Wakubwa nauza hii mashine yangu hapa, ni Microsoft Surface Pro 3, imetumika kwa miezi mitatu tu.
Asking price ni 650,000/= Tshs ( negotiable)
Location: Nyerere Bridge, kigamboni. Dar es salaam...
Habari wakuu.
Natumaini mnaendelea vyema na maandalizi ya X-mass na na Mwaka mpya 2020.
Nahitaji fundi au gereji nzuri ya TOYOTA kwa MWANZA MJINI.
1. Nina Rav4 ya 2003, engine D4 ina kamlio...
Habari wapendwa.
Jana nili ingia mjini Kariakoo Mtaa wa Msimbazi katika maduka ya vipodozi kutafuta izo Moisture hapo chini ila sikufanikiwa kuzipata.
Kama kuna mtu ataweza nisaidia sehemu ya...
Habari wana jamiiforums,
Karibuni katika oven yangu nikiwaletea utamu wa keki fresh ninazopika kwa ustadi wa hali ya juu, keki zinapatikana plain au ukitaka nakuwekea icing kama zinavyoonekana...
Monitoring system maalumu zinazotumia muunganiko wa camera zenye nguvu zinazokuwezesha kusimamia biashara zote zilizo sehemu yoyote, popote ulipo utaweza kupokea picha za matukio yote katika...
Habari ndugu wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza: Natafuta dawa ya kufukuza na kuzuia nyoka kuja kambini kambi ambayo iko porini kwa ajili ya shughuli za uchimbaji madini
Japo kambi...
DIGITAL ELECTRONICS WEIGHT SCALE
Tunauza mizani za kisasa kwa ajili ya kupimia uzito kwa matumiz ya mahospitali, mashuleni, familia na kwa wale wenye programme ya mazoezi na diet.
Mizani zetu ni...
FULL PACKAGE BEI 450000
SINGLE MACHINE 275000
FULL PACKAGE INAKUJA NA:
1.MASHINE 2
3.CHARGER
4.USB
5.CHUPA ZA KUSAFISHIA SIMU 2
6.SPIKA
7.PEPA.
8. GLOFSI
9.Aromatherapy CHUPA 2
Call now 0712148577
Jamani nilikua nahitaji line line ya safaricom kama kuna mtu anajua zinapopatikana au anauze naomba anicheki 0755325507
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar wana JF..... Nahitaji gari aina ya Suzuk Carry almaarufu kama kirikuu used....lakin kiwa na hali nzur..... No repeir repeir..... Nipo Kilimanjaro....
Whatsapp namba 0718321418....
Njoo na...
Tangu ije haIjawahi kutumika ni mpya
Unaweza ku grill kuku 50.
Bei yake ni milion tatu na laki tano (3,500,000) kwa anaywifahamu mashine hii na anaona itamfaa tuwasiliane kupitia 0715591141 nkupe...
Wengi tunatamani kukuza biashara, kufikia watu wengi zaidi kwa wakati mmoja lakini kama tujuavyo "mkono mtupu haulambwi"
Hivyo basi tumia njia bora kufikia watu wengi Na kutangaza biashara/huduma...
Wakuu naombeni msaada wenu mimi kwenye masuala ya Zip/Postal Code sielewi nafanyaje.
Nakaa Wilaya Kishapu - Kata ya Luhumbo -Mwadui mgodini Mkoani Shinyanga, Nchini Tanzania.
Naomba mwenye...
Jipatie mpango biashara (Business Plan) mbalimbali kutoka kwetu, tutakuandalia mpango biashara kwa muda wa wiki moja tu.
Gharama zetu ni nafuu mno ukilinganisha na ubora wa kazi zenyewe, huitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.