Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza macbook yangu hali ngumu ni ipo katika hali nzuri sana imerumika miaka mitano tu Location Mwanza Contact 0622274515 Bei 1.2M tuuuu
0 Reactions
1 Replies
942 Views
Laptop inauzwa Lenovo bado Mpya Specifications RAM 8 GB 64 Bit Hard disk 1 Terabyte (1,000 GB) Processor intel core i5 4200U CPU I.60GHz 2.30 GHz Bei 550,000(550K) laki tano na Nusu, Location...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
PC inauzwa Specifications RAM 8 GB 64 Bit Hard disk 1 Terabyte (1,000 GB) Processor intel core i5 4200U CPU I.60GHz 2.30 GHz Bei 430K maelewano yapo. Location Dodoma town inatumwa popote...
1 Reactions
5 Replies
934 Views
Hajj's_ifix TUNAKUFATA, KUFANYA KAZI POPOTE ULIPO, MBELE YA MACHO YAKO* Bei tumeshusha Kwa 30% TUNABADILISHA VIOO ORIGINAL VYA IPHONE ZA AINA ZOTE KWA GHARAMA NAFUU KWA KUTUMIA...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Sehemu: Magomeni Kagera (kinatazamana na Morogoro Rd) Ukubwa: 347 sqm Bei: Milioni mia moja na kumi tu (110,000,000) tu Kina Leseni ya Makazi Contact: 0655888268
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Natafuta saa aina ya Rolex mpya au used, weka na bei yako hapa.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Niliwai kuandika hii Post, kama unataka kutekeleza hili huu ndio muda sahihi imebaki mwezi mmoja tu kufanikisha. Uzuri tarehe 12 naenda Dodoma. Pitia huu uzi wa chini kuna maelezo yote...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
kichwa cha habari kimejieleza vizuri nahitaji bus aina ya rosa yenye vigezo vifuatavyo; Iwe ni box board..iwe ni spring juu yaani spring zinakamatia juu kama canter...engine isiwe na turbo yaani...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wandugu, Sasa natamani kujua design ya madirisha maana ndiyo napandisha nyumba sasa Asanteni
1 Reactions
3 Replies
917 Views
Nyumba kuukuu (iliyo katika kiwanja chenye nafasi ya kujenga nyumba nyingine (mita 25 kwa mita 70),inauzwa Kimara mwisho,mita 700 toka Morogoro Road,pembeni ya barabara iendayo Bonyokwa,eneo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, natafuta mabati Used au yale reject kwa ajili ya kuezekea,nimeafiki hayo kwa sababu ya uwezo wangu wa kifedha unavyo niruhusu. Nipo Mlandizi 0655112023 Sent using Jamii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jamvi... naomba nisaidiwe mahali wanapouza vioo vya bafuni (bath cub) kwa dar nataka vioo vitupu bila tray ya chini...shukran Kama hivyo hapo chini[emoji116] Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunauza vifaa vya simu (accessories) Kama Flash disc memory card, charger za kawaida na fast charger, earphones, batteries, Screen protector no Flash sandisc 8Gb 11500, 16Gb 12500 Memory card...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waweza kuwasiliana na Amani Pmassam 0744993819 au kufika ofisi kwetu mkabala na nmb bank ferry Kigamboni . Waweza jipatia pia sendo za ngozi kwa bei nzuri.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Fursa,fursa mpya yaingia bongo tangu mwezi Wa 6_2016.Ni network marketing shirika lina itwa helping hands international (h2i), wadhamini wake ni Hyundai motors,diamond trust bank,lenovo laptop,HP...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
WAPI NITAPATA CHIMBO LA VITU HIVI VIFUATAVYO -Earphone za bei chee -Charger -usb za urefu mpk mita tano imara za bei chee Vinote book na daftar pen kwa bei jumlaa Kalamu kwa bei jumlaa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Njoo PM bei yakutupa kabisa, anaeuza best jamaa yangu kwahiyo nitakuungnisha nae
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Gari halijawahi kutembelewa Bongo year :2006 Mileage :28737km Transm: AUTO Fuel:Petrol Bei=mil 10,500,752/= UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU MBILI Nipigie/ watsapp 0784112347 /0737881888
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wadau, Nina shida ya kupata mashine ya kukata nyama na Samaki kwaajili ya butcher yangu. Mashine inaweza kuwa used or mpya itanifaa tu. Anayeuza tafadhali anijuze ili tufanye biashara. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za saa hizi wana Jamii. Nina eneo langu nakodisha kwa ajili ya biashara ya Samaki awe wakukaanga au wa wabichi lakini kutokana na uzoefu nilikuona nao wakukaanga ndio wanatoka zaidi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom