Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kulingana na janga la Corona. Nimeamua madogo niwe nawanyoa mwenyewe nyumbani. Naomba kujua nitapata wapi hizi mashine kwa hapa Dar es Salaam?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Usikubalii kupitwa na hii Ofa, wanaozijua wazichukua kila Leo.. TUNAUZA PIKIPIKI MPYA KABISA AINA YA HONGHA BEI NI 1,600,000Tsh Aina ya pikipiki ni HONGHA, CC 125, ina gia 5, speed yake ni...
1 Reactions
47 Replies
20K Views
Habari wanajamvi,kuna viwanja (havijapimwa bado -shamba) ekari 2 vinauzwa vyote kwa pamoja. Ekari moja inauzwa kwa Tsh 10,000,000. Vipo Nkuhungu karibia na mnadani - mita 200 kutoka barabara ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kimoja kina hati Chang'ombe extension na kingine kipo Ntyuka kina 35m x 35m piga simu 0653006951
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama upo na ujuzi huo naomba tuwasiliane ili tuweze kutengeneza kitu. Hii ikiwa na maana kwamba tunaanzisha ofisi kwa ajili ya kuendesha shughuli hiyo iweze kutupatia angalau kipato. Naamini...
1 Reactions
1 Replies
783 Views
SIFA: Iwe haijakamilika (half-built). Iwe ina vyumba vinne vya kulala. Iwe imejengwa katika kiwanja ambacho kimepimwa na kina hati miliki. Kiwanja chake kiwe na ukubwa usiopungua mita za mraba...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
HP PAVILION core i3 RAM 4gb Hdd 500gb processor 2.4 Ghz PRICE 570k HP PAVILION CORE i5 Ram 4gb Hdd 500 gb Processor 2.4 ghz Price 680k Dell inspiron core i7 pia zipo TEL 0719 551 375 PC...
0 Reactions
4 Replies
980 Views
MODERM BEI 30,000 SHILLINGS HARDDISK 30,000 SHILLINGS WHATSAPP ME: 0743232148
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Yeyote anaetaka kuendesha biashara ya Carwash awasiliane na mimi. Sehemu iko tayari na ina facilities zote na fremu kubwa ya biashara ya spare/lubricants, pembeni kuna gereji pia.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Karbun kwa kaz saf na za kisasa za nyumba kwa rang za kawaida au material ya kisasa Kama travetex dekor, decoo, 3dwall panel, wall moulding, wall master ,wall paper,conmix ,stucco,pearl,palace...
4 Reactions
2 Replies
3K Views
Fursa ya biashara kwa mtu anayemiliki basi kubwa au Tata,kuna njia ambazo zinauhitaji wa magari ya abiria kama sumbawanga_kigoma(500km),mwanza_tabora_sumbawanga(953km) na...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habarini WanaJf, Naomba ushauri wa kufahamishwa kuhusu tiles nzuri za kuweka kwenye nyumba ambazo hazipauki na zenye gharama reasonable. Nimeona kuna tiles za kampuni ya Goodone, Goodwill na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Purse bajaji cc 200 valve 4 na plug 2 Ipo dar Info contact 0783166050 Price 1m Imetumika miezi michache Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
31 Replies
9K Views
Wakuu, Nauza power cable za computer na VGA kwa jumla @3000 kwa PC Napatikana Segerea mwisho. Zipo nyingi sana; pc zaid ya 10000. Karibuni Mawasiliano: 0765544397
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyumba ina Hali Nzuri na Eneo ukubwa miguu 25 kwa 20, Pia ipo karibu na barabara Kuu. Ina Sebule kubwa, dinning room,jiko,vyumba 2 vya kulala,choo na bafu.. Na pia ina Banda la nyuma lenye...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jeki ya umeme na spana ya yake ya umeme ya kufungulia Tyres za gari inatumia umeme wa gari Zinauzwa aina ya lcav bei 250000 zipo dar es salaam pia zipo drill mpya Zinauzwa bei 60000 Ukihitaji...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Yamaha Generator inauzwa Single phase 3.5 KVa 220V Output 50hz Location: Dar es salaam Contact : 0710999771 Bei 1,100,000 punguzo imeshuka 950,000
0 Reactions
24 Replies
3K Views
katika vita ya kuendelea kupambana na corona kuna mashine tunazitengeneza (disinfectant walk through ) kama inavyooneka hapo chini kwenye picha na video .tushirikiane kupambana na janga hili kwa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Specification RAM 6GB , internal Memory 64 GB Scanner; iris scanner,fingerprint Display 6.3 inches Camera 12MP dual,8MP Battery capacity 3300mAh Used kwa miezi 11 Battery inakaa na chaji...
0 Reactions
1 Replies
680 Views
Location:Dar es salaam Contact : 0710999771 Meza 250,000 Mlango 250,000 Angalizo mlango sehemu ya kioo kimoja kinacra
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom