Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kama kichwa kinavyo jieleza natafuta pikipi aina ya boxer au tvs used muuzaji awe na documents na iwe in good condition....kwa mengi zaida njoo inbox ... ukiona umempa mtu boda azungushe na aleti...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Wakuu mm napenda kuuliza kwa hapa morogoro kama kuna mafundi wazuri wa kudesign muonekano wa ndani wa gari kwa bei reasonable hasa kwa kuzingatia hii hali ya sasa ya mzee magu
0 Reactions
2 Replies
688 Views
Wadau nahitaji mtu anayeuza trekta ya mikono (USED) (power tiller) model iwe Kubota Japan or Tailand. Iwe Mikono mrefu. Aseme alipo popote Tanzania ntamfikia. Iwe haijachoka sana.. njoo DM tufanye...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau kama kuna mtu anauza Mbao za Mitiki, basi tunaweza kuongea, kama utakua Comfortable hapa Sebureni ni sawa, kama utapenda twende PM, let's do it! Nipe bei kwa size ulonayo, nataka Container...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Samsung s9 64gb used one month Tsh 750k Phone only. 0684818138 Posta mpya , Dar es salaam
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ulinzi wa mali zako, nyumba na ofisi ni muhimu sana, CCTV camera zinarahisisha ulinzi, wakati sahihi ni sasa, karibu @skmquality ujipatie cctv camera na huduma iliyo bora. CCTV camera 4 channel...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tupo mbeya kabwe stand ghorofani 2nd floor tumefungua duka la Computer karibuni saaana SANMAT Njoo dukani na code hii:3050 Upate punguzo kubwaaaaa
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Hello wapenzi wa Jamii Forum, Mimi ni mfugaji nafuga kuku aina ya kuroiler wale chotara wana asili ya India wako kama kienyeji hivi Natafuta soko la kuku hawa je mnaweza mkanipa ushauri kidogo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hii ni kampuni mpya kabsa hapa yambayo inajiusisha na uuzaji wa tiles amabazo hazitumii cement zinashikana zenyewe tuu zinakaa popote pale bei ni nafuu mno kulinganisha na tiles za kawaida kwa...
5 Reactions
68 Replies
13K Views
Hii ni kozi ya afya ambayo inatolewa na chuo cha muhimbili kwa hapa Tanzania, ni kozi ya muda wa miaka mitano (first degree), inayotoa wataalamu katika afya ya meno na kinywa yaani madaktari wa...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wanabodi, Ninauza basi langu la Eicher lenye namba CVZ. Kwa sababu ya majukumu mengine ninakosa muda wa kusimamia hivyo sipati mapato ninayokusudia. Lipo kwenye hali nzuri na bei ni maelewano...
1 Reactions
52 Replies
12K Views
The Computer Skills ( COmSkills) ni kampuni inayobobea na utoaji mafunzo na ushauri kwenye nyanja za IT & Financial System/Software. Tumetoa ofa ya kozi zifuatazo. 1.DATA MANAGEMENT AND...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu jamani,napenda kuuliza kwa wajuzi eti kiwanja chenye upana wa mita 11 na urefu mita 15 je mtu unaweza ukajenga nyumba ya kuishi kwa vipimo ivyo
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau, habari zenu? Mimi ni mjasiriamali chipukizi; mwenye malengo ya kuwekeza katika miradi ya Agribusiness (dairy & poultry projects - kwa uchache). NAOMBA MSAADA WENU (HAJA YANGU ITATATULIWA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau naombeni msaada wenu anayeijua campuni ya usafirishaji au anayeweza kunipa msaada wowote kuweza kupata usafiri nataka kuleta mzigo toka njombe kuja dar kwan langu limekwamba linaitaji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni Application mpya kabisa iliyogunduliwa na mtaalamu kutoka London mwenye asili ya kiisrael anayeitwa Harry Williamson Baker. App hii husaidia sim ya mtu aliyeidownload kuanza kupiga kelele na...
6 Reactions
26 Replies
4K Views
Model 15-ac183nia Core i7 Dedicated graphics card (Amd) Ram 8Gb Hdd 500 GB Charge 5+ hrs New condition Laptop &Adopter Price 650,000. Call/Whatsap/ text 0782 049 547 Dsm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Tunatotoresha vifaranga bora kabisa aina ya Sasso, tunatafuta masoko nje na ndani ya Dsm, kwa wiki vinapatikana zaidi ya vifaranga 1000 kwa bei ya Tshs 1,800 tu. Sifa za kuku Sasso: -...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kroiler ni aina ya Kuku chotara alie tokea India ambae ni mchanganyiko Wa Kuku aina ya Sasso(jogoo) mwenye sifa yakuwa na umbo kubwa na mwenye uzito sana,alie pandishwa kwa Kuku aina ya Rhode...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
NAUZA ADSENSE NON-HOSTED MPYA KABISAAA, BEI NI KILO MOJA (100,000/=), NICHEKI KWA NAMBA ZANGU 0756888069 AU 0718268014 Na site yake pia ipo. Icheki BONYEZA HAPA KUONA SITE
0 Reactions
1 Replies
811 Views
Back
Top Bottom