Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Mark 2 Gx 100, 1G kavu engine Engine haijafunguliwa, Mwaka 1999 9-10km/litre Full AC Music with touch screen redio +buster Clean ndani, hakuna uchakavu ndani In good condition... Bettry n50 mpya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu msaada wa kujua wanapouza hizo camera kama ikiwezekana na mafundi wa kuzifunga ndani ya nyumba kwa Mwanza kuna wezi wananisumbua sana. Leo mara ya tatu wanaiba vitu usiku. Nataka kuzaa nao...
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Hii ni thread maalum kwa wadau wote wanaouza maeneo sehemu mbali mbali hapa Tanzania, na pia kwa wadau wote wanaohitaji kununua maeneo.. #SellersMeetBuyers Kama unauza eneo lako tiririka mama...
8 Reactions
398 Replies
57K Views
Toyota landcruiser hardtop for sale in a good condition Mileage 98000 km Manufacturing year 2011 Price 90 million t sh Location in dar es salaam Contact +255714787795
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani natafuta simu ya blackberry curve mwenye nayo.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kujua zaidi juu ya wapi napata driving school hapa dodoma na jezi gharama zipo je? Je, naweza kupata ata kujifunza kwa minimum time ya 2 weeks? Nisaidieni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari Wana Bodi Natarajia kufungua ofisi/workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao. Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam. Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa ipo Jijini Mwanza katikati ya Nyegezi kona na stendi ya Nyabulogoya,pia kuna eneo limebaki kwa ajili ya kujenga nyumba nyingine,Eneo linafaa kujenga guest house. Ukubwa wa eneo; 30...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
geji 30 sh. 20,000 tu kwa pc geji 28 sh. 26,500 tu kwa pc geji 32 sh. 15,000 tu kwa pc kofia/Valley sh. 10,000 kwa pc misumari(rangi) sh. 9,000 kwa kilo KELVIN HAULE NIPO DAR 0714573462
0 Reactions
43 Replies
35K Views
Hello there wana-JF! Mimi ni mgeni katika forum hii, but i can see you are doing fine helping each other! Thats cool brothers, Keep it up!!! Naishi hapahapa Dar, na nina plan ya kuanza...
0 Reactions
579 Replies
400K Views
Habari za asubuhi wana jamii kutokana na maisha kuwa tight sana naomba msaada wa ramani ya chumba master na sebule kwa wale wajuzi ili niikimbie hii adha ya kodi za nyumba asanteni sana Sent...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
GOBA-KULANGWA Plots zinauzwa zipo kwenye good location ndani ya Goba Kulangwa. size of plots A 1.sqm 400- 26m (negotiable) 2.sqm 400 again ikiwa na nyumba ndogo-27m (negotiable) 3.sqm 700_30m...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wana Jf hope ni wazima kama unamaitaji au shida ya pesa za zamani SHILINGI MOJA pesa ya kitanzania toleo la mwama 1982 zipo nyingi to naziuza serious buys njoo inbox kama unaziitaji Bei...
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Habari zenu waungwana, Ninatoa huduma za: Usafi wa Nguo(Kufua na Kupiga Pasi) Kusafisha Masofa Aina zote Kufua Mazuria Kusafisha Nyumba. Mwenye uhitaji wa huduma hizo anitafute kwa namba...
1 Reactions
4 Replies
895 Views
kiwanja kina ukubwa wa square meter 713 - kina hati miliki - kiko barabarani( barabara ya lami ya mbweni) - kimezungushiwa ukuta mrefu mpaka juu - bei maelewano (piga simu) Mawasiliano: 0765...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Kitabu chetu kwa sasa kinapatikana Mkoa wa MARA, DAR ES SALAAM, MOROGORO NA MWANZA. Kwa watu waliopo maeneo hayo au jirani na maeneo hayo wasiliana na mawakala wetu. KUPITIA KITABU HIKI CHA...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Bei. 60million, Maelewano yapo. Nyumba:Ina vyumba vitatu vyote ni self contained,master room 1,sebule, dining,store,choo. Umeme na maji vipo. Taarifa: Ina HATI kabisa, Ukubwa wa kiwanja ni...
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Camera: Canon 5D Mark III Lens: Canon EF 24-70mm f/2.8L Camera Gimbal: DJI Ronin S Laptop: MacBook Pro 15’inch 500GB Hard Drive: 1TB Transcend Camera mic: Rode VideoMic Pro Headphone: Sony...
0 Reactions
1 Replies
621 Views
Natafuta dereva wa bajaji kwa hapa Dar es salaam. Bajaji zipo mbili maeneo ya Temeke Mwisho, dereva awe mwaminifu na hesabu kwa siku elfu 15,000 . Mdhamini mmoja muhimu, kwa maelekezo zaidi piga...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wakuu. Natarajia kupokea pesa toka nje ya nchi na moja ya njia ambazo mteja Wangu anatumia kulipa ni Skrill na pay pall. Nimeshafungua account ya Skrill ila naomba kupata uzoefu ni jinsi...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Back
Top Bottom