RiceBac ni kiua magugu kitumikacho kuangamiza magugu ya aina mbalimbali katika zao la mpunga.
Wasiliana nasi kwa maelezo ya kutumia na namna ya kuipata mahali ulipo.
0755325442
Nauza mota ya mashine ya umeme pamoja na vinu vya kusaga na kukoboa, mashine ipo kwenye ubora wake na haijawai kutumika,bei ni maelewano
ipo :songea, msamala kwa maelezo zaidi njoo pm nitakupa...
Do you have a company or business? Did you know that Submitting your business to the reliable business directory will help you excel to new heights of success, improve awareness and company...
Haya sasa wakina dada au wakina mama mnaopenda urembo...nawatambulisha kipodozi bora na salama cha macho inatwa Insta-lift eye gel. Kama mnavyojua uzee unaanzia kwenye macho, kwa afya ya macho...
Nyumba inapatikana Kibaha kwa mfipa (2km kutoka Morogoro road)
MAELEZO:
nyumba ina vyumba vinne (4) vyote ni self-contained.
Ina sebule, jiko, store na public toilet.
Eneo la kiwanja ni sqm 2000...
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Temeke, Mbagala, Tuangoma nk.. Iwe na vyumba 3 au zaidi iwe nzima au upande wa kujitegemea, iwe na maji na umeme na karibu na barabara na huduma za kijamii...
KWA UJENZI BORA WA GHARAMA NAFUU MAHALI POPOTE TANZANIA
Kwenye Picha Chini ni Moja ya Kazi Zetu
Tuna Project Nyingi za Ujenzi Katika Mikoa Mbalimbali TANZANIA.
Tupigie kwa...
Njopekafarm tunauza mbegu za nanasi na matunda aina zote ,Eka moja unaweza panda miche elfu tano unavuna baada ya mwaka mmoja au mmoja na nusu pia utavuna kwa miaka mitatu mfululizo tambua miche...
Habari wanafamilia wa JF....mimi ni mfanyabiashara wa dawa ya kilimo iitwayo SUPERGRO ambaye nina mpango mkakati wa kuzunguka katika mikoa tofauti kwa wakulima
Sasa basi, nachoomba ni kujua...
INFINIX HOT 6 AU HOT 6 PRO INAHITAJIKA
120k
Moshi/arusha
Inahitajika infinix hot 6 au hata hot 6 pro iwe katika hali nzuri
Budget yangu ni 120k
Uwe moshi au arusha
Nichek watssap tu 0759 432 654...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.