Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nataka charger ya iPad air,iwe mpya.
0 Reactions
1 Replies
534 Views
Tunatoa huduma ya Ushauri kwa Kampuni au watu binafsi wanaojihusisha na Uchimbaji na Uchenjuaji wa madini (mining and mineral processing). Tunajihusisha zaidi na Gold, Copper, Silver, Nickel na...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Habari Wakuu! JF ni mahali ambapo kuna kila aina ya watu wenye shughuli mbalimbali ktk jamii, leo nipo hapa kwa ajili ya wale ambao wana uhitaji wa biti za Gospel, hususani kwa Makanisa ambayo...
2 Reactions
31 Replies
110K Views
SIZE 38/39 BEI 20000/= TUNAPATKANA DARESALAAM..ARUSHA..LUSHOTO MIKOANI TUNATUMA DELIVERY NI KWA GHARAMA ZA MTEJA[emoji92]
0 Reactions
5 Replies
1K Views
GREAT THINKERS! Salaam! Naheshimu sana uwezo mkubwa wa member wa JF katika kudadisi na kuchambua mambo kwa upana wake, watu wanaowaza nje ya box. kwangu JF ni shule kamili Acha niende kwenye...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Nahitaji hiyo mashine used kwa aliyenae. Nipo mtwara,watu wa mtwara na maeneo ya mtwara nawapa kipaumbele zaidi kwakuwa ninaweza kufika ulipo nikaucheki mzigo. Natanguliza shukrani
0 Reactions
8 Replies
994 Views
Bandugu, nina mpangon wa kununua Honda Cr-V Ls ya mwaka 1998 kutoka kwa mtu. Sina uzoefu na aina hii ya gari. Kwa yeyote mwenye kujua kwa undani review. Ushauri tafadhali. Thanx
1 Reactions
9 Replies
7K Views
hello guys,, naomba kumpata dalali wa mazao ya kilimo kwa masoko ya dar au dodoma tufanye biashara,,, nije na mzigo (viazi mviringo). aliye tayari karibu pm,,,
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Plot ipo ununio ni ya pili kutoka Lami, size 2500sqm Na pia ndani kuna nyumba ya vyumba 3 self ingawa ni mjengo wa mda kidogo na pia kuna mabanda ya mifugo kuku na Ng'ombe Bei 165m Maongezi...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kiwanja kipo Nyanshishi Mwanza, mita 500 kutoka kituo cha daladala Nyanshishi zinazofanya safar ya kwenda maeneo mbalimbali ya kona ya jiji la Mwanza. Kimeshapimwa na kinasubiri kutengenezewa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niko Arusha Nauza Ram 4GB DDR3 (Samsung planet first,Made in philippines) kwa ajili ya Laptop iko poa kabisa katika hali nzuri na ifanya kazi poa kabisa bei ni Tsh.37000 maongezi yapo nicheki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
OFA YA VIWANJA KARIBU NA LAMI Viwanja viwili vilivyopimwa kwa bei ya ofa MAHALI ; Nala chinangali UMBALI TOKA CITY CENTRE MPAKA KWENYE ENEO ; 15km UMBALI TOKA BARABARA KUU YA LAMI(SINGIDA...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
NatangulizA Salam, Tfadhalini ndugu zangu, naomba kufahamishwa, Kwa huko zanzibar na mikoa ya singida, dodoma na morogoro. Krbn.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza adapter ya dell Bei 25,000 tu 0652759293
0 Reactions
2 Replies
837 Views
Nakuuzia kitanda na godoro (5 kwa 6) kwa ghrama nafuu kabisa na rafiki kwako ndugu mteja. Kitanda na godoro lake nimetumia mwenyewe kwa muda wa miezi mitatu tu. Hutojutia kupata mzigo kutoka...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Javet wedding accessories ni duka linalo husika na uuzaji wa kadi za mwaliko wa sherehe mbalimbali harusi, send off, mchango. Kwa mawasiliano tupigie simu 0715267277
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Nauza laptop hp probook core i3 @2.40GHZ 2.40 GHZ ram ni 4GB haddisk ni Gb 250 BEI NI LAKI NNE BETRY MASAA MAWALILaptop ipo kwenye hali nzur sana Mawasiliano 0719590756
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Wapendwa wafugaji kanda ya nyanda za juu kusini, tumewaletea mashine za kuangulia mayai ya ndege aina zote, mashine za kisasa kabisa na zenye ufanisi mkubwa (full automatic) AC/DC (umeme wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu nahitaji laptop nzuri yenye kufanya kazi vizuri.... tuma details zako.. Nina 200K...nyongeza tunaweza ongea.
0 Reactions
5 Replies
846 Views
kiwanja kinauzwa kipo (Nyamhongoro) Mwanza kina ukubwa wa 480sqm (20×24) kiko umbal wa km 2.5 kutoka eneo la stand mpya inayojengwa Bei ni 3.5m Mawasailiano : 0764634423 0785788647
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom