Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kipo DSM Kina HDMI Tsh 50000 0693179844
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Tunakuletea huduma ya #Cctvcamera ambayo ni madhubuti kwaajili ya ulinzi, uangalizi wa mali za majumbani, maofisini, kwenye biashara zetu , mitaani, kwenye miji na sehemu kadha wa kadha. CCTV...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Huu ni mwanzo wa mwaka na mwanzo wa malengo mapya. Kama bado huna uhakika na biashara yako au hujui uanzishe biashara gani ya uhakika inayolipa zaidi, hofu hiyo ondoa kuanzia sasa. Gharama ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kimepimwa (surveyed) 400 meters kutoka baharini 3 kilometers kutoka Dege Eco Village Barabara nzuri inapitika muda wote Kumeendelea (kumejengeka) Kiwanja square meters 574 Bei ni Tshs 9,000,000...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Eneo: goba kibululu , km 1 kutoka goba centre Eneo limepimwa so upatikanaji wa hati ni rahisi sana na pia ni eneo ambalo tayari kuna makazi ya watu pamoja na huduma zote (maji na umeme)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta chumba kimoja cha kupanga kiwe self-contained, chenye maji, umeme na kila kitu, usalama pia. Namba yangu ni 0758713562 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Monitoring system maalumu zinazotumia muunganiko wa camera zenye nguvu zinazokuwezesha kusimamia biashara zote zilizo sehemu yoyote, popote ulipo utaweza kupokea picha za matukio yote katika...
1 Reactions
4 Replies
821 Views
Nina amini kuna watu wana pesa zao nzuri tu...tena nyingi ziko benk,ziko majumbani na sehemu mbalimbali za kutunzia pesa. Mimi future billionaire nafanya biashara zangu binafsi kwa miaka mitano...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
INFINIX HOT 6X Storage:32GB Battery *4000 mAh* Performance *Snapdragon Adreno 308* Face ID na fingerprint Clean as new Colour:Black Price:280k LOCATION: Dar-Mbezi Sent using Jamii...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mobile gas popcorn machine for sale Kunduchi Bei ni 500,000 0762 854563 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za sa hizi wakuu..nahitaji contena kwa ajili ya frem...mwenye nalo au anaejua connection za kulipata anichek pm... Hata kwa anaeweza kutengeneza mobile frem zile za mabati ya geti pia...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za kaz. kwa mwenye uhitaji wa mashamba ya uwekezaji wa miti ya nguzo na mbao iringa, wilaya ya kilolo anicheki kwa namba 0743628883, bei ya shamba kwa ekari shiling laki na hamsini. karibu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji Swatch iwe used au new. Rangi nyeusi au blue ndo chaguo langu, brown pia sio mbaya. Mikanda ya mpira ni nzuri zaidi
0 Reactions
2 Replies
508 Views
Nauza Airpods na smart Bracelets kwa bei ya January 2020. CHECK ktk list then ufanye chaguzi ili tufanye biashara Upande wa Airpods Brand zilizopo ni hizi hapa QCY— QS2, T3 & T5 Bei ni —...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kukabiliana na changamoto ya ufaulu wa masomo ya sayansi nchini, Excellence Tuition Centre inakuletea huduma bora kabsa ya masomo ya ziada kwa wanafunzi wa sekondari kuanzia kidato cha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Fridge Brand : LG Bado jipya kabisa Ni energy server, (Linatumia umeme kidogo, Linajiwasha na kujizima automatically) Lina Party ya Freezer (kugandisha) na kawaida Lina warranty ya miaka 10. Bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunaweka urembo mbalimbali katika nyumba kama madirisha, nguzo, kona, arch za nyumba, mikanda ya nyumba.Tutakufuata popote ulpo kwa mawasiliano 0712835623 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, Natafuta gari la kununua. Model: Toyota Harrier (2006), low mileage na isiwe chini ya namba D. Nicheki DM kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mnao hakia Dodoma, Nakipangisha Chumba changu hapa Dodoma mjini karibia na Rainbow/ Malaika Lounge. Hiki chumba nilikikarabati a kuingia mkatabaa na mwenye nyumba. Gharama za matengenezo...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Wadau habarini ya jioni, poleni na pilika za dar hii, mshamba nimeingia toka mkoani na nimeambiwa Hotel nzuri ya kiwango changu ni CATE HOTEL je hapa mjini iko upande upi maana nimeahidiwa kwenda...
1 Reactions
63 Replies
7K Views
Back
Top Bottom