Jaman admin wa JF nashindwa kujibu comment maana ombi langu lipo pendin
OK, natoa ufafanuzi kuhusu royal kwamba ukisajili lain ya royal bundle ya Halotel unapata dakika 120 kupg simu mitandao...
Wakuu,
Nauza Laptop aina ya ACER Extensa 5620Z.
Nilikuwa nikiitumia sana kwa shughuli za kuchapia kazi za Microsoft Office.
Kwa kuwa ina storage ndogo, naiuza ili hiyo hela niongezee nikanunue...
Tunazalisha na kuuza vifaranga wa kuku chotara aina ya kuloiler
Vifaranga wanapatikana mara mbili kila mwezi na wanakua wameshapatiwa chanjo ya Mareks
Tupo Busweru, Mwanza
tunasafirisha kwenda...
LEO NI MWENDO WA KUGAWA OFFER TU
Haya sasa chagua earphone moja kati ya hizo kwa bei ya 6000 tu na free delivery kwa arusha leo
Mwisho wa offer ni leo jipatie kwa elfu 6 tu
Zina bass na sauti...
Hello....okay, baada ya maombi ya marafiki zangu wengi wa mbeya ambao wanajiandaa katika ukulima wa mpunga na wanataka kutumia SUPERGRO kwa matokeo mazuri nimeamua kuweka matumuzi yake hapa...
Madali na wasio madalali naomba mnisaidie kunitafutia mahali pa kupanga hapa jiji Dar maeneo tajwa hapo juu. Bei iwe kuanzia 15-20 ila umeme uwepo pia...
Mwenye kujua basi anifate PM nitaongea...
Wakuu kuna Shamba linauzwa hekari 2 lipo Moshi, Uchira linauzwa Million 5 kilometer 1 toka barabara kubwa ya lami Mweje uhitaji apige simu no 0652971495 au anicheki PM.
karibu tukuagizie gari kutoka japan, dubai, singapore na uk kwa gharama nafuu kabisa.
tupo magomeni mapipa DSM mkabala na kituo cha mwendokasi mapipa, jengo la RUBEYA ghorofa ya kwanza.
kwa...
Wakuu habari zenu?
Nahitaji mtu aniazime 2.5M tu.
Nakurudishia 3.5M before or within 5 months (before or on 29th Feb 2020).
Nisipoweza uchukue kiwanja changu chenye thamani ya zaidi ya 7.5M...
Wakuu kuna ndugu yangu anatakufungua Butcher ya kisasa Mkoani. Ameniagiza nimtafutie vifaa kwa ajili ya ofisi yake hiyo mpya kwa hapa Dar. Nadhani vifaa kama machine ya kukatia nyama, mizani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.