Nyumba ya wapangaji inauzwa, ina wapangaji 5 ( 3 ni single rooms, 2 ni chumba na sebule) wote kwa pamoja wanalipa 450,000 kwa mwezi na kila mmoja ana Luku yake. Ina vyoo 4.
Maji Dawasco na...
When we talk about powervu, we are talking about a technique used in encrypting certain channels. It is a CAS like dstv channels, canalplus channels, beinsports channels. Just like dstv channels...
Nyumba bora za ghorofani, zinavutia na za kisasa. Nyumba zipo eneo tulivu la mbezi juu, wapangaji wanne wa kwanza watapangishwa katika nyumba ambazo ukiwa sebuleni au katika varanda unatazama...
Natafuta mayai ya kisasa kwa wakazi wa Dar au maeneo ya karibu na Dar, yawe hayajakaa muda mrefu na size iwe nzuri.
Shamba nafata mwenyewe bei ya mfugaji sitaki wauzaji wa jumla, mfugaji awe na...
Heshima kwenu wana JF,
Kwa heshima kubwa tunawakaribisha na kuwaarika wadau wa samaki kua tunapokea order na kutuma samaki wabichi waliogandishwa kutoka Mwanza aina ya Sato na sangara.
Bei zetu...
Wadau salam!
Katika pita pita yangu Jumia, nimeona mafriji ya bei nafuu ambayo sio ya kifamilia nimekuta mengi yake ni brand ya Boss! Hata muonekane wake, hususani yale ya double doors naona ni...
Tunatoa huduma ya kukodisha magari(Private)
Aina ya kazi:
1.Tours
2.Harusi
3.Sendoff
4.Kusafirisha Misiba
5.Picnic N.K
Location.Ubungo external
Call us 0784/0753/0715/0622 955 900
Sifa
1. Rangi ni gold
2. Namba za usajili ni T244 DPS
3. Ukubwa wa injini ni 1490cc
4. Idadi ya km ilizotembea ni 77,000 kms mpaka Sasa
5. Inamwaka mmoja tokea imenunuliwa
6. Inabima kubwa...
BOSS LED 2019..
32inch
new kabisa imebaki moja tu..kwa bei sawa na bure 370k...
Picha clean[emoji1491]
Guarantee 2 years, screen protector + risiti. [emoji736]
USIMAMIZI WA RUTUBA YA UDONGO KATIKA KUONGEZA UZALISHAJI WA MAZAO
Engineer Octavian Lasway
Sehemu ya 01
Malengo ya makala hii kwa mkulima
Kufahamu aina za udongo zilizopo na sifa zake...
Habari wakuu? Kama kichwa kinavyosema hapo juu. Kwa sh. Laki tatu tv flat screen 32 inaweza patikana dukani? Je ni kampuni gani hiyo kwa hicho kiwango cha pesa? Nitashukuru kwa michango yenu...
Dawa za nguvu zakiume. Kansa cd 4 za ukimwi..hepatitis b moyo ...ugumba uzazi.kubana uke..kuondia uchafu na maji ukeni..kurefusha nakunenepesha uume..kuzuia bawasiri.kukuza hips na makalio.congo...
Salam wadau!!
Ninahitaji kununua truck kwa ajili ya kubeba mizigo maeneo ya mjini na wilaya za karibu ambazo kwenda na kurudi haizidi 200kms. Mizigo ninayotarajia kubeba ni tani 4 mpaka 5...
Habari za majukumu wapendwa wana JF
Nina Hekari 10 nazikodisha, eneo la Mkoa wa pwani, karibu na Kibiti, eneo ni zuri kwa kufanya shughuli za kilimo kwani rutuba yake ni nzuri kwa kustawisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.