Updates:
Wakuu,
Nashukuru sana kwa ushirikiano wenu. Hatimaye nimepata Noah na kuilipia.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Wakuu,
Changamkeni deal hilo hapo...
Ninatarajia kufuga mbuzi wa maziwa wapatao kama 10 hivi kwa ajili ya matumizi ya maziwa ya Familia.
Ninaomba ushauri ni wapi naweza kupata mbuzi majike 9 na dume 1 wa kisasa kwa ajili ya maziwa...
Napenda kuja mbele yenu, wadau na wapenzi wa masuluhisho ya changamoto za kijamii kwa kutumia mifumo ya kidigitali, sasa nimewaletea Application inayoitwa SafariPoa. Application hii inakuwezesha...
Wakuu habari,
Ninauza kiwanja mkoa wa mtwara. Mahali: ziwani/mtawanya
Bei: 1,500,0000
Ukubwa ni nusu eka.
Kipo katikati ya makazi ya watu siyo shamba. Pia kuna minazi, migomba na maji yako karibu...
Bei ni 250,000/=
Imetumika.
Ni nzima lakini Kioo cha juu kimepasuka.
Tofauti na kioo haina tatizo zaidi.
Picha:Sijaweza kuambatanisha picha kwa kuwa ninatumia des. comp.
Mnunuzi tuwasiliane kwa...
Naomba kufahamishwa bei gani naeza pata trailer kichanja zile used ambazo imported au zile kutoka kwa mtu hapa bongo zile za kichanja. Je, kwa bajeti ya milion 15 naeza pata trailer nzuri kabisa...
Nsombo and Company limited.
Wanauza Godown lililopo mitaa ya forest barabara ya kwenda hospitali ya mkoa karibu na MSD. Kwa njia ya mnada wa hadhara siku ya jumamosi tarehe 14.12.2019 saa 4...
Ninauza kiwanja Million 10 nafungua majadiliano kwenye bei.
Kiwanja ni kikubwa kipo Kisesa eneo la Mwandulu. Urefu 42 na upana 36.
Kiwanja ni changu kimepimwa, upimaji shirikishi.
Kiwanja...
Tunauza mifuko ya Non woven materials GSM 70.
Size tulizo nazo kwa sasa ni kama ifuatavyo
1. 35 x 45 Tsh 180@pc
2. 35 x 35 Tsh 170@pc
3. 25 x 35 Tsh 100 Pc
4. 26 x 40 Tsh 110@pc
5. 25 x 55 Tsh...
Kumekuwa na changamoto kubwa mbili kwa watu wanaogiza vitu kwenye mitandao hii nguli ya Kichina.
Bei ya mali kuwa rahisi lakini usafiri kuwa bei kubwa.
Wengine njia za kufanya malipo kushindwa...
Habarini wadau,
Kwa mara nyingine tena nauza computer, ni used na inafaa zaidi kwa matumizi ya studio.
Aina: Lenovo Thinkstation s20
HD: 1TB
RAM: 8GB /6 Slots
3 fans
Vga, Nvidia NVS 31
Bei...
Habari wadau,
Ninauza unga wa lishe kwa bei nafuu kabisa,ni unga mzuri naamini ukiutumia
Utafuraia,rejareja ni tshs 5000 kwa 1kg,kwa anayetaka kwa jumla tuwasiliane PM au unaweza piga simu...
Hallo wadau kuna viwanja wiwili kwa Msuguli km.2 kutoka Morogoro road. Ni viwanja viwili vimeungana, kila kimoja mill 15 ila kwa anayetaka kuchukua vyote viwili anapata discount.
Barabara ya mtaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.