Msaada Jamvini natafuta frame ama eneo naloeza weka pub na restaurant...Dar es salaam Sinza mwenge Survey itapendeza....au hata mawasiliano 300k bajeti
Habari Zenu Machief! Taarifa Ni Hii...
Kwa Mahitaji Ya Vyumba ,Nyumba,
Viwanja,Mashamba,Plot,Yard, Godown/Warehouse,Ofisi ya biashara, Frem, Beach,magari (usafiri wowote) n.k sehemu Yoyote Ndani...
Habari jf
Suzuki swift bx iko sokoni, magomeni Dar
Transmission: Automatic
Engine; Petrol, cc 1300
Milleage: 110,000kms
Year made: 2000
Bei 4 million
Piga simu 0744033555
Namshukuru Mola tumeweza kwa muda wa miaka 5 kuzalisha na kusambaza mikoani bidhaa 5 za ngozi na nywele. Sasa wingi wa oda kwa mawakala wa mikoani, unafanya tushindwe kuwahudumia kwa wakati kwa...
Wasalam wapendwa wa Jf.
Nahitaji sabuni za kuogea aina ya ALFA kwa bei ya jumla. Muuzaji wa jumla wa sabuni hizo alieko Dar naomba ani dm tufanye biashara. Au kama unafahamiana na muuzaji wa...
Karibuni katika ukurasa huu ambao unaweza kuwa ni msaada mkubwa sana kwa wale ambao wangependa kubadilishana vitu vifaa magari kwa njia ya kuvunja aidha hata pia kwa wale ambao wangependa...
Kwa Tsh 10,000/= Tu unamiliki vitabu (E-Book) mbili ambazo zitakusaidia kuweza kutengeneza bidhaa za viwandani zaidi ya 45.
Na namna ya kuanzisha kiwanda kidogo kwa mtaji wa Tsh 25,000/= Tu...
Vitu hapo juu vinauzwa na mimi nipo Dar Mwananyamala ambaye atahitaji kimojawapo kati ya hivyo anicheck kwa namba 0621691806.
Feni 35k
Godoro 90k
Meza 40k,
Mtungi 20k
Machine mpya kabisa kwa ajili ya kukatia nyama,samaki na mifupa
Ni imara na haikati misumeno
Ina watts 550
Ina sehemu ya kusagia nyama
Ina warranty mwaka mmoja
Bei 1,350,000 tu
Tunapatikana...
habari wakuu, naomba msaada kwa wadau waliopo zanzibar, kuna duka linaitwa Zanzibar Electronics wanauza TV bei nzuri sana nilitaka kujua kama kuna mtu aliwahi nunua kitu hapo please njoo PM.
Habari wakuu,
poleni na majukumu ya kila siku. Wakuu samahani, natafuta chumba kimoja cha kupanga maeneo ya ilala au Tabata.
Budget line ni kuanzia 30,000 mpaka 70,000 kwa mwezi.
Payment iwe...
Nataka kuaza kuuza nguo za watoto za mitumba sema nlikua nataka kujua mabelo ya mitumba yanapatikana wapi na bei zame zimekaaje kwa belo, mwenye uzoefu tafadhali.
Dawa kiboko ya nzi majumbani katika mgahawa pia wale wa mabucha wote mnakaribishwa bei ni nafuu shilling 300 kwa pic moja na pic 50 ni 10000 badala ya 15000. Kwa mawasiliano piga namba 0783859598
Nauza brand new remote controler ya AC aina ya Gree.
Iko pc moja na ni mpya kabisa.
Bei Tsh 40,000/=
Napatikana Dar es salaam
Mkoani nakutumia kwa bus (utalipa gharama za usafiri)
Mawasiliano...
NYUMBA INAUZWA TABATA KIMANGA
Nyumba ina sebule, jiko, mahala pa kulia chakula, Choo na bafu la jumuiya, vyumba viwili na master bedroom kimoja pia nyumba ina nyongeza ya chumba vya nje.
Kiwanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.