Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau, nahitaji madini yafuatayo yenye ubora mzuri na bei nzuri: 1. Ruby 2. Sapphire 3. Aquamarine 4. Garnet 5. Gold (Dhahabu) 6. Tanzanite 7. Crome Tourmaline 8. Diamond Tafadhali endapo ni...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nafanya ufundi wa vitu vifuatavyo:- 1. Nafanya LAN ya uhakika na kufunga access point( wireless) 2. Nafanya installation ya cctv cameras kuanzia maofisini, dukani na hata majumbani nnazo cctv za...
1 Reactions
5 Replies
945 Views
Natafuta mtu au kampuni inayoweza kusuply 100kg za makaa ya mawe kila baada ya siku saba. Kwa biashara zaidi njoo PM sasa hivi nikupe utaaratibu. Aksante.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za leo! Kuna shamba linauzwa maeneo ya Kiromo Bagamoyo kilomita 5 kutoka Bagamoyo road. Ukubwa wa shamba ni heka moja na limepandwa mihogo mwaka jana december. Bei ni million 7.5 na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii nyumba ni kubwa ina vyumba vitano viwili ni self-contained ( ni vya juu) na vitatu ni vya chini pia ina public toilet ,seating room kubwa, jiko na uwanja mkubwa wa kutosha Nyumba ipo...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tangazo Wahi viwanja Kiwanja Kibaha miembe saba mita 20*20 (Square mita 400) bei Million 4.5 mteja unaweza kulipa 250,000/= kila mwezi kwa mwaka na nusu ukitaka kulipa cash bei Million 4 kamili...
0 Reactions
1 Replies
731 Views
Bidhaa Toka China jipatie kwa Bei nafuu kwa wale wa madukani upate faida maradufu. Hereni set 10,000 Bag set elfu 35 Taulo set elfu 15,000 zipo nne. 0757066208
1 Reactions
11 Replies
1K Views
DUKA LA PRINCE COLLECTION WAUZAJI WA VITENGE KUTOKA KONGO KWA BEI YA JUMLA NA REJAREJA Hitageti- Jumla-25,000 na rejareja-27,000. Nichem- Jumla-22,000 na rejareja 23,000. Java- Jumla-31,000 na...
0 Reactions
6 Replies
13K Views
bei kuanzia 20000 mpaka 40000 inategemea wewe unataka design gani karibuni sana whatsapp 0658787271
0 Reactions
1 Replies
881 Views
Jipatie vitenge aina mbalimbali kutoka Smart African Designs.. Bei ni nafuu kuanzia 25,000/= Culture na 30,000/= Mckenzie original.. Kwa mawasiliano/Whatsapp: 0786527572 Mikoani tunatuma...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Ipo katika hali nzuri Ipo Arusha Ilinunuliwa Norway Bei ni laki 4 kamili. Sababu za kuuzwa ni kutatua tatizo la dharura. Kwa mhitaji na maelezo zaidi piga 0718585346 NB Picha za mbele...
1 Reactions
0 Replies
712 Views
Nauza gx100 1gkavu cc bei mil 2.5
0 Reactions
2 Replies
533 Views
Inauzwa PIKiPIKI Aina Ya Sanlg Sl125-5 Haimjui Fundi Bei Ni 1.8m Ipo Kahama Piga 0622556749 Karibuni
0 Reactions
1 Replies
813 Views
Nahitaji kioo cha iPad 2 kwa mtu yoyote ambaye anacho au anaweza kujua wapi nitakipata anijulishe kwa pm tafadhali
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Bei Tsh 530,000 Inapatikana Morogoro Ina 500 gb Mawasiliano piga 0746897449
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Specifications: RAM-8GB System type-64bit Processor-Intel(R) core i3 Hard disk drive-250GB contact: +255758898201 Price 230k Location: Kyela, Mbeya.
0 Reactions
0 Replies
364 Views
Habari wakuu? kampuni ya Oceankiss ya magodoro inahitaji wauzaji magodoro wa reja reja na Jumla ili waweze kuwa agents wetu na mtanunua magodoro kwa gharama nafuu moja kwa moja kutoka kiwandani...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Viwanja vinauzwa vipo Mita Mia tatu kutoka ziwa Victoria vipo maeneo ya Luchelele. Usafiri wa daladala Hadi kiwanjani kimepimwa na taratibu zote zimefuatwa. Bei ni mil 16 tu. Ukubwa ni square...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
DOREENMUNIS HOUSES PLUMBER COMPANY Tunafunga bomba/mifumo ya maji safi na taka kwenye nyumba mbalimbali iwe nyumban au maofisin. Huduma zetu ni bora,nafuu na uhakika kabisa, hautojuta kufanya...
0 Reactions
3 Replies
800 Views
Nauza Jenereta kama unavyoiona kwenye picha hapo na specification zake, unaweza kutumia nyumbani, dukani, salon , au ofisini n.k ipo vizuri kabisa haina shida yoyote ni kama mpya tu. Ipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom