Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
hello JF bros n sisz! watu wengi wamekuwa wakitaka kuagiza magari kwa njia ya mtandao. ni njia rahisi na inayosave muda na gharama nyingine kama nauli nk na unapata gari kwa bei poa. mimi ni...
4 Reactions
65 Replies
29K Views
Sorry wakuu napenda kuuliza Kariakoo naweza pata wapi New brand PS4 either FAT or SLIM 1TB new bwand na ni kwa bei kiasi gani ili niweze kujipanga... Asanten!!
0 Reactions
1 Replies
749 Views
Wadau... Nahitaji Shamba kwa ajili ya shughuli za kiuchumi. Kwa maeneo ya Njombe naweza pata ekari moja kwa 200,000/= Ilimradi kuweze kufikika na gari...! Tafadhali Kama ndio usisite kuwasiliana...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habarini wana JF Nahitaji kununua pikipiki aina ya boxer number C iliotumika ndan ya mwaka huu, ukaguzi utafanyika kabla ya malipo. Kama kuna yeyote anauza tuwasiliane kwa number 0656735641
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Toyota Passo (2006) Model Price: 9.5 million maongezi yapo Nipigie tuyajenge: 0715722673/0786722673
0 Reactions
2 Replies
797 Views
Wakuu mambo vipi Natafuta kuku wa kienyeji ( Matetea) kuanzia miezi 4,mbka 6 , ambao bado hawajaanza kutaga . nahitaji kumi kwanza, ila baada ya mda mfupi nitachukuwa wengi .. Ofa yangu ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Formworks and scaffolding Hiring Kodi formworks na scaffolding za kisasa kwa bei nafuu. Matumizi ya slab, beam,Nguzo, plaster, finishing Dar es salaam, Tanzania. Cell: +255 719 251 251
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za muda huu wana JF, Samaki wakavu wanapatikana, ni wa maji baridi, aina ya Kitoga kutoka Ifakara. Wamekaushwa kwa moto. Wapo wa ukubwa tofauti tofauti, Bei ni kuanzia 3000, 4000, 5000...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Laptop bado ni mpya na haina tatizo lolote na risiti yake ipo. HDD 320 GB RAM 2 GB Processor 2.00 GHZ Slim and portable Os window 10 Fast charge adapter More than 3 and half hours in battery Web...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
MASASI FARMING & AGRO BUSINESS Punguzo la bei katika kufunga mwaka, jipatie uwezo wa kumiliki greenhouse na nethouse kwa gharama nafuu zaidi hizi zitakuwezesha kulima kwa malengo maalum bila...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji mfugaji awe ananiuzia mayai ya kisasa yawe size nzuri (sio madogo) bei siwezi kuweka kwa sababu huwa inabadilika ila kama yupo anicheck kwa number 0625 602 775 / 0712 857 446.
0 Reactions
6 Replies
825 Views
Natumai wote ni wazima wa afya na mambo yenu yanakwenda vizuri kabisa. Napenda kuchukua fursa hii kwa kuwajulisha kua company yetu ya entrebrain inayo jihusisha na masuala ya graphic...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Ninanunua ng'ombe wadogo (ndama)dume au jike. Pia ng'ombe awe wa kisasa na asiyekuwa na magonjwa/kudumaa. Niko Dar es salaam wasiliana nami 0788 548 673.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habar wakuu. Nahitaji machine ya kuoshea magari yenye option ya kutumia umeme na kutumia mafuta petrol. Bei zake kwa anaejua Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina 40ft container inaenda Moro, njoo tuyajenge. Gari inapakia kesho asubuhi. 0717454455
1 Reactions
4 Replies
655 Views
Pata ramani za nyumba aina zote kwa bei ya punguzo la sikukuu kwa asilimia 30 Gharama sasa zinaanzia 250,000/= Wasiliana nami kwa 0712 006246 kwa taarifa zaidi.. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mashine ya Kutengeneza na Kukausha Chaki za Shuleni ON SALE Tsh 30mil (Milioni 30) Karibu tufanye biashara. Call 0767 235923. Sifa za Mashine ya Kutengeneza Chaki: Inatumia Umeme wa Single...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari yako mwana jf; karibu ujipatie ofa ya king'amuzi cha DSTV kwa bei ya shilling elfu 99,000 ambapo utapata ofa ya kifurushi cha #compact mwezi 1 bure #kufungiwa bure #usafiri wa tukuletee ni...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
mzigo wa chambuu umeshuka toka uturuki 100 cotton sio za kufafanan zile za kikinga size availble s,l xl xxl xxxl xxxl xxxxl xxxxxl. zipo chache acha kuvaa mipira sasa bei 15000 reja reja 13000...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Lipo katika hali nzuri (karibu ukague gari) Lipo Mabibo Lina milango mitano 1990 cc Bei ni Tshs 3.4M (negotiable) Call or text: 0692141994
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom