Hatimaye TECNO CAMON 15 imezinduliwa rasmi ikiwa imesheheni sifa mbalimbali ikiwemo kamera ya nyuma yenye MP64 na mbele MP32 ambayo imewekewa teknolojia kubwa yenye uwezo wa kupiga picha...
Pata mabati bora ya rangi kutoka ANXINFA BUILDING MATERIALS
GAGE30 sh. 21,000/pc sh. 7,500/mita
GAGE28 sh.27,000/pc sh. 9,500/mita
VESSAL sh. 12,000/mita
MISUMARI sh. 9,000/kilo
KOFIA(G...
Habari ndugu zangu.. Kama kuna mtu anauza mayai ya kuku wa kisasa na yupo Dar naomba tuwasiliane. Nahitaji tray zaidi ya 300..
Nitafurahi sana kama nitapata fursa ya kukutana na huyo mtu
Habari wana Jf,
Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya Muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu...
Hi! Je ungependa kuboresha biashara yako kwa kuweka lebel bidhaa yako ili iwe na mvuto na ushawishi basi tunadesign lebel ya bidhaa kwa Tshs.18,000/=
Na pia tunaprint A4 kwa Tshs.450/= na A3...
Iko katika good condition
Battery health 100%
Black in colour
RAM 2 GB
Screen size 4.7’’
Location ; Dar es salaam
Price: 600,000 negotiable
Contact; 0758342881
Wadau habarini, mimi niko Arusha na nimefuga kuku wa kisasa na wameshaanza kutaga mayai kiini cha njano, naweza kusuply tray 100 kila baada ya siku 5, yeyote mwenye kujua soko anicheki, asanteni
Karibuni sana nauza viatu poa vya mtumba kwa bei nafuu
kwa mawasiliano nicheck kuptia 0692058709 Whatsapp & Calls
AIR JORDAN 1 LOW SE SHOES
SIZE 9.5/44.5
PRICE 35,000/=
Brown leather
SIZE...
-Ipo wilaya ya masasi(town kabisa) mtwara
-Ina vyumba vitatu, kimoja master na public toilet
-Jiko, dinning, sitting room
-Uwanja mkubwa unaweza ukajenga nyumba nyingine
-bei 22m maongezi yapo...
TANGAZO LA BIASHARA:
Laundry machine (VON):
Ina capacity ya kufua 15kg
Haina shida yoyote
Ina miezi 4 tu toka inunuliwe dukani.
Kimpira cha kuingizia maji tu ndicho kilikatika.
Manual...
Habari wana JF,
Nahitaji shamba lenye ukubwa wa ekar 1 kwa ajili ya shughuli za ufugaji...kwa wale wanaofaham maeneo ambayo mashamba yanauzwa kwa hapa morogoro msaada wenu tafadhali
Sent using...
Codelab Technologies ni kampuni ya vijana wa kitanzania, inayojishughulisha na kutengeneza software.. tunakuletea pera microfinance software itakayokuwezesha kutunza taaarifa za wateja wako...
Drive in lodge msata inayopatikana barabara ya Bagamoyo,inakujulisha wewe dereva wa gari ya kukodiwa au gari ndogo uwapo Safari na UNAHITAJI huduma za chakula, vinywaji au malazi, karibu Sana...
Nakuletea huduma ya bati na Vigae vya kuezekea, nitafika kwenye site yako ama nyumbani kwako ukiwa na ramani ya jengo lako(site) linalohitahitaji kupauliwa. Tukiwa wote site tutafanya yafuatayo:-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.