Kwa mahitaji ya circuit digital , microckntroller programming na ushauri juu ya design nione nikufanyie kazi kwa gharama nafuu kabisa huku ukipata wasaa wa kujifunza design yako.
Nta design...
Nyumba inauzwa Mwanza Magu yenye sifa zifuatazo;
vyumba 2 vya kawaida vya kulala
Vyumba 2 vyenye master bed room
Chumba cha study room
Sitting room
Dinning room
Kitchen
Nyumba imejengwa...
Habari wadau, nauza laptop Aina ya HP
Specifications
Hard disc 1TB
Ram 8gb
Processor 2.0ghz
Core i 3
DVD /CD rwr
BEI Tsh 350000/=
Mawasiliano 0783696253
Haina tatizo lolote
HAYA SASA KUMEKUCHA ACHANA NA KUTUMIA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO,KITAMBI,NA UNENE NA YA KUTENGENEZA SHAPE MAANA SIO MAZURI KIAFYA.. JIPATIE KIFAA AMBACHO KITAKUWEZESHA KUPUNGUZA UZITO,KITAMBI,UNENE...
Maana ya BULK SMS:
Tunapo zungumzia Bulk Sms tunamaanisha huduma ya kutuma ujumbe mmoja wa maandishi kwa watu wengi. Mfano kutuma sms moja kwa watu zaidi ya 10000 kwa wakati mmoja.
Bulk sms...
Kama huwa unaangali level ya ATF kwenye gari yako kama unaangalia Engine oil basi unakosea sana. Hata mimi nilikuwa na mawazo kama hayo mpaka nimekuja kujua kuwa kumbe huwa nakosea.
Kwa asilima...
Habari viongozi ✋
Natafuta nafasi(space) ndogo kwa ajili ya kujenga frem au kuweka banda kwa ajili ya biashara..
Sehemu yeyote kwa Dodoma mjini (sio katikati ya mji) ila sehemu yeyote yenye...
Habari wananzengo.
Natafuta kiwanda kinachotoa ngozi za karanga yaani karanga zinatolewa ngozi yake Ile ya juu na kubakia nyeupe/skinless.
Karanga ambazo hazijakaangwa yaani mbichi hizi za...
Wakuu!
[bado nipo katika biashara ya kuuza Muda]
Kwa sasa nipo Iringa unaweza kunitumia kwa kazi yako yoyote halali katika mkoa ambao huwezi kufika kutokana na majukumu yako kua mengi.
- Ikiwa...
Gauge 30
Migongo mipana (IT-5)> 23,500/=
Gauge 28
Migongo mipana. (IT-5)> 33,000/=
Migongo vigae (versatile)> 36,000/=
Pia tunakata kwa mita (special meter).
Kama wewe ni muhitaji wa bati...
Wakuu mambo vipi,
Naomba kuuliza, kwa Dar es Salaam soko la kuuza mazao ya nafaka kama mahindi, maharage etc. Hilo soko lipo sehem gani?
Kwa mfano, nataka kununua mazao kwa wakulima , na kuja...
Kwa jina naitwa Alpha arts🐾, mimi ni professional artist wa kazi za penseli na acrylics painting napatikana pia nafanya foundation art and also live portraits, , napatikana jijini Arusha....
Bei...
KIMROS PRODUCTS inawaletea pilipili nzuri na zenye ladha ya kuongeza mvuto wa mlo wako.
Tunazo pilipili aina mbili
1.Pilipili ya Embe (Mango chutney)
2.Pilipili kali yenye viungo (Hot spiced...
Bei 235000
Sifa zake
Bluetooth
Fm radio
Usb
Aux cable
Remote control
Warranty mwaka 1
Usafiri bureeee
Wasiliana nasi 0714092524》》0769101045
WhatAssap 0714092524
Tupo Magomeni Mikumi
Wanajamvi,
Kampuni yetu ya SASIL LTD inatafuta wateja wa kokoto bora kabisa za kujengea barabara, madaraja,majumba nk. Bei ni maelewano na ni nafuu sana.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.