Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari! Ni matumaini yangu mpo salama. Niende kwenye topic. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninatoa/tunatoa huduma ya Structural Design (Buildings Design) kwa wasioelewa hapa ni kwamba...
0 Reactions
0 Replies
463 Views
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja ni 'master'), jiko, dining place iliyoungana na living room, pamoja na choo cha umma. Ina ukuta na geti zuri. Fimbo za kisasa za mapazia utazikuta...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niaje. Kwa wale wapenzi wa Infinix na simu za masafa yaani ikijaa imejaa kwa masaa kutokana na matumizi. Nauza Infinix Hot 6x. Specifications: Infinix Hot 6x Internal 32gb Ram 3Gb Battery 4000mAh...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za uzima poleni na majukumu ya hapa na pale, Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, anahitajika system developer mwenye uwezo wa kututengenezea Website kwa ajili ya matumizi yetu Kwa...
1 Reactions
0 Replies
761 Views
Nahitaji mkaa mbadala. Nipo Tegeta, Dar es Salaam. Yeyote anayeuza anaweza kunicheki kwa namba hii: 0621047801 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Mawasiliano 0754,350,882 Lita 5 shilingi 15000, maana yake lita moja 3000, kwa jumla lita 22 shilingi 60000
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninayo mafuta ya alizeti lita zaidi ya 100, ninauza jumla na rejareja, lita moja Ni tsh 3000, mashudu meupe kilo tsh 70, Mawasiliano 0754,350,882, karibuni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Google (huawei) Nexus 6p Ram 3 Gb Rom 32 Gb Camera nzuri sana 12 mp Android 8 3450 mAh strong battery Second hand mkorea Bei 270,000 Nipo Sinza 0682521021 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Tunapenda kukufahamisha kuwa tuna MBAO na NGUZO ZA PLASTIKI (zilizotengenezwa kwa mabaki ya plastiki 100%) zilizo katika urefu na saizi tofauti, imara na madhubuti kwa ajili ya ujenzi wa uzio wa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombwa kujua tatizo ni nini hasa, nina gari gari chaser hasa asubuhi ukitaka toka ukiweka D au R inachukua kama dk 5 ndio inaanza kuondoka, nimebadilisha ATF lakini bdo tatizo linaendellea...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
HB, Aluminum & Glasswork ni mafundi wa kutengeneza Madirisha, Milango, petition za maofisini, showcase, kabati za nguo nk. Bei zetu ni nafuu sana. Tupo Mwanza ila popote ulipo tunafika. Karibuni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wauzaji wekeni namba na location zenu pia na bei muda sio mlefu utatafutwa kwa biashara pia Dalali utakula cha juu kwa kutoa taarifa za machimbo ya wafugaji. Serious people only, pia mkataba...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa wale wanaojua Google Adwords nadhani hii inawafaa, Nauza Akaunti za Google Adwords Ikiwa na Billing Threshold ya $500 kwa wale wasiojua maana ya Google Adwords hii ni website ambayo unaweza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, naomba mwenye kujua wapi naweza kupata viti vya massage naomba anijuze bei na wapinaweza kuvipata. Asanteni. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
647 Views
Kampuni ya Sumtech Company Limited ina tengeneza website ambazo zina security, user friendly, high speed and good catching design. Tunatengeneza website kwa watu tofauti base on religious...
0 Reactions
2 Replies
945 Views
Nataka nikanunue Wireless mouse aina ya HP Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
796 Views
IST Nyeusi Mwaka 2005 Cc 1490 Km 121958 Rm spots Haina tatizo lolote Kawe Dar es salaam 0684 703 200 Bei ni Milioni 11.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
WAKUU SALAAM... TUNAUZA DAGAA NYAMA (DAGAA MCHELE) WALIOANDALIWA KATIKA MAZINGIRA MAZUZRI KUTOKA VISIWA VYA ZANZIBAR NA MAFIA BEI KILO 7500- -TUPO DAR ES SALAAM -UNALETEWA MPAKA NYUMBANI -MIKOANI...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nauza page ya fb ina followera 23500 ipo active kinomaa Sababu za kuuza:Nauzia shida tu ndugu zangu Sent using Jamii Forums mobile app Update:,imefikisha watu 24000
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Simu second hand imported from korea No accesories . Motorola z2 force specs; Ram-4 Gb Rom-64 Gb na unaweza weka memory card Front facing fingerprint(ina gestures hapo hapo mfano kurudi back...
0 Reactions
8 Replies
822 Views
Back
Top Bottom