0735040004 Maelewano kidogo Itakurudishia hela sana kipindi...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wana tech umofia kwenu. Naomba mtu anayeweza nisaidia kupata touch + display ya Samsung Galaxy J7 2015. Itapendeza zaidi ikiwa from original phone na iwe amoled. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JamiiForums. Natafuta simu ya iPhone 11 Pro. kwa mwenye anajua wapi naweza kuipata kwa bei nzuri
1 Reactions
8 Replies
3K Views
-Toyota runx version 2006 -colour silver -mileage 114,329 -haina shida yoyote -plate number DQR -imetumika TZ mwaka mmoja -bei ni milioni 10 -contact 0712518770
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama una story, research, presentation, report, risala,hotuba n.k. unapenda kuandikiwa tupo kwa ajili yako. Ni PM ukiwa na taarifa muhimu tukubaliane malipo ni nafuu sana. Utalipia upatapo draft...
1 Reactions
3 Replies
415 Views
Mashine ya kukamua juice ya miwa used inatumia umeme. Ipo Dodoma Bei ni Laki 9 Tel no 0693 166 802
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wajameni nisadieni,,,kwa wale ambao tumwahi kutumia huduma za Uber (Dar) na Taxify (Mwanza) ni wapi wana huduma nzuri zaidi? Toa maoni yako kwa kutumia vigezo vyovyote
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu,nyumba ya vyumba vitatu choo jiko na sebule inauzwa Janga Mlandizi Kibaha Pwani,ipo kwenye mandhari mazuri umbali wa kilomita moja kutoka Mlandizi center mwendo wa dakika tano kwa...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau, mimi ni mwanafunzi wa course ya civil engineering, nahitaji laptop mpya au used, yenye sifa zifuatazo Ram 6/8 Core i7 TB 2 Graphic memory 2
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau Niende moja kwa moja kwenye mada. Kama umdau au unatamani kupata mafunzo ya ufugaji samaki kuanzia kupima udongo .maji . Kuandaa bwawa . Kuanzia vipimo na idadi ya samaki...
1 Reactions
3 Replies
872 Views
Ukitembea kariakoo utakuatana na wauzaji wa kila aina. Na wengi wao sio watu wazuri kabisa. Wanakuuzia simu kwa kutumia mbinu zote za ushawishi. Ndani miezi miwili simu imeharibika. Na ukitaka...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
Shalom!Naomba mwenye kujua anijuze wapi kwa hapa dar naweza kupata turubai la kufunikia gari. Asante sana Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari!! Speaker au subwoofer ya gari au nyumbani unaweza kuifanya ya kisasa yenye Bluetooth kwa kutumia kifaa hiki hapa Kinapatikana kwa bei nafuu ya Tsh. 15000. Tu kwa mawasiliano zaidi nicheki...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Nimekwama na nahitaji hela ya haraka ili niweze kutatua shida yangu. Katika vitu nilivyonavyo na angalau vinaweza kunipatia hela ya kukidhi shida yangu ni Blender na Rice cooker. Kwa hiyo...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Bado nzima; ina portions mbili ya chini na juu. Juu kwa ajili ya kupooza Chini ya kugandisha Ina ICE BOX kwa ajili ya kutengeneza barafu la nje. Ni Imara. [emoji91][emoji91][emoji91] Bei...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Kama uko Arusha au unamfahamu mtu yeyote mwenye stoo, naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0629 255 677 . Nitumie hata sms. Natafuta stoo ya kuhifadhia mzigo wa dagaa. Niko Arusha. Asanteni sana.
1 Reactions
3 Replies
796 Views
Toyota Brevis (DND) Year: 2005 CC:2490 Full AC Silver Coloured Key to Start Fog Lights Clean Seats Good Tyres + Original Sports Rim + New Spare Tyre Music system + Radio Full Documents...
1 Reactions
5 Replies
900 Views
Back
Top Bottom