Habari, viwanja kiluvya makurunge bado vipo, karibuni mujionee na kuweza kujipatia chako, vipo vya location tofauti tofauti.
Location -
Kiluvya kwa muhindi- bei ni milion tatu.
Kiluvya majumba...
Wakuu habari zenu, nimepatwa na shida inayohitaji kupata pesa ya pamoja hivyo nimeamua kuuza bajaji yangu iliyopo Kigamboni jijini Dar es salaam.
Bajaji ipo katika hali nzuri, ruksa kuja na fundi...
Shuky's Tender Solutions
We are professional in preparation of Bidding (Tendaring) Documents for all your Business Tendering needs. We insure details and high accuracy for proper guarantee of your...
Wakuu salaam.
Ninaunza gari yangu Toyota Harrier model ya mwaka 2001. Vvti injini, CC 2360, rangi yake silver. Gari nimeitumia kwa mwaka mmoja na wiki mbili sasa. Gari ni imara. Nimeitunza...
Brand new electro master weighting scale (mzani wa kupima binadamu)...@ 55,000/=
Tutafute; 0718 48 00 49,call sms or whatsap
Free delivery, mikoani tunatuma na tunauza kwa bei ya jumla...
Habari zenu ndugu zangu,nimemaliza degree ya procurement and supply,kutokana na ugumu wa ajira kua ngumu nimeamua kujiingiza katika biashara,ninachukua ubuyu zanzibar na kuuza hapa dar es salaam...
Moja kwa moja
Deep freezer Kampuni ya Mo lenye ujazo wa lita 306 linauzwa.
MDA WA KUTUMIKA: Limetumika kwa miezi miwili na nusu (hadi wakati huu ninavyoandika.
CONDITION: liko vizuri sana...
Eneo kilipo: BUNJU B njia mwabepande
umiliki: Kina hati( full titled)
ukubwa: Sqm 1600 (53 kwa 30)
bei: 35m (maongezi kidogo yapo)
hakuna longolongo
mawasiliano:
kawaida : 0765 494 548
wasap...
1. Shamba la miti ya cypress lipo;
Mkoa: Geita
Wilaya: Geita
Kata: Bukondo
Kijiji: Lulama
Ukubwa: hekari 4 yenye miti ya miaka mitano
Bei:Tsh. 18,000,000/=
Eneo lote la shamba linafaa pia kwa...
As Salaam alaykum
Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga.
Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika.
Kwa...
Wadau,anayefahamu duka au mtu anae uza disposable glass with lid,dome shaped lid kwa hapa Dar es salaam,pamoja na price yake wholesale price. Naomba anisaidie
Natanguliza shukran....
Habari wana JF,
Natafuta mbwa wa kununua, aina ya ROTTWEILER au DOBBERMAN mwenye umri wa miezi 10 hadi mwaka mmoja na miezi mitatu. Awe na card yake inayoonyesha amechomwa chanjo.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.