Za asubuhi wakuu, Kama Mada isemavyo, nauza ASALI mbichi ambayo haijachakachuliwa hata kidogo, baada ya kurudi kutoka kwa madiba aka bondeni wakuu Nilikuwa Sina Dili hapa mjini, baada ya kuwaza na...
NYUMBA inapatikana KITUNDA, Kivule
Km 8 kutoka nyerere road (old pugu road)
Nyumba Ina vyumba viwili (all are self-contained)
Aluminium windows, full gypsums & tiles
Perving blocks
air-condition...
habari waheshimiwa
nauza vifaa ivi, presure machine pamoja na tank na vifaa vingine vidogo vidogo pia vipo katika car wash ambapo bado inaendelea kufanya kaz na kuingiza hela tatzo na shida na pei...
Nauza sofa set used za kisasa na ziko kwny hali nzuri, kochi 2 za kukaa watu wawili na moja ya mtu mmoja. Bei 350k maongezi yapo pia. Napatikana dar es salaam kijitonyama ukizipenda piga/text...
Habarini wandugu!
Nina uwezo wa kusupply mbao aina ya mninga (East African padauk), mkongo (Pod mahogany), mtondoro, mkurunge
Natafuta wanunuzi wa jumla kwa hapa Tanzania kuanzia cubic metre 20...
Nauza Spark 3 Pro imetumika miezi miwili tu....
(Bado mpya kwa kila kitu)
Risiti yake, box lake + ear phone + original charger vyote vipo!
Location: Morogoro mjini
Bei: 200,000/=
More details...
Gharama za kujipatia gari moja kwa moja kutoka Japan zimeshuka na sasa una uhakika wa kupata gari kwa bei nafuu Zaidi. Kwa kutumia nafasi yetu kama kampuni ya kitanzania, tunashirikiana na...
Habari za mdaa huu wana jf natumai mu wazima mnaendelea kuijenga tanzania ya viwanda
mimi ni mjasiriamal mdogo ambae nimeamua kujiajiri kwa kutengeneza viatu vya ngozi ni biashara ambayo nina...
Tunauza mbao na nguzo za plastiki (zilizotengenezwa kwa mabaki ya plastiki 100%) imara na madhubuti kwa ajili ya utengenezaji wa samani za bustanini, ujenzi wa campsite, uzio wa makazi na bustani...
kuku wakienyeji kwaajili ya nyama.
Jari afya yako na wateja wako, kwa bei nafuu kabisa.
kuku kutoka mbeya, chimala na ubaruku., wanapatika sasa, tunapokea order ya kuanziaa kuku 20 nakuendeleaa...
Jamani pole na majukumu, nina kaka yangu yeye hajui mambo ya mitandao, Ana shamba kubwa saaana la miti ya pain, ni miti karibia elfu tatu(3000) ambayo unaweza kuvunwa
Ni miti mizuri na ishakomaa...
Nafanya biashara ya bata mzinga....Mayai,vifaranga na bata wakubwa kwa bei nafuu kabisa....wasiliana nami kwa kupitia +255754472547.....Moshi Kilindimo
Anayehitaji Computer Software aina yoyote kuanzia 'Operating System (OS)' hadi 'Professional Application Software' tuwasiliane! O/S ninazo wins XP, Vista Ultimate, Red Hat Linux (and Red Hat Linux...
Nahitaji HONDA CGL 125 ikiwa mpya kabisa(Brand new).
Naomba kufahamishwa bei elekezi na mahali zinapouzwa aina hii ya pikipiki.
Natanguliza shukrani ndugu zangu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.