Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wanajamvi,wakuu naomba kuuliza kuhusu ubora wa haka ka gari kwa matumizi ya hapa town Dar..?
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Habari wakuu! Naomba ambaye ana ESCUDO ya 1999 1590cc, Rangi nyeusi, usajiri B, au.C Bei maelewano!! KWA UJUMLA IWE NA HALI NZURI. Natanguliza shukuruna zangu.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
habari za mida wadau naomba kufahamu sehemu gani naweza kupata nguo za mtumba kwa wale wanaofungua mabelo hasa hasa nguo za watoto na mashuka Luna MTU kaniambia mlango mmoja lakini hawafungui...
0 Reactions
0 Replies
958 Views
kuna shamba lina uzwa mzenga kisarawe, heka moja sh 250,000/= shamba lina heka 50 .liko kilometa 25 kutoka Mlandizi sokoni Walio interested tuwasiliane
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Focal lift toka UK,tani 3 , Boss Lancer , haijafanya kazi hapa bongo.Asking Price 13m negotiable, Pia concrete mixer Zipo 3 , asking 3m, Na machine ya kukatia lami. Asking 2m. Anybody...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari, Natafuta chumba na sebule kiwe self... maeneo ya morocco ...maana kikazi nipo masaki maeneo ya slip way... 0737184400 tuwasiliane... budget 150k pm PS :pia ntashukuru ushauri wowote wa...
1 Reactions
1 Replies
962 Views
Kichwa chajieleza hapo naitaji Rav4 L old model Milango 5, namba D za mbele mwenye nayo anicheki WhatsApp namba 0719909691 Budget mil. 12
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Iko na hali nzuri Inakaa na chaji, video unaangalia hadi masaa 10 Nimeupdate inarun android 8.1 Ukihitaji nakuletea mpaka ulipo uikague
0 Reactions
7 Replies
914 Views
Habar za asubuhi wanajamvi, Natafuta gari ya kununua Scania 124 na tela lake iwe kwenye hali nzur. Kama unayo njoo PM. Ahsante.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Za muda wakuu. Knna ndugu yangu anahitaji gari aina ya Scania kwa ajili ya biashara. ana 30mil Mwenye nacho anicheki kwa namba 0784581426
1 Reactions
54 Replies
5K Views
PATA TAIRI KUBWA ZA SCANI SAIZ 12 PATA TAIRI KUBWA ZA SCANIA SAIZ 12 = 315/80 TUNAPATIKANA MKOA WA DARESALAAM NA TUNA HUDUMA YA KUKULETEA POPOTE ULIPO (DERIVERY SERVICE) JIVUNIE TAIRI BORA KWA...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Heshima kwenu wakuu. Mwenyezi Mungu amenisaidia nimepata kazi Tanga hivyo yeyote anaefaham au anaweza nisaidia kupata nyumba maeneo ya Kange karibia na stendi mpya ya Mkoa asisite kunifahamisha...
0 Reactions
3 Replies
855 Views
Piga 0658184797 Tupo Kinondoni mwanamboka pembeni ya kituo cha mwendokas mwanamboka upande wa barabara ambao magari yanaenda Magomen yakitokea moroco Nauza kwa order tu so Ukihitaji tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za Jioni Wakuu, Ni Matumaini Mpo Salama na Mnaendelea Vizuri na Pirika zenu za Kila siku. Nna Hitaji Mtu wa kuniuzia (supplier) wa mayai ya kuku wa Kisasa Kuanzia Trays 50 na Kuendelea...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Naombeni kujua lipi chagua sahihi kwa mabati ya Alaf gage 30 kati ya migongo mipana na migongo midogo ipi nzuri kuezekea Nyumba ya kawaida?
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Wadau musimu wa kilimo ndio huu unawadia, nauza miche ya komamanga na mdalasini. Miche hii inafaa kupanda kwenye nyumba zetu pia. Bei ya mdalasini ni Shilingi 5000 na komamanga ni shilingi 3000...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Year 2001 4 cylinder Low mileage 94k Million 6.8 0789054030 Haina tatzo lolote njoo na fund
0 Reactions
0 Replies
780 Views
Hello. Katika kila ngazi kuanzia ya kifamilia hadi kitaifa, kijana ni mtu muhimu sana. Kwanza kwa sababu ni umri wa mtu mwenye nguvu na pili ni umri wa kufanya maamuzi sahihi ili baadae uzeeni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari jf Nauza gari aina ya IST BEI 10.8M..gari ipo Upanga. Zifuatazo ni sifa zake Plate namba DDP MILEAGE 69152 COLOUR -GREY IMENUNULIWA 2015 DUTY INAISHIA 2020 CC 1200 06843 108 66
0 Reactions
12 Replies
2K Views
WAKUU BANDO KONKI ZA TIGO NA HALOTEL NICHEKI PM KAMA UNATAKA KUUNGANISHWA. 1. TIGO Pata dakika 1000 tigo-tigo, 70 all net ,na Gb 10 kwa mwezi. 19000Tsh. Gb 48 kila mwezi unapewa 4Gb kwa mwaka...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Back
Top Bottom