Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza mbwa aina ya bulldog kwa bei poa kabisa, wana matibabu yote ya kiafya na wana afya nzuri sana. Phone no.0716833834 mbwa wapo dar mbezi beach samaki
1 Reactions
70 Replies
13K Views
Habari zenu wandugu, Nimeanza ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, sasa nina changamoto ya soko la uhakika: natafuta soko la maziwa kwa ukanda wa Mbande hadi Mbagala, kwa sasa ninauwezo wa lita 10 kwa...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Kampuni ya Drone Ads inakutangazia wewe unayependa kujenga maeneo jirani na kitovu cha mji, kwamba inauza viwanja 150 vilivyopimwa vilivyopo nyuma ya stendi kuu ya Kibaha, eneo la Pangani...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji kufahamu bei ya mahindi kwa wakulimu msimu huu wa mavuno ni bei gani kwa gunia, na upatikanaji upoje huko kwa sasa? Kama huko itakuwa vyema sana...
1 Reactions
89 Replies
9K Views
Tafadhali Rejea Kichwa Habari Hapo Juu , Naitaji Kiwanja Cha Kununua Maeneo Ya Chanika Kisiwe mbali Na Kanisa Katoliki Au Kisiwe Mbali Na Stendi Kivile SIFA YA KIWANJA NACHOITAJI 1/. Kisiwe...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Meza ni mpya kabisa na viti vyake. Meza ziko40 kwa bei ya@26000. Viti viko 100 kwa bei 10000. Karbun, kwa mawasliano zaidi 0765697006.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanaforum, Natafuta kioo cha Samsung Galaxy A20 kilichotumika na bajeti yangu ni 100,000/=. Nipo Dar es salaam Kinondoni. Kama atapatikani anitafute ili tuonane twende kwa fundi ili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Simu haina shida yoyote. Ndo hii nilio pigia picha. Sifaa zake tazama picha ya kwanza. Beii ni 250,000 cash. Haina tatizoo lolotee. 0738370617 Location Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
433 Views
AINA=> Samsung A6+ BEI => 200000/= STORAGE => 64gb CONDITION=> nzima kabisa ILIPO=> Kilimanjaro ( Tunatuma mzigo mikoani) BATTERY => 3500 CAMERA=> 16 megapixel RAM => 3gb 0743762717
0 Reactions
20 Replies
2K Views
LOCATION Mabibo mwisho CALL 0659591489 BEI NI 200000TSH Nauza simu ni TECNO COMON 11 RAM 3GB INTERNAL STOREGE 32GB ANDROID VERSION 8.1.0 LAINI MBILI ,INA SUPPORT 4G NETWORK
0 Reactions
3 Replies
688 Views
Banda bora la mbwa ni kitu muhimu sana kwenye ufugaji wa mbwa ili kupata matokeo chanya. Sifa za banda bora la mbwa. 1. Liwe linaweza kumkinga mbwa wako na baridi, mvua, jua pamoja na hatari...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Happy Boxing Day wana JF. Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi wangu. Najihusisha na ufugaji huku kanda ya ziwa ila nina changamoto ya chatu katika eneo langu hali iliyosababisha...
5 Reactions
33 Replies
4K Views
Habari zenu, Nahitaji fremu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya biashara ya nguo za mitumba za watoto Mwenye nayo naomba nichek kwa 0626520830
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana JF Hii puma yangu imebanduka ngozi juu, sole bado inadai. Nitafurahi kupata msaada wa wapi wanarekebisha viatu yenye matatizo haya. Ni matumaini yangu nitapata ufumbuzi wa tatizo...
0 Reactions
4 Replies
538 Views
Ndugu kama kichwa cha habar hapo tawaja lengo la uzi huu ni kuwauzia vocha zangu ambazo nilinunua simu yamezan lakin haikuwa inafanya kazi maeneo nilipo kwahiyo vocha za buku nne tu nimekaanazo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
PRICE: 30,000 SHILLINGS PLACE: KIVULE, DAR ES SALAAM Njoo PM
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Kwa mahitaji ya kufungiwa madishi ya kila aina yani (C-band na Ku-band) pamoja na kazi za umeme nipo hapa fundi. (1) Nafunga madishi ya FTA na kawaida(Azam, DSTV, Star times, Zuku e.t.c) (2)...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za Leo Wanajukwaa, Ikiwa Unahitaji Nembo (Logo) kwa Ajili ya Biashara au Kampuni yako basi karibu Tukufanyie kazi nzuri kwa bei nafuu. Pia Utapata Huduma zifuatazo:- 1. Business card...
1 Reactions
25 Replies
11K Views
Habari za muda huu wadau. Nimepata shida kwenye gari yangu. Taa ya upande wa kulia imepasuka. Tafadhali kama kuna mtu anayo tufanye mazungumzo. Mawasiliano 0658444526. Napatikana DSM
0 Reactions
4 Replies
950 Views
Kama upo Mbeya na ulihitaji kupata mafunzo ya ufugaji wa kuku pamoja na utengenezaji wa incubator aina zote na za kisasa zaidi nione inbox nikuunge kwenye group la maandalizi Semina hii ya mafunzo...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom