Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Kange Tanga Urefu 27m Upana 22m Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano maalum. Exchange inafanyika kwa gari ndogo au bajaj viwe katika hali nzuri. kiwanja...
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Kwa majina Naitwa PETER LIVING Mkaazi wa bagamoyo Mkoa wa pwani ni MTAALAMU wa UJENZI wa MASHIMO ya choo majumbani taasisi na kwenye makampuni ...pia ni MTAALAMU nzuri kwenye shimo linalojaa Mara...
0 Reactions
2 Replies
656 Views
Kama umekuwa ukisumbuliwa na MBU nyumbani kwako, dawa imepatikana Matumizi yake ni kwa usiku kucha, kwenye giza ndio kinafanya kazi zaidi, inapofika asubuhi unakifungua na kwenda kuwamwaga mbu...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
MWANZA Kiwanja kinauzwa nyegezi majengo mapya kilomita mmoja kutoka stendi kuu ya mabasi ya Nyegezi Kimepimwa na kina ukubwa wa mita za mraba 555 Bei yake ni 3 million Mazungumzo yanakaribishwa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau wa games,nimekumbana na shida kwny xbox one S machine hapa nilikuwa nacheza game fifa 20 ikazima ghafla na kuwaka ilivyowaka tu imestuck kwny 480p resolution nimejaribu kila namna...
0 Reactions
1 Replies
578 Views
JIKO la GESI Pleti mbili WESTPOINT PRICE: 95000 Location DSM Karibu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Kange Tanga Urefu 27m Upana 22m Exchange inafanyika kwa gari ndogo au bajaj viwe katika hali nzuri. kiwanja bado hakina hati lakini kwa sasa kuna zoezi la...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Hizi slippers zinauzwa 10,000 pale Miniso. Mimi nauza bei hiyo hiyo 10,000 lakini nitakufanyia delivery. Ni nzuri sana zenye muonekano classic. Ukinunua hii sleeper toka kwangu utasaidia watu...
0 Reactions
2 Replies
525 Views
Habari zenu,tafadhali mwenye kujua mahali naweza kupata pikipiki hizi za kuchaji na bei zake pia
0 Reactions
11 Replies
15K Views
Realme estate ni kampuni Ya kizalendo inayotao huduma za ujenzi Kwa gharama nafuu kabisa inayotumia mafundi wenye weledi na walio bobea Katika maswala Ya ujenzi Wa Nyumba za Aina zote Tanzania...
15 Reactions
831 Replies
158K Views
KWA WALIO KOSA SELECTION FORM FIVE. Soma hapa👇👇👇👇👇👇👇👇 Usipate stress kwa waliokosa nafasi kujiunga kidato cha tano na wanao itaji kurudia mitiani kidato cha NNE, SiTA, na QT shule ya HELP...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Baadhi ya watu wamekuwa wakifanya OBD2 diagnosis kwenye magari. Ni kitu kizuri na kwa upande fulani kinaweza kurahisisha kutatua tatizo la gari husika hasa ukizingatia kwamba tatizo moja la gari...
9 Reactions
25 Replies
7K Views
Nauza Redmi Note 7 Blue. Brand New and straight From Xiaomi Global ROM (Ina full google apps pamoja na google playstore + ni multilanguage) ROM ni 64GB RAM 6 GB 6.3'' inch display Snapdragon 660...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jpili wapendwa naomba kupata kufahamu kuhusu kuingia nchini za wageni kutafuta maisha kwa kupata njia raisi na kama una ndugu yako njeee ya inch mfano marekani anafanya vipi kukupatia...
0 Reactions
35 Replies
8K Views
Wakuu habarini? Poleni na majukumu. Kwa mzazi au mlezi aliye na mtoto mwenye uhitaji wa kusoma masomo ya science mwalim nipo. Eneo ni Ubungo Riverside. Pia kwa wale private candidates na QT...
1 Reactions
0 Replies
489 Views
BEI 2,050,000 inapungua kdg kaibu mawasiliano 0715140001
0 Reactions
2 Replies
40K Views
Tunapokea gari za aina zote . Gharama za dereva na mafuta ni juu yetu . Sio lazima utukodishe gari lako kwa siku zote mfululizo, ila kama utaweza itakuwa fahari yetu. . Tunapatikana Sinza . Call...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Habari Wadau wa Jamii Forum, Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu. Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto...
3 Reactions
35 Replies
7K Views
*HP Elitebook 8470p, NoteBook Laptop 3rd Gen.* IPO SOKONI KWA BEI CHEE SANA...SAWA NA BURE... [emoji676][emoji676][emoji676][emoji676][emoji676][emoji676][emoji676] [emoji839]Kioo tu kwanza ni...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Natatafuta gari ya kuendesha Uber kama tittle inavyosema. Nimeshafanya kujiandikisha Uber . Tafadhali kwa yoyote anayehitaji driver ,Niko hapa. Thanks
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom