Habari wana jf.kuna nyumba inauzwa ipo morogoro maeneo ya bima kama nusu kilometa kutoka msamvu inavyumba vinne ambapo kimoja ni master bedroom.kiwanja chake ni low density kwaiyo ina eneo kubwa...
Wanabodi najuwa kuna wajuzi na wajuvi wa mambo nimehangaika hatimaye Narudi nyumbani. Nina tv aina ya LEXSOR LCD INCHI 32" niliinunua zanzibar mwaka 2014.
Sasa imeharibika inatoa mistari hivi...
Tunafahamu wazi, unakutana na mafundi mbali mbali wa kupendezesha nyumba yako. Lakini sisi tuko tofauti kidogo kwani tuko na:
1. Uwaminifu
2. Uharakishaji wa kazi.
3. Kazi nzuri yenye kiwango...
Kampuni ya simu za mkononi ya Itel imetembelea kituo cha watoto yatima cha CHAKUWAMA kilichopo Sinza Mori jijini Dar es Salaam na kutoa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo chalula na vifaa vya...
Wakuu habari.
Nahitaji mojawapo ya simu tajwa hapo juu mwenye nayo tuwasiliane.
Iwe used isiwe na tatizo lolote.
Napatikana Dar.
Piga au tuma meseji kupitia
0654 626 212.
Waugwana habari za majukumu.
Ninauhitaji wa nyumba kama nilivyoeleza hapo kwenye kichwa cha habari. Lakini kuna sifa ya ziada ambayo hiyo ndo itakuwa kivutio kwa Mimi kufanya manunuzi. Sifa hiyo...
Metatron lift Co LTD, tunasambaza Kwa jumla na reja reja ( Kokoto NYEUSI toka Lugoba, Mchanga wa kujengea na mchanga wa plasta, mawe pamoja na vifusi. Ofisi zetu zipo:
Metatron lift Co LTD...
Nyumba yenye vyumba 5 ikiwa kwenye hali nzuri.
Ina uwanja mbele na nyuma
Mita za mraba 1500
Inauzwa mil 90 maongezi yapo
Karibuni simu 0768412181
Mbezi Kimara
Habari zenu, nyumba inapangishwa ipo temeke vertenary ina vyumba vitatu,choo kipo ndani chumba kimoja ni self contained karibuni hizi ni baadhi ya picha za vyumba hizo chini
kwa mawasiliano zaidi...
Bei 735000
Sifa zake
Bluetooth
Usb
Fm radio
Aux cable
Remote control
Warranty mwaka 1
Usafiri bureeee
Wasiliana nasi 0714092524》》0769101045
WhatAssap 0714092524
Tupo Magomeni Mikumi
Ninauza PS4 Slim (imetumika kidogo), ina pad 2. Capacity 500GB. Nipo Dar (mkoani nitatuma pia but kwa gharama ya mnunuaji).
Bei TZS 780,000/=
Comes with CD ya Fifa19
Mawasiliano: +255 752 998 891
Wajasiriamali,
Nahitaji kilo 1000 za rosella kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kuongeza thamani. Kama kuna mtu anazo au anajua mkulima kwenye nazo naomba msaada wa kuunganuishwa naye.
Asante
Makochi yapo full set, matatu though moja hapo halionekani ila lipo, makubwa mawili na dogo moja, bei 400000, kabati mninga limetoka kioo cha katikati 250000, anaehitaji piga 0744833541,yapo Sinza...
Habari zenu wakuu,
Jamani inahitajika gari ya kukodishwa.
- Aina: Noah
- Model: Yoyote
- Jambo kubwa iwe vizuri, katika msingi wa muonekano, uzima na vibali.
- Location: Dar Es Salaam.
-...
Kiwanja kipo Mbezi Mwisho kilometa moja na nusu kutoka Morogoro Road njia nane na kilometer 2 kutoka Kituo kipya cha mabasi Ubungo .
kiwanja kimepimwa
Maji ya dawassa
Umeme
Na huduma zote za...
Habari za asubuhi.
Instagram account: thechef_kidzone.
Ni restaurant yenye mandhari ya nyumbani na good for family, tunapokea orders za shughuli ndogo ndogo zisizozidi watu 100, kama birthdays...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.