Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kama kuna wakili junior ambaye hajapata kazi na ni mkazi wa Dodoma aje inbox tupange mkakati
0 Reactions
0 Replies
35K Views
Ni ya mayai 500 Bei ni sh 1.2 Imetumika mwezi mmoja tu. 0620250321..mawasiliano
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bei 30000/= 1. inatumia solar 2.inatumia usb ya android kuicharge 3. Inatunza charge USED IN UK CLEAN CONDITION Napatikana Tabata Barakuda Whatsap 0752396052 Call 0675294320
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Vunja bei again...offer ya leo, Jipatie galaxy S5 mpyaaa full accessories, black/white color. Storage 16GB, Ram 2GB, Camera 16MP... Kwa Bei chee. 430k :kumbuka pia Simu nyingne za kisasa zipoo...
2 Reactions
56 Replies
18K Views
Nahitaji kufahamu Bei na range ya capacity kwa machine za ku print T-Shirts! Pia suppliers wa hizo machine! Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habar wana JF Nauza vifaa au manual mashine, vya kupukuchulia mahindi, (hand maize corn sheller)kwa wakulima wadogo wa mahindi Badala ya kutumia mikono,au visu au njia ya kupiga na magongo mahind...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
1.Bomba inch 4 mita 6na mfuniko wake 2.Bomba ya bafu inch 2 na chujio yake mita 3, 3.Sink 1 4.Elibo moja 5.Nondo milimita 12 6.Waya mesh 7.Binding wire kilo 1 8. Misumari inchi 2 na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya kuniita dalali nimeona nifute tangazo hili
1 Reactions
3 Replies
787 Views
natafuta busness patner wa mafuta ya alizet tunazalisha wenyewe wilayani serenget mkoa wa mara kwa mawasiliano 0765447007 tunatoa kuanzia lita 800 kila wiki karibun hata kama unahitaji kuwa ajent...
0 Reactions
0 Replies
347 Views
1. Gb 16 2. Inatumia line yoyote (internet) & wireless 3. Bado ipo vizuri Bei ni 300,000/=( LAKI TATU ) MAONGEZI YAPO, NAUZA KWA SHIDA (DHARURA YA HARAKA) ZANGU KARIBUNI. MAWASILIANO...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Nadhan mmeshasikia sana kuhusu mali zilizoachwa na wajerumani kipindi cha zamani, sasa kuna nyumba moja iko tanga ilikuwa inakaliwa na wajeruman na kwa sasa inamilikiwa na mtz, nyumba...
2 Reactions
18 Replies
6K Views
Hi Tanzanian and Fellow East African. My name is Ezekiel,am Insurance expert,working under Resolution Insurance Tanzania Limited. Any question,query,doubt,information about all classes of...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar ndugu wanajukwaa,naombeni msaada wa kupata sehemu yenye keyboard kwenye cm yangu ( cm ninayotumia ni cm aina ya Techno) Asanteni!
0 Reactions
5 Replies
634 Views
Za saa hizi jamani Kuna vifaa nauza bado vipya na kwa packaging yake Drip tapes(mipira ya kilimo cha umwagiliaji) kwa mita 1000 tsh 230,000 Greenhouse 12 by 20 mita na insect net yake tsh...
0 Reactions
1 Replies
834 Views
Wakuu naomba kuuliza ni kampuni gani inayo husika au utaratibu gani wa kufuata ili kutuma cheni saa hereni na vito nje ya nchi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vifaa vya salon complete ambavyo ni viti viwil vya kunyoa na vioo vyake na meza zake Viwil vya scrub na vioo vyake Air conditioner moja Viti vitatu vya kusubiria Beseni la miguu lile la vibration...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Ujuzi katika 3D Animation una mahitaji makubwa hapa duniani. Unaweza kuajiriwa katika makampuni ya Video Games, film au television. Pia unaweza pia kujiajiri mwenyewe ukafanya kazi kama...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Nauza meza ( mninga mtupu) ya kujipodoa na kutunzia vitu vidogo vidogo vingi kwasababu ina draws 6 na kioo kikubwa na nafasi ya kuweka vitu vingi juu yake. Samani za mninga hazikamatiki. Bei...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta appartment ya 2 Bedroom one master isiyozidi 600K mjini
0 Reactions
2 Replies
609 Views
Habari za wakati wana JF,napenda kuchukua fursa hii kuwaletea vifaa mbali mbali ambavyo waweza vitumia mahala popote,ni rahisi kubebeka na unaweza kufanya mazoezi wakati wowote kutokana na ratiba...
15 Reactions
405 Replies
119K Views
Back
Top Bottom