Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kwa mahitaji ya mbao za kupaulia za dawa na kawaida karibuni
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nahitaji kioo cha Samsung S5mini nipo Dar Mwenye nacho anicheki 0655 44 44 40
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Nauza Drum set full, imekamilika ni used kutoka Taiwani ipo katika hali ya upya kabisaa..... kwa picha na maelezo zaidi naomba tuwasiliane 0658644485. pia tunaweza kubadilisha kwa Mid speaker au...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Tuone kwa mahitaji ya maandalizi na usimamizi wa shughuli za harusi, kitchen party, send off, kipaimara, ubatizo na maulid. Pia kwa huduma za uandaaji wa mikutano matamasha fundraising events kwa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari ,wana JF kama kuna mtu anahitaji mbegu za kupanda Uyoga aje aweke order Kwa walioko Dar es salaam zitamfikia km akihitaji. Wasiliana na no.0718664417
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau, Naomba msaada kwa anayejua official dealer wa iphone kwa Tanzania- aliyeko dsm,iwe iphone7 au 7plus , pia kama una idea ya bei zake itakua umenisaidia. NB: Sihitaji used; nahitaji...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Hi guys Naombeni msaada kwa anayejua bei ya mashamba ya korosho huko mtwara na mchanganuo wa kilimo hicho kama vile gharama za uendeshaji
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna neno vijana na watu wa makamu kidogo hupendelea kusema hotcake area pale inapofika kutimiza ndoto zao za kununua viwanja na kutaka kujenga basi hukaa na kushilikishana kujua maeneo mazuri na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Chumba na sebule kubwa,choo,jiko na store yako,Maji humo humo.Kiko mbagala kuu karibu na stand mpya.Laki moja kwa mwezi.0715886671
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Karibu mwana jf ujipatie meza ya chakula yenye viti vyake vi 4 meza hii ina rotate pia ina mabble ni ya kijanja zaidi BEI ya beza hii pamoja na viti vyake ni LAKI 550,000 kwa mteja #serious apige...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari jamani Naomba kujua kwa hapa Dar nazi kwa bei ya jumla zinapatkana katika soko gani? Nahitaji kununua nazi nyingi kwa ajili ya kuuza.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Vifaa vifuatavyo vya mazoezi vinauzwa: Everlast Solitude Treadmill – TZS 2,400,000.00 Trojan Stamina Treadmill – TZS 1,152,000.00 Trojan Pace Exercise Bike – TZS 640,000.00 Vinapatikana...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nauza taa za mbele za Cresta Gx 100 ziko mbili left and right ni used both nauza kwa 100,000 Call me: 06254666634. Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyumba inapatikana TABATA, segerea Ina vyumba vinne. Vitatu kati ya hivyo ni self-contained na kimoja ni single Ina jiko LA kisasa Ina air conditions Ina large parking spaces Perving blocks Rent: 1m
0 Reactions
0 Replies
1K Views
karibu JC STUDIOS tukutengenezee LOGO,matangazo, Mabango na stika itakayoweza kubrand biashara yako. Furaha yako ndio kipaumbele kwetu wasiliana nasi kwa namba 0744009788 || 0712449066 ||...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Maji ya hill water yamekuwa yakipendwa sana jijini dsm nakuanza kuwapiga bao wa kampuni kongwe kama Kilimanjaro na bakhresa ambayo ni Kilimanjaro na uhai. Packaging ya hill water ina mvuto kiasi...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Wakuu mwenye kufahamu pahala wananunua bata kwa wingi naomba anifahamishe......
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Natafuta boxer kama zinavyoonekana hapo kwenye picha kwa jumla, kama unajua wapi naweza kuzipata nichek PM
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Karibuni sana viti vya saloon vipi kwa kiti kimoja tunauza laki 195,000 PIGA 0677423349 tukuletee kama NI mkazi Wa dar es salaam na kama unataka kuja tulipo PIGA tu simu tupo kigogo dar es salaam...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TUNAUZA VIWANJA VILIVYOPIMWA KISEMVULE Viwanja vipo kisemvule mbele kidogo ya Vikindu. Vimezungukwa na huduma muhimu jirani, Umeme upo jirani, Maji yapo, Eneo la Shule limetengwa, Eneo la Stendi...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom